Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu


Nadhani hujui historia ya lisu na kutetea Madini kuchimbwa na wazungu.
Kasome harakati za Lisu kuhusu Madini kipindi cha Mkapa
 
Rasmi sasa Chato yawa mkoa🀸🀸🀸
 
Ule mjadala uliokuwa na husuda, matusi, kejeli na kila aina ya dhiaka kutokana na yale mabati yaliyokuwa yamezungushwa pale kwenye kaburi la late Legendary Pombe, jana kama siyo leo umeweka wazi.


 
Jemedari Magufuli, endelea kupumzika kwa amani πŸ™πŸΎ , ila uliondoka kwa ghafla mno 😞
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…