Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Kabul: Watu 21 wafariki kwa mlipuko ndani ya Msikiti

Mnachoshindwa kuelewa nyinyi ambao msioujua uislamu vizuri na mafundisho yake ..NB: Uislamu ni dini ya upendo na amani na ipo kinyume na ayo yanayofanyika uislamu umekataza ayo yaliyofanyika na uko wazi kabisa mnachokosea au msichokijua ni kuwa mna upa dosari uislamu kwa matendo ya muislamu.. muislamu ni mtu kama wewe tu na wala siyo malaika na ndio mahana kwenye uislamu sisi uwa atamfuati mtu bali Qurani na sunah tu binadamu anakosea lakini maneno ya mwenyezi mungu na mafundisho na makatzo yake wala hayana dosari na ayatakuja kuwa na dosari nitawapa mfano tu uko marekani matukio mangapi yanatokea ya mauaji kanisani anatokea mtu anawashambulia watu wakiwa kwenye ibada? mlishawai kusikia tuna uhukumu ukristo kwa kosa la mkristo? Kabla auja ukosoa uislamu ni vyema ukausoma na kuhujua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yule binti wa Nigeria kuuawa na genge la wavaa kubadhi, yanalizungumziaje mkuu, au hao sio waislam et
 
Na yule binti wa Nigeria kuuawa na genge la wavaa kubadhi, yanalizungumziaje mkuu, au hao sio waislam et
Walichokifanya siyo cha haki na ni kinyume na uislamu wakati wa uhai wa mtume muhamad s.a.w alikuwa anaishi na watu wa dini nyingine tofauti na uislamu bila kuwanyanyapaa wala kuwafanyia vitimbi vya aina yoyote na huu ndio upendo aliotuachia mtume hakuna kulazimishana kwenye dini kama mtu umempa nasaha na mawaidha na akagoma kuyaamini utakiwi kumlazimisha kilichofanyika Nigeria ni kumdhurumu haki yake ya kuishi yule binti ..NB: uislamu ni dini ya upendo na amani pale msiokuwa waislamu mnapoishinao kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubarikiwe kwan kuna wakati najjiuliza hii dini vipi?
Qurani na sunah ndio miongozo ya waislamu wote duniani wapo waislamu wanaujua ukweli lakini kwa makusudi na kwa manufaa yao binafsi wanaamua kupotosha wenzao kwa manufaa yao binafsi uislamu ni mzuri na mwepesi kwa wale walioamua kuufuata ki kweli kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kwanini umuite mwenzio kafili?
Kun videoclip nliona jamaa wanemuuwa m mama kisa hajavaa hijab tu! Je nani kafil hapa
achana na habari za vijiweni kuitwa kafir sio tusi
 
Saudi arabia inavyolipua kule yemen ama kuchinja kina khashoggi huwa inaua wakristo ama waislam wenzao? Mbona hailipui ama kuchinja raia wa italy ama usa ili wawaue wakristo
aliyekwambia Saudia au Yesmeni ni Waislam 100% nani ?
 
aliyekwambia Saudia au Yesmeni ni Waislam 100% nani ?

Alieniambia ni mwalimu wangu wa civics.

Haya na wewe pia Jibu swali Saudi arabia ni secular state ama non secular state?

Pia Jibu swali Yemen ni secular state ama non secular state?
 
Saudi arabia inavyolipua kule yemen ama kuchinja kina khashoggi huwa inaua wakristo ama waislam wenzao? Mbona hailipui ama kuchinja raia wa italy ama usa ili wawaue wakristo
Una uwakika wale ni 100% ni waislamu? umepandikizwa chuki
 
Alieniambia ni mwalimu wangu wa civics.

Haya na wewe pia Jibu swali Saudi arabia ni secular state ama non secular state?

Pia Jibu swali Yemen ni secular state ama non secular state?
wale Wana katiba yao how comes wawe non secular state na wale wanafuata Sheria baadhi za dini.wameona wasitunge kwingine .

Kaangalie maivestment ya waliosio waislamu yapo kibao kuambia kwamba sehemu za umma hamna kulewa, kuvaa uchi ,kuuza madawa ndo vibaya mbona hata ukristo unakataa
 
Nimeshangaa unabisha huku Hujui hata kama quran na sunnah ndio katiba ya nchi ya saudi arabia.
Unajielewa lakini katiba ya mavi yule mwana wa mfalme angemuua Jamal khashong yule mwandishi wa habari? Hyo misingi ya qur an na Sunnah ipo kwa vile jamii kubwa ni ya waislamu sio kwa utekelezaji kama unavyojua .....Hizo sunnah na qur an wanafuata wasaudia na serikali haipo kama unavyodhani kutwa wanakaa kikao na marekani wale ni vibaraka tu wamarekani
 
Alieniambia ni mwalimu wangu wa civics.

Haya na wewe pia Jibu swali Saudi arabia ni secular state ama non secular state?

Pia Jibu swali Yemen ni secular state ama non secular state?
hio haina mantiki unachotakiwa kujua ni kua Muislam hawezi kuua Muislam mwenzake isipokua kafir ndio anafanya mauaji kwa kutumia koti la Uislam.
 
Dini moja ndo kitaumana, wakati msabato anaamini siku ya saba ni takatifu, , soma historia nyuma usije ukarudia ya enzi za rumi
Bora kiumane tu ili dunia iwe na amani..hizi imani nyingi ni upuuzi mtupu..ama kusiwe na dini ulimwengu..ingawa ni kitu kigumu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mnachoshindwa kuelewa nyinyi ambao msioujua uislamu vizuri na mafundisho yake ..NB: Uislamu ni dini ya upendo na amani na ipo kinyume na ayo yanayofanyika uislamu umekataza ayo yaliyofanyika na uko wazi kabisa mnachokosea au msichokijua ni kuwa mna upa dosari uislamu kwa matendo ya muislamu.. muislamu ni mtu kama wewe tu na wala siyo malaika na ndio mahana kwenye uislamu sisi uwa atamfuati mtu bali Qurani na sunah tu binadamu anakosea lakini maneno ya mwenyezi mungu na mafundisho na makatzo yake wala hayana dosari na ayatakuja kuwa na dosari nitawapa mfano tu uko marekani matukio mangapi yanatokea ya mauaji kanisani anatokea mtu anawashambulia watu wakiwa kwenye ibada? mlishawai kusikia tuna uhukumu ukristo kwa kosa la mkristo? Kabla auja ukosoa uislamu ni vyema ukausoma na kuhujua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema vyema sana..ila shida inakua pale mtu akitaka kujilipua au kuua wenzake lazima ataje jina la mungu wa kiislamu..huyo mtu utamuelewa vipi kama sio katumwa na dini yake kutenda hayo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom