Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
CCM asili wanalalamika sajili mpya kuchaguliwa nafasi za uwaziri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Bado kidogo. 2025 ni kumaliziaCcm yetu imerudi
Mh. Lukuvi kafanya makubwa Ardhi..Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY
Unawashwa masaburi wewe.Acha chuki za kike
Ndio hadi leo yanakumbukwa? Mimi ni muislam na zile kauli za Lukuvi kanisani zilinichefua ila nilimsamehe kwa kupiga kazi vizuri Ardhi, sidhani kama zile kauli ndio zimemuhukumu leoUmesahau yale aliyoongea Kanisani?
Fear of the unknownNa mimi nilikuwa nna hamu sana kuwafahamu hao sukuma gang. Kumbe ni kina Kabudi?? 😂😂😂😂
Inawezekana Mama au wana CCM wanaogopa kitu kisichokuwepo.
Pengine bado wana hofu na mwendazake.
Acha uongo eti mama hakubaliki nyoooooInashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Kwa hatua gani Kwa kuwaweka watu ovyo na kuwaacha watu wa maana?Tumpongeze mama kwa hatua kubwa aliyopiga, wananchi wanahitaji maendeleo sio kutishana tishana kwa macho makubwa
Unawashwa kinyeo wewe.Acha upimbi shoga
Hawezi kuwa PM kwani kabla ya kuchagua PM ni kazima kwanza uvunje Baraza lote la Mawaziri.Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Umemsahau Jenista?Siku mkuchika atakapokufa ndio utakuwa mwisho wa utawala wa ccm. Huyu mzee nadhani ndiye anashikilia hirizi ya chama, mbona yeye panga pangua yumo tu.
Wamepewa nafasi wakajiandae na urais 2025Kwa hatua gani Kwa kuwaweka watu ovyo na kuwaacha watu wa maana?
jibu nikinyume cha maneno yak,ukiona manyoya usiulizeKatika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.
Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.
Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.
Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.
Nini maoni yako!
Unajiongelesha kila post alafu raia wanakupuuzaTuache kulalama, Tanzania Ina raia wengi Sana zaidi ya 50M ,sasa kuondolewa kabudi,sijui lukuvi ndo iwe nongwa,hata Mimi hapa natamani siku moja niwe waziri ,sasa Kama tutataka watu wale wale wabaki wakinufaika na national cake tutafika kweli!!?
Binafsi naona Baraza limetulia,acha watu wachape kazi!!
Naona soon mtaanza kuogopa kutinga sare zenu mtaani kama zama za msoga!Ccm yetu imerudi
Hakuna waziri wa kiume asiyeutaka urais. Hususani sasa hivi baada ya walivyoshuhudia Magufuli alivyookota dodo chini ya mnazi.Huyu alikuwa anautaka Urais.
Ardhi!!!Nchi imetekwa na majambazi wa msoga.. Sasa ni full upigaji