Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

shujaa wako wewe na familia yako.
Je hawa? acha hizo, huko aliko anateketea kwa moto mkali, mpambeni tu lkn Mungu anajua ukweli wa alichokitenda kwa watu, KATILI
others-pic-data.jpg

View attachment 1973308
Msihukumu msije mkahukumiwa maandiko yanasema,wakumbuke wale wahalifu wawili walio tundikwa msalabani pamoja na Yesu mmoja alitubu dakika za mwisho na akawa binadamu wa Kwanza kwenda mbiguni huku watu ambao hawakuwepo kwenye Hilo tukio la kutubu wakijua Ni mwenye dhambi!
Punguzeni kumhukumu Magufuli kwani hamkuhusiswa kwenye dakika zake za mwisho.
WAOMBEENI WAFU NA SI KUWAHUKUMU, Mnaingilia kazi ya muumba Nani ajuae pengine alimlilia muumba wake na akasamehewa.
Ni Nani nyie mnaohukumu kujivisha kazi ya muumba wetu?
 
Mungu amlaze anapostahili. Wababe waliobaki wana cha kujifunza hasa kwenye kutenda haki
 
apumzike kwa amani shujaa. ,tunammiss kila tunaposikia Mambo ya kutuchefua,huku mtaani naskia minong'ono wanataka kuwaleta madalali wavune wasichopanda,daaah inatia ghazabu na hasira Sana. Kweli ule umeme wa Bei nafuu tutaupata kweli!! binafsi ndoto za kua na jiko la umeme zinapotea ,naona tutaendelea kukomaa na mkaa!!
FB_IMG_1616384477673.jpg
 
Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Punguza wehu na wewe.umekua mtu mzima sasa
 
Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.

Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.

Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.[emoji57][emoji57]

Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.
Hakuna watu nawadharau kama bavicha sasa hivi.
 
Alikuwa dhalimu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajifariji!

Yani huyo mungu wako akaona amuondoe kiongozi muovu alafu aiche ccm ikiendelea kukamata magaidi?

Nilifikiri huyo mungu wako angeiondoa kabisa ccm ili uache kuishi kwa stress
 
Msihukumu msije mkahukumiwa maandiko yanasema,wakumbuke wale wahalifu wawili walio tundikwa msalabani pamoja na Yesu mmoja alitubu dakika za mwisho na akawa binadamu wa Kwanza kwenda mbiguni huku watu ambao hawakuwepo kwenye Hilo tukio la kutubu wakijua Ni mwenye dhambi!
Punguzeni kumhukumu Magufuli kwani hamkuhusiswa kwenye dakika zake za mwisho.
WAOMBEENI WAFU NA SI KUWAHUKUMU, Mnaingilia kazi ya muumba Nani ajuae pengine alimlilia muumba wake na akasamehewa.
Ni Nani nyie mnaohukumu kujivisha kazi ya muumba wetu?
FACTUM PROBANS
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajifariji!

Yani huyo mungu wako akaona amuondoe kiongozi muovu alafu aiche ccm ikiendelea kukamata magaidi?

Nilifikiri huyo mungu wako angeiondoa kabisa ccm ili uache kuishi kwa stress
Ulikuwa mpango wa Mungu Israel kukaa utumwani Misri miaka 400 Ili baadaye utukufu wa Mungu udhihike dunian
 
Umeongea ukweli sana....huyu mzee alipambana sana yeye kama yeye hata chama chake na wazee wa chama walimsusa....na walimnyima ushirikiano.....leo wako mbele kusifia kaburi....wanafikiri watu hawajui
Hawa watu ni wanyama sana....
Alipambana kwenye nini
 
Back
Top Bottom