Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aibu imetua ufipani.
Binafsi lazima niende kuhijiKwa hiyo watu watakua wanaenda kuhiji apo, Nyumba kama kanisa yale mabanda ya mwanzoni yalisababisha mpaka hiyo kaburi kujengewa nyumba.
F@la afe Kwa koona alafu umsingizie lissu ny.0koLisu ni shetani anayetembea
kufanya uwekezaji kwa serikali sio vibaya,kwanza serikali kufanya biashara haiwezi kujitwisha huo mzigo ni vizuri sana,hebu imagine sasaivi teknolojia ya mawasiliano ilipofikia na uko nyuma ilivyokuwa ttcl ndio utaelewaAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO wakati Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani na nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake, mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani tutapambana nao.
Makamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".
Wamemuua ccm wenzakeNdiye aliye muua?
Sasa unapigia kaburi magoti buana yaani imaani zingine, nashukuru Allah kwa kuniongoza kwenye imaniMakamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".