Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Ila hao wahindi hawachomani moto kwa sababu za kuhifadhi ardhi bali huchomana moto(kumaliza kuni) kwa sababu za imani zao.

Sasa tukianza kutizama mambo kwa mitazamo hiyo tutaanza hata kuona hizi nyumba za ibada zilizojaa nazo ni matumizi mabaya ya ardhi na hatutoishia hapo.
Ni mtazamo tu mkuu, ila natamani TZ kungekuwa na options, mapema kabla hujafa unajiamulia unataka uzikwaje, Mimi kwangu ni moto tu
 
Naamini wewe sio mgeni hapa Tz,unaelewa vyema mbinu zao za kutest zali na kupigia debe upupu kabla ya kutuingiza kwenye majanga,Kila janga lilikuja baada ya kupigiwa debe na kupambwa matumaini kibao, kauli yake na Zito kabwe kuhusu TANESCO ikafuatiwa na ziala zake za kutafuta wawekezaji kwenye barozi za kigeni na posti zake kwenye mitandao ongeza na baadhi ya watu walioteuliwa kuwa na mgonhano wa kimaslahi na makampuni yaliyo tuumiza huko nyuma,jumlisha na kauli ya Muhongo bungeni hivi karibuni utapata majibu wapi tunaelekea. Haina Shaka subiri utashuhudia mwenyewe.
Bado unachanganya mambo...

Kwenye sekta ya umeme kuna maeneo makuu matatu... Generation, Transmission, na Distribution. Kwavile maeneo yote hayo yanahitaji nguvu ya kutosha in terms of finance and human resources, serikali ikaonelea maeneo mengine, hususani eneo la Generation, sekta binafsi ihusishwe lakini Transmission SHOULD STRICTLY remain in the hands of TANESCO!!

Tafuta na soma what's so-called Power System Master Plan!! Hapa nitakuwekea sehemu tu ya Updated version ya 2020 kipindi cha huyo huyo Magufuli ambae unadai baada ya yeye kufariki, watu wanataka kuleta yao.

Ningekuwa 2008 PSMP Comprehensive Version lakini utasema hiyo ya 2008 "Ndo walewale"

Sehemu ya Power System Master Plan 2020 Update inasema:-

Power2.png


Huo ni mpango wa Wizara ya Nishati chini ya huyo huyo The Late Magufuli?! Na hapa nasisitiza huko sio kubinafsisha TANESCO kama wengine wanavyodai!

Na kaa ukijua, dunia ya leo kuna kitu kinaitwa Power Generation Mix! Hili lifahamike kwa sababu suala la Nyerere Dam wengine linawafanya wadhani tatizo la umeme ndo BYE BYE for good, huku wakisahau lile ni bwawa tu, na ufanisi wake unategemea mvua!

Tukipigwa ukame wa miaka 3 mfululizo hapa , tena kwenye maeneo tu yanayo-supply maji kwenye bwawa la Nyerere, hapo lazima watu watafutane. Na ndo hapo wengine wataanza kusingizia "kwavile Magufuli amefariki, watu wameanza kuziba maji" kumbe it's just science!!

Hata hivi sasa, ingawaje credit anapewa Magufuli, hii nafuu inatokana na gas ya Mtwara kupitia bomba la Kinyerezi!

Zaidi ya 55% ya umeme uliopo kwenye grid ya taofa hivi sasa unatokana na Gesi ya Mtwara na Songosongo!! Sasa jiulize kama sio hiyo gas hali ingekuwaje hata kama tayari kuna umeme unaozalishwa kwa maji!

Ni kutokana na hilo, ndo maana suala la Power Generation Mix haliepukiki! Kama serikali inajenga Bwawa la Nyerere, hiyo haiwezi kuwa sababu ya kutokuwa na vyanzo vingine vya umeme... ama vinavyomilikiwa na serikali au sekta binafsi!!
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Halafu kuna wajuba wanataka Maza aendelee hadi 2035.
 
kenge kweli; mama amekuta $5.8 billion kwenye reserve, unajua nani aliziacha?
Wewe kenge kweli; mama amekuta $5.8 billion kwenye reserve, unajua nani aliziacha?
Gadaffi aliacha nyingi zaidi ya hizo, lakini haikuondoa udictator wake.
 
Peleke mswaada wa kuomba tarehe 17 Mach iwe siku ya mapumziko. Naomba kufahamishwa hivi kuna taifa lolote dunia linapumzika siku ambayo amefariki sijui mwanzilishi wa taifa lao. Je Kenya kuna siku wanapumzika kuomboleza tarehe na mwezi aliokufa Kenyatta. Ama Waamerika nao wanafanya kama sisi. Naomba nijulishwe. Hapo kwenye kaburi ni nani huyo ambaye amepiga magoti? Yaani waafrika tuna mbongo za kijinga sana baadhi yetu.
 
