Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

CCM asili wanalalamika sajili mpya kuchaguliwa nafasi za uwaziri.
 
Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone

Hata Mimi nimeshangaa ngoja tusubiri lakini Lukuvi kuachwa alafu Ridhiwani kuwepo hahahahaha huu nao ni utani wa mwaka mzima[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Umesahau yale aliyoongea Kanisani?
Ndio hadi leo yanakumbukwa? Mimi ni muislam na zile kauli za Lukuvi kanisani zilinichefua ila nilimsamehe kwa kupiga kazi vizuri Ardhi, sidhani kama zile kauli ndio zimemuhukumu leo
 
Na mimi nilikuwa nna hamu sana kuwafahamu hao sukuma gang. Kumbe ni kina Kabudi?? 😂😂😂😂

Inawezekana Mama au wana CCM wanaogopa kitu kisichokuwepo.

Pengine bado wana hofu na mwendazake.
Fear of the unknown
 
Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Acha uongo eti mama hakubaliki nyooooo
 
Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Hawezi kuwa PM kwani kabla ya kuchagua PM ni kazima kwanza uvunje Baraza lote la Mawaziri.
Pili presidential appointments,appointees Wana serve at the pleasure of His/Her Excellence Madam President. The moment she feels uncomfortable working with you basi ana tengua.
 
Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.

Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.

Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.

Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.

Nini maoni yako!
jibu nikinyume cha maneno yak,ukiona manyoya usiulize
 
Tuache kulalama, Tanzania Ina raia wengi Sana zaidi ya 50M ,sasa kuondolewa kabudi,sijui lukuvi ndo iwe nongwa,hata Mimi hapa natamani siku moja niwe waziri ,sasa Kama tutataka watu wale wale wabaki wakinufaika na national cake tutafika kweli!!?

Binafsi naona Baraza limetulia,acha watu wachape kazi!!
Unajiongelesha kila post alafu raia wanakupuuza

Wewe siyo Chawa ni Mende
 
Hivi kweli unamtoa kabudi na Lukuvi? Sijui tunakoenda?
 
Back
Top Bottom