wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wamefanya kosa sana kuweka tylies nyeusi wangewekaa jeupe kama roho yake ilivyokuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya kosa sana kuweka tylies nyeusi wangewekaa jeupe kama roho yake ilivyokuwa
Unakufuru weweUkiona mambo yanavyoenda sasa, utaamini huyu alikuwa mwamba, tena mwamba kwelikweli... Japo mapungufu alikuwa nayo ila ametuachia kitu kikubwa cha kujifunza. Allah ampe lenye kheri huko aliko, Amen
Makamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".
Za serikali usiwe na hasira huyu alikuwa ni rais wa nchi tena mzalendo. For yo information falilia hawajachangia kitu chochote labda maji tu ya kujengea.Kama ni kwa fedha za familia sawa
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Rais Samia amempa heshima mtangulizi wake. Pumzika kwa amani mwamba..umeumaliza mwendo kwa alama mahususi.
Tutakukumbuka kwa mema na mabaya. Ila hakimu na Wakili ni Mola wetu Mlezi.
Lakini aliyelala humo kesha oza na Motoni ataingia!Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
Unatamani yule babako mrevi wa serkali jiji naye akifa ajengewe hivi
Hakuna anayelinga isipokuwa anatufahamisha,hukumbuki ule Uzi wa Banda la kaburi la Magufuli? hili ndio jibu lake.
Inaonekana wanasahau mapema Sana.
View attachment 1973141
That is a choice of an individual. Hawajavunja sheriaKwa hiyo watu watakua wanaenda kuhiji apo, Nyumba kama kanisa yale mabanda ya mwanzoni yalisababisha mpaka hiyo kaburi kujengewa nyumba.
shujaa wako wewe na familia yako.Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu
Atakumbukwa mwamba wa tzAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Hata angezungushiwa dhahabu, bado ataendelea kuwa mzoga tu ndani ya kaburi!Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.
Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.
Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]
Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Pambana na hali yako kwanza mwezako huko aliko anapambana na madhila aliyowafanyia watu hapa dunianiAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
duKipi cha ajabu wakati hata Drug cartel kule Mexico wanajengewa makaburi kama haya
View attachment 1973303
Kufika 2025 watabaki wachache sana wenye vichwa vigumu ambao watakuwa bado hawajarudiwa na akili.Taratibu akili zinawarudia watanzania