Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

245154501_909088446394865_5514189208103415052_n.jpg
Wamefanya kosa sana kuweka tylies nyeusi wangewekaa jeupe kama roho yake ilivyokuwa
 
Kama ni kwa fedha za familia sawa
Za serikali usiwe na hasira huyu alikuwa ni rais wa nchi tena mzalendo. For yo information falilia hawajachangia kitu chochote labda maji tu ya kujengea.
 
Nchi huliwa na wenye meno
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
 
Heshima ipi?
Rais Samia amempa heshima mtangulizi wake. Pumzika kwa amani mwamba..umeumaliza mwendo kwa alama mahususi.

Tutakukumbuka kwa mema na mabaya. Ila hakimu na Wakili ni Mola wetu Mlezi.
 
Kaburi laweza jengwa kwa marumaru, dhahabu, lulu na almasi je kilichomo ndani yake kinasadifu mng'aro na mapambo ya nje? Tuwe na kiasi na tusivuke mipaka kwani adhabu ya kaburi aijuae ni maiti.
 
Kipi cha ajabu wakati hata Drug cartel kule Mexico wanajengewa makaburi kama haya

B1E89EAC-4741-4B40-BD00-B726BA948032.png
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu
shujaa wako wewe na familia yako.
Je hawa? acha hizo, huko aliko anateketea kwa moto mkali, mpambeni tu lkn Mungu anajua ukweli wa alichokitenda kwa watu, KATILI
others-pic-data.jpg

1634145755204.jpeg
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Atakumbukwa mwamba wa tz
 
Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Hata angezungushiwa dhahabu, bado ataendelea kuwa mzoga tu ndani ya kaburi!
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Pambana na hali yako kwanza mwezako huko aliko anapambana na madhila aliyowafanyia watu hapa duniani
 
Back
Top Bottom