Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

245154501_909088446394865_5514189208103415052_n.jpg
Hivi mtu akizikwa peke take Huko kuzimu anakuwaje ? Naona peke yake polini? Nasikiaga uruma sana
 
December 25/26 mwaka huu nitakuwa hapo kutoa heshima zangu kwa mwamba JPM. Nafahamu nahitajika kupata kibali kwa mkuu wa wilaya ya Chato, nitafanya hivyo kwa hakika.🏆
🥇🥈🥉👌💪
 
...watanzania wanasahau kuwa bila kusemea/kupigia kelele mambo nchi hii hayafanyiki....hata hili la kaburi la mwendazake...Kama watu wasingesema humu ungekuta halijajengwa ...lilishasahaulika...Hadi kelele zilipopigwa wakalijenga fasta fasta...hivi ndivyo mambo yanafanyika tz hii ya ma ccm
 
Mungu fundi bwana
Mitano tena anailia kwenye Jumba la milele
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
LOOOooh, mbona umenistua moyo wangu mkuu juu ya hiyo habari ya kunadisha TANESCO, nilikuwa bado sijaipata.

Nani kichaa huyo asiyelitakia mema taifa hili; kweli atafanikiwa?

Kama umesikia hawa vidagaa akina Makamba ndio wanatoa uharo huo, basi ujue hao ni vispika tu, mwenye sauti yupo.

Hivi ndivyo nchi inavyofunguliwa?

Hakika hawa ndio maadui wa taifa letu la Tanzania, na ni lazima tuwatambue hivyo.

Baada ya kuyaandika hayo, nikirudi kwa huyo unayemsifu, niliposoma kichwa cha habari tu kabla sijasoma uliyoandika ndani yake nikawa na shauku ya kukujibu kwamba huyo mtu wako alikuwa na kasoro kubwa sana. Na hivyo ndivyo ilivyo hata kama kuna baadhi ya mambo aliyonuia kuyafanya yalikuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu. Tukiondoa ule uchafu wake (ambavyo kiuhakika haiwezekani kuuondoa au kuusahau), Magufuli angekuwa ni rais mzuri sana, angeweza kuwa katika safu moja na Mwalimu na Sokine.

Sijui ni kitu gani kilichokuwa kikimsukuma kufanya mambo ya ajabu ajabu sana, mengine hata yakiwa hayana ubinaadam kabisa!
 
Ndio kashakufa mkuu, hakuna haja ya kutumia gharama kubwa haisaidii chochote

Mimi nikindei hata baharini mnitupe, fresh tu
Maneno huuumba chunga kauli zako maiti hupewa heshima pia ndio maana hustiliwa basi ukatendewe sawa sawa na maombi yako
 
kufanya uwekezaji kwa serikali sio vibaya,kwanza serikali kufanya biashara haiwezi kujitwisha huo mzigo ni vizuri sana,hebu imagine sasaivi teknolojia ya mawasiliano ilipofikia na uko nyuma ilivyokuwa ttcl ndio utaelewa
Hivi mkuu, ni kweli shirika la umma popote duniani haliwezi kufanya kwa ufanisi?
Embu toa sababu tuzitathimini sote!
 
Ni kweli mkuu, kwa wanaoishi Uyole,Mbeya watakuwa mashahidi mpaka sasa burial sites zilizofungwa ni kama 3, halafu ni maeneo makubwa si kidogo, kibaya zaidi eneo la nne nalo linaenda kujaa si muda mrefu!

Hayo ni matumizi mabaya ya ardhi, bora utaratibu wa cremation utiliwe mkazo hapa Bongo itasaidia
India walishakataa hiyo makitu, unatandikwa moto, ndugu wanachukua majivu, mkiamua kutunza ok, mkiamua kuyamwaga mtajua mwenyewe! Nchi nyingi zinaadopt hiyo kitu! Hebu angalia eneo potential kama Kinondoni Makaburini, linashindwa kutumika kwa uzalishaji kusaidia watu waliopo at the present sababu kuna kaburi la so and so walikufa mika ya 1950's
 
Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.😏😏

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Airbus moja iwekwe pale ndani
 
Back
Top Bottom