Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

Unaijua TISS ? Muwe mnaongea mambo yenye maana sio kujaza pages. Mtu aliyetingisha mfumo ni Lowasa akigombea na Magufuli. Bila kula kuibiwa hali ilikuwa mbaya. Wengine ni vinyamkera tu. Hata Lissu alijaribu japo kwa mbali tu.
Wapambane kujenga uchumi, ndio intelligence agency za kisasa zinachofanya, na kusaidia Taifa kuwa na wanasiasa wenye uwezo mkubwa kiakili kuongoza taifa, otherwise hamna maajabu, niulize naijua CIA au Mossad na jinsi wanavyojenga uchumi wa mataifa yao..kwa mfano taarifa feki za CIA zilivyosaidia marekani kumiliki mafuta ya Iraq, hayo ndio mambo ya maana sio kuzuia watu wenye uwezo kuwa viongozi, hilo hata wewe unaweza, utahitaji silaha na kitambulisho na li V8 likubwa kutishia watu ila sio matumizi ya AKILI. Mamillion ya vijana hawana kazi wapo very hopeless mtaani, na hiyo ni very real threat kwa taifa lolote, wafikishie hiyo assignment wasaidie kutoa taifa kwenye joblessness.
 
Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Tena asbh saa 3
 
Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.

Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.

Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.

Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.

Nini maoni yako!
Viongozi wa Sukuma Gang
 
Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
[emoji41]🤏

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom