Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Jamani maisha ni safari na ukishapita kituo cha nyuma huna haja ya kurudi, unasonga mbele. Mwacheni Jokate na Mussa Kipanya wasonge mbele na maisha yao, hamna haja ya kufukua makaburi!

The past is gone, so let bygones be bygones!
 
Basi unless umeandika makusudi ili iwe "click bait"...ungeandika basi jina lake halisi bila kipanya uone kama Mtu angeelewa.
Mkuu jina lake halisi ni Mussa Kipanya sasa mimi ningeandikaje? Mkuu unajua mabishano mengine hayana maana kabisa.
 
Nani ataelewa bila maelezo.

Kipanya ni jina bandia la Masudi kutokana na katuni zake, huyo mdogo wake wanamuita/amejipachika tu hiyo Kipanya.
Mussa Kipanya hilo ndilo jina analotumia sioni kama nikiweka jina ambalo hata Mimi silijui italeta maana
 
Mkuu jina lake halisi ni Mussa Kipanya sasa mimi ningeandikaje? Mkuu unajua mabishano mengine hayana maana kabisa.
Kipanya sio jina halisi, ni la bandia la Masudi.

Mabishano mengine hayana maana kabisa.
 
Back
Top Bottom