Peleke mswaada wa kuomba tarehe 17 Mach iwe siku ya mapumziko. Naomba kufahamishwa hivi kuna taifa lolote dunia linapumzika siku ambayo amefariki sijui mwanzilishi wa taifa lao. Je Kenya kuna siku wanapumzika kuomboleza tarehe na mwezi aliokufa Kenyatta. Ama Waamerika nao wanafanya kama sisi. Naomba nijulishwe. Hapo kwenye kaburi ni nani huyo ambaye amepiga magoti? Yaani waafrika tuna mbongo za kijinga sana baadhi yetu.
Tatizo hapo ni kwamba sisi tunafanya jambo ambalo wengine hawafanyi au kwamba kwa sababu hao wengine hawafanyi hivyo ndio inakuwa sio sahihi au ni ujinga sisi kufanya hilo jambo?
 
Tatizo hapo ni kwamba sisi tunafanya jambo ambalo wengine hawafanyi au kwamba kwa sababu hao wengine hawafanyi hivyo ndio inakuwa sio sahihi au ni ujinga sisi kufanya hilo jambo?
Pigia mstari kauli yako ya mwisho
 
Ninachompendea Mungu huwa haangalii mbembwe na unafiki wetu.
Hata angalijengewa pyramid ya dhahabu iliyonakshiwa Kwa Tanzanite mbele ya Mungu atasimama kwenye hukumu Sawa Sawa na yule ambaye kaburi lake halipo kabisa duniani(eg Saa nane,Azory ) au waliotupwa baharini Nk.
Na hapo ndipo patakapokuwapo na kilio na kusaga meno maana walioonekana malaika wa dunia hii watatupwa ktk ziwa la moto Kwa unafiki na uovu wao.

Tuishi Kwa kumpendeza Mungu na amri ni moja tu "tupendane"
Tukipendana hatuwezi kuuana, kupigana risasi, kuchukuliana fedha kibabe, kutekana, kutumia mamlaka kudhalilisha hadharani na Wala hatuwezi kusimama kwenye membari za ibada kuhubiri umoja Huku nyuma ya pazia tukifanya ubaguzi.
 
Wosia wa Mengi unatekelezwa na nani?
Point yangu ni kwamba watu tuna imani, sheria na tamaduni zetu mbalimbali na hizo ndio hutumika kuongozea mambo yetu mbalimbali. Wasia wa Mengi unashughulikiwa kisheria sasa sijui wewe kutaka kuchomwa moto ni akina nani watakubali kutekeleza jambo hilo ikiwa ni tofauti na imani yake na tamaduni zake ghafla aanze tu kuchoma moto maiti.
 
Point yangu ni kwamba watu tuna imani, sheria na tamaduni zetu mbalimbali na hizo ndio hutumika kuongozea mambo yetu mbalimbali. Wasia wa Mengi unashughulikiwa kisheria sasa sijui wewe kutaka kuchomwa moto ni akina nani watakubali kutekeleza jambo hilo ikiwa ni tofauti na imani yake na tamaduni zake ghafla aanze tu kuchoma moto maiti.
Ndiyo maana nikasema "ningependa iwe hivyo"
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Utapambanaje na huku umeshika kwenye makali?
 
Wewe lofa na Lissu wa Amsterdam hamtakufa .....umefurahi siyo? Hongera zenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Lazima nitakufa kwa mipango ya Mungu ila sio kama hilo li gaidi limarehemu lenu lilivotaka kumuua lisu .
Mungu akaamua kuliua lenyewe kwanza.
Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kulichoma moto huko jehanamu lilipo milele
 
Lazima nitakufa kwa mipango ya Mungu ila sio kama hilo li gaidi limarehemu lenu lilivotaka kumuua lisu .
Mungu akaamua kuliua lenyewe kwanza.
Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kulichoma moto huko jehanamu lilipo milele
Mkuu maybe upo sahihi kwa mtazamo wako!!! Lakini nataka nikwambie kuwa kiongozi mkuu kwenye nchi sio mchezo jamaa angu.... Yani kuna maamuzi unalazimika kuchukua kwa maslai ya taifa!!! Nikuulize ilikuwa ni sahihi lissu kutetea wazungu kwenye wizi wa madini??? Na kama wewe ungekuwa ni raisi ungefanyaje?? Note sihalalishi kuuwa lakini pia hakuna anaejua lissu ni nani muhusika mpaka now.... Ni kama mama saizi na issue ya mbowe unafikiri angefanyaje??? Au ungekuwa wewe ungefanyaje mkuu?
 
Back
Top Bottom