greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
yote mawili.Kwahiyo hilo kaburi mmelijenga kwa ajili ya kumuenzi mwendachato au kuwaringishia CHADEMA?
Hili litakuwa fipa flani hv lina ngebe kweliKiburi, ujeuri,nyodo,kujiona wewe ndio wewe,ujuwaji mwingi,umungu mtu mwisho hapo.
Majibu yote ✓Kwahiyo hilo kaburi mmelijenga kwa ajili ya kumuenzi mwendachato au kuwaringishia CHADEMA?
Angalia hii njemba!!!Alikuwa dhalimu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Ila lakini hiki ulichoandika hata wewe mwenyewe utakuwa umejidharau sana mkuu.Lisu ni shetani anayetembea
Mkuu situlikubaliana tusitaniane ya ukwel, mbona unakiuka?Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
wenzenu wanaringia kurusha satelite angani, nyie mnaringia kujenga kaburi, kweli mwendachato hakukosea kuwaita wanyongeMajibu yote ✓
Upo Tanzania au nchi gani? Ndio kusema hujasikia debe la Makamba na Zito Kabwe wewe?Hizo tetesi umesikia wapi?
Ndio ukweli, binadamu wengi hasa huku kwetu afrika mtu akiwa na fedha au madaraka ujiona yeye ndio yeye lakini itafika siku nyodo zote kwisha,ndio hapo sasa.Hili litakuwa fipa flani hv lina ngebe kweli
Gesi ya mtwara iliishia wapi?Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Kama yepi?Mengineyo mwisho wake wapi?
Iliishia kinyelezi 1;2;3 powerplant zilizochukua nafasi ya umeme ulikuwa unazalishwa na wezi wa IPTL,DOWANS na SIMBION nyingine inazalisha simenti wazo na Viwanda vingine na zaidi tayari tumeshaanza kuitumia majumbani.Gesi ya mtwara iliishia wapi?
Hii kitu haiwezekan kutokea mkuu Kuna ujinga mwingi unafanyika ila huu upupu sizan kama watu watamkubalia huyo mwenye wazo hiloAsante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Jeshi ndiyo wamejenga baada ya watu kuponda sana yule bi mkubwa alikuwa bize kupanga safi yake ya uongoziRais Samia amempa heshima mtangulizi wake. Pumzika kwa amani mwamba..umeumaliza mwendo kwa alama mahususi.
Tutakukumbuka kwa mema na mabaya. Ila hakimu na Wakili ni Mola wetu Mlezi.
Hakuna anayelinga isipokuwa anatufahamisha,hukumbuki ule Uzi wa Banda la kaburi la Magufuli? hili ndio jibu lake.wenzenu wanaringia kurusha satelite angani, nyie mnaringia kujenga kaburi, kweli mwendachato hakukosea kuwaita wanyonge
Sawa mkuu,Ila ngoja tuone wakati Ni mwalimu.Hii kitu haiwezekan kutokea mkuu Kuna ujinga mwingi unafanyika ila huu upupu sizan kama watu watamkubalia huyo mwenye wazo hilo