Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Matumizi mabaya kabisa haya ya kodi zetu, hakusaidii chochote kujenga hivo
 
Alikuwa dhalimu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Wewe kenge kweli; mama amekuta $5.8 billion kwenye reserve, unajua nani aliziacha?
 
Mimi nataka wanipige moto then majivu wakatupe mtoni, haya mambo ya kufukiana na makaburi ni wastage of space tu, tamaduni zilizopitwa na wakati
Wewe utaliwa na vultures maana hakuna mtu atapoteza mda wa kukuchoma
 
Iliishia kinyelezi 1;2;3 powerplant zilizochukua nafasi ya umeme ulikuwa unazalishwa na wezi wa IPTL,DOWANS na SIMBION nyingine inazalisha simenti wazo na Viwanda vingine na zaidi tayari tumeshaanza kuitumia majumbani.
una swali jingine?
Huyu anaishi buza atajua je kuwa kuna maeneo Dar tana line za gesi?
 
Binafsi lazima niende kuhiji
Yule ni mwamba na kioo cha Tanzania yetu
Katika maisha yangu nilishaplan siku mmoja niombe appointment na Rais mkapa na MagufuliJP. Bahati mbaya sana wamekufa sijawaona wala kuongea nao. Nitaenda kuhiji kwenye makaburi yao. Kwa baba wa Taifa Nimeenda mara kadhaa.

Watu hawa kwangu walikuwa mashujaa hasa Nyerere na MagufuliJP hawa ni wazalendo wa kweli. Tutakuja tu kufanya uchunguzi kifo cha magufuli hata ipite miaka 200. Tutafanya uchunguzi na wauwaji watajulikana
 
245154501_909088446394865_5514189208103415052_n.jpg
Naomba kuweke AC kumuenzi mwamba
 
Katika maisha yangu nilishaplan siku mmoja niombe appointment na Rais mkapa na MagufuliJP. Bahati mbaya sana wamekufa sijawaona wala kuongea nao. Nitaenda kuhiji kwenye makaburi yao. Kwa baba wa Taifa Nimeenda mara kadhaa.

Watu hawa kwangu walikuwa mashujaa hasa Nyerere na MagufuliJP hawa ni wazalendo wa kweli. Tutakuja tu kufanya uchunguzi kifo cha magufuli hata ipite miaka 200. Tutafanya uchunguzi na wauwaji watajulikana
Muuwaji anajurikana mbona? Ni Corona.
 
Back
Top Bottom