Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

245154501_909088446394865_5514189208103415052_n.jpg
Kaburi zuri kuliko ofisi za ufipa[emoji23]
 
Lisu ni shetani anayetembea
Ila lakini hiki ulichoandika hata wewe mwenyewe utakuwa umejidharau sana mkuu.

Na tambua kuwa MUNGU YUPO,anajua,anaona na kutambua ubaya wa kila binadamu. Kati ya hao watu wawili ipo siku kila mmoja atafika mbele ya hukumu na atajibu sawa na matendo yake.

Wewe na mie pia tutafika mbele ya haki.

Tafakari
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Gesi ya mtwara iliishia wapi?
 
Magufuli[emoji24][emoji24][emoji22][emoji17][emoji22][emoji22][emoji17][emoji24][emoji24]
Magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2]
 
Asante kwa kumsitiri vyema shujaa wetu,ingawa alikuwa na mapungufu yake Ila Mimi wiki hii nimeanza kumuona alikuwa Ni shujaa, toka nipate tetesi eti tunatafuta wawekezaji waje tuizike TANESCO na wakati huohuo Nyerere Dam inaanza kutapika umeme mwakani kwa gharama zetu halafu waje watu kuvuna tu!
Nilikuwa natarajia kuanza kupika kwa jiko la umeme na tayari nimeshanunua na pasi na mengineyo kwa kujidai Kama alivyo tuahidi mwendazake kuwa atatupatia umeme kwa Bei nafuu tuachane na mkaa.
Halafu mnakuja na mbwembwe ati mnataka watu Kati madalali Kweli?
Nimem miss Sana huyo mzee alale kwa amani namuahidi tutapambana nao.
Hii kitu haiwezekan kutokea mkuu Kuna ujinga mwingi unafanyika ila huu upupu sizan kama watu watamkubalia huyo mwenye wazo hilo
 
Back
Top Bottom