Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Tuelezee tusiofahamu, anakufuru vipi kwa hiyo statement yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drug cartel ni niniKipi cha ajabu wakati hata Drug cartel kule Mexico wanajengewa makaburi kama haya
View attachment 1973303
Yah, somehow! Kuteka kuua, kupora fedha za watu,Kwa hiyo baada ya kifo cha Magu mmetoka utumwani?
Mkapa wamemsahau eti wakati ndio mziziHata wajenge na nn. Ndani ya hilo kaburi kuna nn kama si uvundo na mifupa mitupu. Acheni kumkufuru Mungu. Mbona la Mkapa hamkuliweka???
Weeeee madalali tenaa ?Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Hata angezungushiwa dhahabu, bado ataendelea kuwa mzoga tu ndani ya kaburi!
Yapo huo upande wenye madirisha yametengwa ila nayo yamejengewa sema yametengwa na madirishaSi kulikuwa na makaburi mengine pembeni au yameondolewa?
Kumbe ni mpango wa Mungu CMM kuw madarakani mpaka leo na mbow kuw ukonga..Ulikuwa mpango wa Mungu Israel kukaa utumwani Misri miaka 400 Ili baadaye utukufu wa Mungu udhihike dunian
Akisubiri kuoza.Lisu yuko belgium anakula pizza
Si Gwajima ana uwezo wa kufufuwa? Amtowe huyu kuzimu.Mfufueni ili watu waumbuke zaidi. SukumaGang
Ndani mifupa mitupu na fuvu.Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
Mambo usioyajua kuhusu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Haya nenda ukalale hapo na wewe.Makamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".
Miaka yote huna pasi ya umeme hongeraAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Mjane unasherehekea kaburi kweri-kweri.aibu imetua ufipani.
Niliona hamna faida ya kuwa nayo nikauza, maana ilikuwa inanipeleka nje ya uni70 fasta.Miaka yote huna pasi ya umeme hongera