Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Dini inafundisha waislam ni ndugu.

Ila waislam ndio imani inayoongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe

Hata saudi arabia nchi takatifu ambayo ndio waislam wanaenda kuhiji inaua sana waislam wenzao ambao ni nchi jirani nao huku raia wa nchi za kikristo inawaogopa
wewe una uhakika gani kua ni Waislam kwa Waislam wanauana ?

acha kuropoka usiyoyajua ...
 
makafir naoona mnajiropokea tu kwa midomo mizito kama mumekunywa uji wa magimbi wakati matukio yote haya yanafanywa na kafir ila mnajitoa akili
 
umeandika vzr ila sentens ya mwisho hujatumia akili kuiongezea , hautakiw kuua mtu yeyote sabab hukumuumba wewe , naamin unaamin mungu ndo muumba wa kila kitu

Saudi arabia anamuua muislam mwenzake kutoka yemen, iran etc. Ila mmarekani na muingereza inamuogopa
 
makafir naoona mnajiropokea tu kwa midomo mizito kama mumekunywa uji wa magimbi wakati matukio yote haya yanafanywa na kafir ila mnajitoa akili
Kwanza kwanini umuite mwenzio kafili?
Kun videoclip nliona jamaa wanemuuwa m mama kisa hajavaa hijab tu! Je nani kafil hapa
 
Ngoja waje wafia dini wailaumu usa.

Anyway pole kwa wafiwa na walale salama wote walio fariki.

Kukomesha haya tuwe na dini moja tu ama tusiwe na dini kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
Dini moja ndo kitaumana, wakati msabato anaamini siku ya saba ni takatifu, , soma historia nyuma usije ukarudia ya enzi za rumi
 
wewe una uhakika gani kua ni Waislam kwa Waislam wanauana ?

acha kuropoka usiyoyajua ...
Unataka kusema ni kunguni na chawa? Ww unauhakika gani kwamba sio waislam kwa waislam wanao pigana?
 
Msemaji wa Polisi kutoka Kabul, Kabul Khalid Zadran amesema watu 21 akiwemo Imamu wa Msikiti wamefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa baada kutokea Mlipuko mkubwa kwenye Msikiti uliokuwa na watu wengi.

Ni wiki moja tangu wapiganaji wa Islamic State (IS) kumuua kiongozi wa kidini anayeunga mkono Taliban katika mlipuko wa bomu la kujitoa mhanga, huko Kabul.

Mashahidi wameeleza kuwa walisikia mlipuko mkubwa ambao ulivunja madirisha katika majengo ya karibu. Vikosi vya Usalama tayari vimefunga eneo hilo.
------------------------------

A huge explosion has ripped through a crowded mosque in the Afghan capital Kabul, killing 21 people, police say.

Another 33 people were injured, Kabul police spokesman Khalid Zadran said.

Wednesday's blast occurred during evening prayers. The mosque's imam is reported to be among the dead.

It is unclear who was behind the attack, a week after a Islamic State (IS) militants killed a pro-Taliban cleric in a suicide bomb blast, also in Kabul.

Security forces have now sealed off the blast scene in Kabul.

Witnesses described hearing a powerful explosion which shattered windows in nearby buildings.

"I saw that so many people were killed, even people were thrown out of the windows of the mosque," one eyewitness told Reuters news agency.

Stefano Sozza, the head of the medical charity Emergency, which runs the city's main hospital, told the BBC his group had already treated 35 people, including children.

"Our doctors... operated [on] the patients in need of surgical assistance all night long. The injuries were mainly related to the blast so there were shells inside the bodies and burning injuries all over the bodies of the victims".

He said he believed the blast was inside the mosque. "There was probably someone entering during the prayer time, so it was crowded at that moment and then [the attacker] activated this body burning improvised explosive device.

"So that all the persons that were close to the attacker were basically dead and the ones all around received several injuries," Mr Sozza added.

