Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Jamani maisha ni safari na ukishapita kituo cha nyuma huna haja ya kurudi, unasonga mbele. Mwacheni Jokate na Mussa Kipanya wasonge mbele na maisha yao, hamna haja ya kufukua makaburi!

The past is gone, so let bygones be bygones!
Mkuu siyo kwa nia mbaya ndiyo maana hata wahusika hawana tatizo na hii picha ndiyo maana wameitoa ili itukumbushe tulikotoka
Screenshot_2018-08-05-11-46-02.jpg
 
Basi unless umeandika makusudi ili iwe "click bait"...ungeandika basi jina lake halisi bila kipanya uone kama Mtu angeelewa.
Sasa wataelewaje wakati hawalifahamu? Nimeandika hivi ili waelewe maana ndiyo jina analolitumia
 
No fuss..! Whom among us has no background?
Mkuu shida yako nini? Usijipe stress usichukulie kila post negative hii picha wameitoa wenyewe nadhani wanataka tujifunze kitu.
Sasa kama wewe unakereka wakati wenyewe wahusika wanachekelea nakuonea huruma utazeeka mapema
Screenshot_2018-08-05-11-46-02.jpg
 
Huyo kipanya kama kavaa uniform za security guards!!?..... Na viatu vya jokate kituko!...na hiyo Rambo ilikuwa na zege nn?
 
Mi naona wote ni VIPANYA. Hapa issue ni kaburi hili lililofukuliwa. Sasa nyie mnamtafuta kipanya gani? Au mnataka nani awekwe kwenye kiroba koko beach...
 
Kipanya sio jina halisi, ni la bandia la Masudi.

Mabishano mengine hayana maana kabisa.
Jamaa haki una shida mahali. Yaani unataka nitumie jina ambalo mhusika halitumii kisa ni jina halisi?

Shida yako nini hasa?
Yeye mwenyewe anajiita Mussa Kipanya, huko fb, Instagram na kwingineko, hadi kwenye media anazofanyia kazi anatumia hilo jina. Sasa wewe hutaki mimi nimrejee kwa jina hilo why? Hivi unafikiri ni wangapi wanaolijua hilo jina lake halisi? Mtu kama Harmonize, Lavalava, Diamond Platnumz wote hao tunawarejea kwa majina yao ya kazi why not him?

Hoja ya watu kuchanganya haina logic ni wengi wataelewa hivi kuliko nikitumia jina lake halisi.
 
Jamaa haki una shida mahali. Yaani unataka nitumie jina ambalo mhusika halitumii kisa ni jina halisi?

Shida yako nini hasa?
Yeye mwenyewe anajiita Mussa Kipanya, huko fb, Instagram na kwingineko, hadi kwenye media anazofanyia kazi anatumia hilo jina. Sasa wewe hutaki mimi nimrejee kwa jina hilo why? Hivi unafikiri ni wangapi wanaolijua hilo jina lake halisi? Mtu kama Harmonize, Lavalava, Diamond Platnumz wote hao tunawarejea kwa majina yao ya kazi why not him?

Hoja ya watu kuchanganya haina logic ni wengi wataelewa hivi kuliko nikitumia jina lake halisi.
We jamaa hujaelewa hata hoja yangu ya msingi, inaonyesha hata hujasoma nilichoandika post ya awali.

Tuishie tu hapa maana siwezi kubishana kutwa nzima kwa jambo dogo.
 
Hizi picha ni nzuri ikiwa y'all made it.

Kama sivyo unakua hata hujui zilipo.
 
Kumbe hta kadem kangu ka 4m4 kakikuwa katakuwa kazur kuzid hata joket
 
Exactly ndio ninachomwambia Mleta uzi.

Watu tisa kati ya kumi watadhania ni Masudi.
mleta uzi hajakosea" huyo jamaa huwa anajitambulisha hivyo hivyo " kuwa ni mussa kipanya" nimdogo wake na masudi" zamani alikuwa anafanya kazi magic fm " sasa hivi yupo EFM
 
Kipolo hasa cha wali au Makande yaloungwa kwa Nazi si vizuri kukimwaga....ni kizuri sana kwa Chai na hasa KIKIPASHWA....
 
Back
Top Bottom