West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Hajawai kutokea rais wa ajabu tangu Uhuru wa tanganyika kama rais Maguful. Lissu.Binafsi lazima niende kuhiji
Yule ni mwamba na kioo cha Tanzania yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajawai kutokea rais wa ajabu tangu Uhuru wa tanganyika kama rais Maguful. Lissu.Binafsi lazima niende kuhiji
Yule ni mwamba na kioo cha Tanzania yetu
Hata wajenge na nn. Ndani ya hilo kaburi kuna nn kama si uvundo na mifupa mitupu. Acheni kumkufuru Mungu. Mbona la Mkapa hamkuliweka???Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.
Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.
Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]
Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Kama ni kwa fedha za familia sawaKuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.
Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.
Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.😏😏
Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Je wajua kuwa Tundu Antipas Lissu hivi tunavyozungumza anapumua, anatembea japo kwa shida, anaona, anasikia, anaweza kula, anaweza kufikiri, anaweza kuzungumza na cha muhimu sana anaweza kutabasamu? Amefanya kosa gani la kumfanya awe shetani? Au kwa kulalamika kuwa amepigwa risasi bila makosa. Hebu yataje hapa makosa ya TAL ili na mimi nijiunge kumshutumu TALLisu ni shetani anayetembea
kimyomoyo ukute huyo mwenye shati la kitenge anashukuru kufa kwa jiwe.
Kila siku lissu...lissu lissu...siyo bure atakuwa anakutafnaLisu ni shetani anayetembea
Pole sana kwa "kupelekewa moto" na TL na hatimaye "kunasa" kwa kiumbe na kutelekezwa.Lisu ni shetani anayetembea
Hawa UVCCM ni mzigo sana kwa hili taifa. Wao ni full umbeya umbeya tuu!Hizo tetesi umesikia wapi?
mnamiss sana huyo mzee wenu ila ni nothing kabisa , alishindwa kuleta katiba mpya ambayo ingejenga misingi imara Leo na kesho sababu binadamu tunapita ila yeye aliwaza mitano Tena na kuongezewa mda. PoorAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Umeoteshwa na shetani?Makamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".
Damn! Kodi zetu
Hebu tuache uongo,ni ushahidi upi unakupa usema maneno hayoAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Kwani kafufukaaibu imetua ufipani.
Haya mambo tuyaache tu ndugu, hivi ni mani katangulia...dadadeq.Lisu ni shetani anayetembea
Imani gani ya waarabu au wazungu?Sasa unapigia kaburi magoti buana yaani imaani zingine, nashukuru Allah kwa kuniongoza kwenye imani
Dah TANESCO Wawekezaji tena?? Duh watu hawana HURUMAAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Wewe ni kamanda uchwara, hata hunisumbui.Umeoteshwa na shetani?
Kwani jeshi lipo chini ya nani? Kwani kinakuuma nini tukisema Rais Samia amejenga?Jeshi ndiyo wamejenga baada ya watu kuponda sana yule bi mkubwa alikuwa bize kupanga safi yake ya uongozi