Source: BBC
Hizi dini zingine shida sana,walitaka nchi itawaliwe kiislam,Talibsn wapo Madarakani,nilitegemea,hsyo mashambulizi ya IS,yaishe,sasa shida nini Tena!?waislam(IS)wanawashsmbulia waislam wenzao(Taliban)?!
 
Dini inafundisha waislam ni ndugu.

Ila waislam ndio imani inayoongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe

Hata saudi arabia nchi takatifu ambayo ndio waislam wanaenda kuhiji inaua sana waislam wenzao ambao ni nchi jirani nao huku raia wa nchi za kikristo inawaogopa
Ukristu unafundisha Binadamu wote ni ndugu na wameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hivyo ukristu unafundisha upendo,heshima na kumthamini binaafamu wote bila kuzingatia tofauti za kiimani
 
Nani amekwambia kuwa waliolipua huo msikiti NI waislam!?
ili mtu awe muislam anatakiwa awe na vigezo gani?
Dini inafundisha waislam ni ndugu.

Ila waislam ndio imani inayoongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe

Hata saudi arabia nchi takatifu ambayo ndio waislam wanaenda kuhiji inaua sana waislam wenzao ambao ni nchi jirani nao huku raia wa nchi za kikristo inawaogopa
 
Waarabu bila shaka wana matatizo kichwani, kwanini muuane wenyewe kwa wenyewe.
 
Dini inafundisha waislam ni ndugu.

Ila waislam ndio imani inayoongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe

Hata saudi arabia nchi takatifu ambayo ndio waislam wanaenda kuhiji inaua sana waislam wenzao ambao ni nchi jirani nao huku raia wa nchi za kikristo inawaogopa
Ni tatizo
 
Mnachoshindwa kuelewa nyinyi ambao msioujua uislamu vizuri na mafundisho yake ..NB: Uislamu ni dini ya upendo na amani na ipo kinyume na ayo yanayofanyika uislamu umekataza ayo yaliyofanyika na uko wazi kabisa mnachokosea au msichokijua ni kuwa mna upa dosari uislamu kwa matendo ya muislamu.. muislamu ni mtu kama wewe tu na wala siyo malaika na ndio mahana kwenye uislamu sisi uwa atamfuati mtu bali Qurani na sunah tu binadamu anakosea lakini maneno ya mwenyezi mungu na mafundisho na makatzo yake wala hayana dosari na ayatakuja kuwa na dosari nitawapa mfano tu uko marekani matukio mangapi yanatokea ya mauaji kanisani anatokea mtu anawashambulia watu wakiwa kwenye ibada? mlishawai kusikia tuna uhukumu ukristo kwa kosa la mkristo? Kabla auja ukosoa uislamu ni vyema ukausoma na kuhujua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnachoshindwa kuelewa nyinyi ambao msioujua uislamu vizuri na mafundisho yake ..NB: Uislamu ni dini ya upendo na amani na ipo kinyume na ayo yanayofanyika uislamu umekataza ayo yaliyofanyika na uko wazi kabisa mnachokosea au msichokijua ni kuwa mna upa dosari uislamu kwa matendo ya muislamu.. muislamu ni mtu kama wewe tu na wala siyo malaika na ndio mahana kwenye uislamu sisi uwa atamfuati mtu bali Qurani na sunah tu binadamu anakosea lakini maneno ya mwenyezi mungu na mafundisho na makatzo yake wala hayana dosari na ayatakuja kuwa na dosari nitawapa mfano tu uko marekani matukio mangapi yanatokea ya mauaji kanisani anatokea mtu anawashambulia watu wakiwa kwenye ibada? mlishawai kusikia tuna uhukumu ukristo kwa kosa la mkristo? Kabla auja ukosoa uislamu ni vyema ukausoma na kuhujua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe kwan kuna wakati najjiuliza hii dini vipi?
 
Back
Top Bottom