evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Jamaa alitaka kumuua lisu Mungu alivyofundi kamuondoa yeye kamuacha lisuLisu ni shetani anayetembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alitaka kumuua lisu Mungu alivyofundi kamuondoa yeye kamuacha lisuLisu ni shetani anayetembea
Umeongea ukweli sana....huyu mzee alipambana sana yeye kama yeye hata chama chake na wazee wa chama walimsusa....na walimnyima ushirikiano.....leo wako mbele kusifia kaburi....wanafikiri watu hawajuiHuu Ni unafiki,alivyokuwa hai mlitamani afe na alivyokufa mnatakaje
Mengineyo mwisho wake wapi?Kiburi, ujeuri,nyodo,kujiona wewe ndio wewe,ujuwaji mwingi,umungu mtu mwisho hapo.
Hizo tetesi umesikia wapi?Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Nawe basi nishetani unayemwonea wivu mtu na kutamani ageuke shetani pia.Lisu ni shetani anayetembea
Hata huyo jamaa anakushangaaLissu anaingiaje hapa Mkuu?
Mimi nataka wanipige moto then majivu wakatupe mtoni, haya mambo ya kufukiana na makaburi ni wastage of space tu, tamaduni zilizopitwa na wakatiNdio kashakufa mkuu, hakuna haja ya kutumia gharama kubwa haisaidii chochote
Mimi nikindei hata baharini mnitupe, fresh tu
Ndiyo alishaenda huyo nenda kasujudu kama wenzako!Lisu ni shetani anayetembea
Taratibu akili zinawarudia watanzaniaUkiona mambo yanavyoenda sasa, utaamini huyu alikuwa mwamba, tena mwamba kwelikweli... Japo mapungufu alikuwa nayo ila ametuachia kitu kikubwa cha kujifunza. Allah ampe lenye kheri huko aliko, Amen
Kwahiyo hilo kaburi mmelijenga kwa ajili ya kumuenzi mwendachato au kuwaringishia CHADEMA?aibu imetua ufipani.
Mfufueni ili watu waumbuke zaidi. SukumaGang
Hivi tutajiamini lini Kama taifa tunasomesha watu kwa ajili ya Nini? Hebu ona CHINA RAILWAY, CCECC,CCCC,CRBC, na mengine mengi Ni makampuni ya serikali ya China Leo wanatujengea Hadi Reli kwa Nini hatujiulizi tunakwama wapi Kama taifa ili tupige hatua? Lakini hata huko kwenye ubinafsi hatujafanikiwa bado nitajie hata kampuni moja tu ya kizalendo yenye uwezo wa kujenga hata km 50 tu za lami.kufanya uwekezaji kwa serikali sio vibaya,kwanza serikali kufanya biashara haiwezi kujitwisha huo mzigo ni vizuri sana,hebu imagine sasaivi teknolojia ya mawasiliano ilipofikia na uko nyuma ilivyokuwa ttcl ndio utaelewa
Kidogo kodogo mtamuelewa tu Magu.....Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Ni kweli mkuu, kwa wanaoishi Uyole,Mbeya watakuwa mashahidi mpaka sasa burial sites zilizofungwa ni kama 3, halafu ni maeneo makubwa si kidogo, kibaya zaidi eneo la nne nalo linaenda kujaa si muda mrefu!Mimi nataka wanipige moto then majivu wakatupe mtoni, haya mambo ya kufukiana na makaburi ni wastage of space tu, tamaduni zilizopitwa na wakati