luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
IshiiiiiyPunguza wehu na wewe.umekua mtu mzima sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IshiiiiiyPunguza wehu na wewe.umekua mtu mzima sasa
Ndio. Isingekuwa sifa tusingekuwa tunaitana ukoo mzima kwenda kupigana vikumbo makaburini kujengea ndg zetu waliolala hapo.Hivi kaburi kuwa zuri nayo ni sifa?
na tarumbeta, vinanda na vinubi tumekodisha vituburudishe.Mjane unasherehekea kaburi kweri-kweri.
Wamemjengea na kanyumba labda waliogopa Kigogo angekuja kuny** kweliKiburi, ujeuri,nyodo,kujiona wewe ndio wewe,ujuwaji mwingi,umungu mtu mwisho hapo.
Bila kusahau madera.na tarumbeta, vinanda na vinubi tumekodisha vituburudishe.
nasema uongo ndg zangu?
Wewe kenge kweli; mama amekuta $5.8 billion kwenye reserve, unajua nani aliziacha?Alikuwa dhalimu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Wewe utaliwa na vultures maana hakuna mtu atapoteza mda wa kukuchomaMimi nataka wanipige moto then majivu wakatupe mtoni, haya mambo ya kufukiana na makaburi ni wastage of space tu, tamaduni zilizopitwa na wakati
Siku zote mwisenye hajawahi kuwa na akiliwenzenu wanaringia kurusha satelite angani, nyie mnaringia kujenga kaburi, kweli mwendachato hakukosea kuwaita wanyonge
Huyu anaishi buza atajua je kuwa kuna maeneo Dar tana line za gesi?Iliishia kinyelezi 1;2;3 powerplant zilizochukua nafasi ya umeme ulikuwa unazalishwa na wezi wa IPTL,DOWANS na SIMBION nyingine inazalisha simenti wazo na Viwanda vingine na zaidi tayari tumeshaanza kuitumia majumbani.
una swali jingine?
Kwa nini usianze wewe?Haya nenda ukalale hapo na wewe.
Katika maisha yangu nilishaplan siku mmoja niombe appointment na Rais mkapa na MagufuliJP. Bahati mbaya sana wamekufa sijawaona wala kuongea nao. Nitaenda kuhiji kwenye makaburi yao. Kwa baba wa Taifa Nimeenda mara kadhaa.Binafsi lazima niende kuhiji
Yule ni mwamba na kioo cha Tanzania yetu
Naomba kuweke AC kumuenzi mwamba
Muuwaji anajurikana mbona? Ni Corona.Katika maisha yangu nilishaplan siku mmoja niombe appointment na Rais mkapa na MagufuliJP. Bahati mbaya sana wamekufa sijawaona wala kuongea nao. Nitaenda kuhiji kwenye makaburi yao. Kwa baba wa Taifa Nimeenda mara kadhaa.
Watu hawa kwangu walikuwa mashujaa hasa Nyerere na MagufuliJP hawa ni wazalendo wa kweli. Tutakuja tu kufanya uchunguzi kifo cha magufuli hata ipite miaka 200. Tutafanya uchunguzi na wauwaji watajulikana
Mbona hawajaongea chochote na hawajalalamika au ndo umeamua kuwalisha manenoMakamanda uchwara wameshaanza kulalamika eti oh ni matumizi mabaya ya kodi "zetu".
Jenista Mhagama huyo, wote wajane na yatima hao.Huyo aliyesimama kwa magoti ni nani?
Kwani lazima mpaka waongee?Mbona hawajaongea chochote na hawajalalamika au ndo umeamua kuwalisha maneno