Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Hata wajenge na nn. Ndani ya hilo kaburi kuna nn kama si uvundo na mifupa mitupu. Acheni kumkufuru Mungu. Mbona la Mkapa hamkuliweka???
 
Angejua kama dunia ni mpangaji asingemkosoa Mola wake
 
Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.😏😏

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Kama ni kwa fedha za familia sawa
 
Lisu ni shetani anayetembea
Je wajua kuwa Tundu Antipas Lissu hivi tunavyozungumza anapumua, anatembea japo kwa shida, anaona, anasikia, anaweza kula, anaweza kufikiri, anaweza kuzungumza na cha muhimu sana anaweza kutabasamu? Amefanya kosa gani la kumfanya awe shetani? Au kwa kulalamika kuwa amepigwa risasi bila makosa. Hebu yataje hapa makosa ya TAL ili na mimi nijiunge kumshutumu TAL
 
245154501_909088446394865_5514189208103415052_n.jpg
kimyomoyo ukute huyo mwenye shati la kitenge anashukuru kufa kwa jiwe.

kifua cha binadamu kinabeba siri nyingi sana.
 
Kwani kuna mtu alisema hili kaburi litakaa hivyo hivyo siku zote au mnajishtukia tu.Ata makaburi ya watu tu wakawaida yanajengewa sembuse huyo ambaye alikua kiongozi wa nchi.punguza upuuzi usio na maana kwasababu kaburi ata lijengwe na madini yanayotoka mbinguni kamwe haliwezi kua na maana na thamani kama ambavyo alivyokua binadamu.Kwahiyo kujadili thamani na ubora wa kaburi ni ujinga tu.
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
mnamiss sana huyo mzee wenu ila ni nothing kabisa , alishindwa kuleta katiba mpya ambayo ingejenga misingi imara Leo na kesho sababu binadamu tunapita ila yeye aliwaza mitano Tena na kuongezewa mda. Poor
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Hebu tuache uongo,ni ushahidi upi unakupa usema maneno hayo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Dah TANESCO Wawekezaji tena?? Duh watu hawana HURUMA
 
Jeshi ndiyo wamejenga baada ya watu kuponda sana yule bi mkubwa alikuwa bize kupanga safi yake ya uongozi
Kwani jeshi lipo chini ya nani? Kwani kinakuuma nini tukisema Rais Samia amejenga?
 
Back
Top Bottom