Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Walichokifanya siyo cha haki na ni kinyume na uislamu wakati wa uhai wa mtume muhamad s.a.w alikuwa anaishi na watu wa dini nyingine tofauti na uislamu bila kuwanyanyapaa wala kuwafanyia vitimbi vya aina yoyote na huu ndio upendo aliotuachia mtume hakuna kulazimishana kwenye dini kama mtu umempa nasaha na mawaidha na akagoma kuyaamini utakiwi kumlazimisha kilichofanyika Nigeria ni kumdhurumu haki yake ya kuishi yule binti ..NB: uislamu ni dini ya upendo na amani pale msiokuwa waislamu mnapoishinao kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaidi hakuna umma wa jamii ya kiislamu hukemea hayo..badala yake hukaa kimya kama hawajua kinachoendelea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora kiumane tu ili dunia iwe na amani..hizi imani nyingi ni upuuzi mtupu..ama kusiwe na dini ulimwengu..ingawa ni kitu kigumu.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23] ili taifa lisimame lazime imani ziwepo , kusema dini iwe moja au kusiwepo dini... Ni kama ndoto

Usione dini zipo zimepiganiwa na wafia dini ambao walisha panda mbegu za imani kitamboo sanaaa
 
Hii dini hii, mwamedi aliwaponza sana waarabu.
 
makafir naoona mnajiropokea tu kwa midomo mizito kama mumekunywa uji wa magimbi wakati matukio yote haya yanafanywa na kafir ila mnajitoa akili
duh so wale waliowaletea dini nao ni makafir ? ww mpokea dini ndo mtakatifu
 
Saudi arabia anamuua muislam mwenzake kutoka yemen, iran etc. Ila mmarekani na muingereza inamuogopa
sw ila soma nlichoandika na uangalie jibu lako , kuua hauruhusiw no matter nan anamuogopa nan , marekan na uingereza sio watoa vibali vya kuua
 
Back
Top Bottom