Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Sio kweli uliza vizuri ao sio ndugu hata kdgNi mdogo wa Masudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli uliza vizuri ao sio ndugu hata kdgNi mdogo wa Masudi
unaambiwa hawana hata undugu...Mkuu Mussa kipanya wa Efm mdogo wa masoud ana wake wawili ?au umechanganya na kaka yake?
ongezea na uhusiano wake na mtu anayefahamika zaidi masoud kipanya..Nahitaji nifafanue vipi wakati nimeandika Mussa Kipanya?.
Mheshimiwa mtoto wa masaki huyoHiyo ni Tinabu au bugaloo?.
Inaonekana mheshimiwa ametoka mwenye family ya kawaida sana.
Uko fasta sana😁Tonge Nyama.
Aiseee Joto la Asubuhi lishakufa tena kama Kipanya kaondoka...imenistua sana.Uko fasta sana😁
Naona efm inabomolewa kwa speed ya jet
Majizo naona anagombaniwa kama mpira wa kona, ila jamaa nae kapoa sana.Aiseee Joto la Asubuhi lishakufa tena kama Kipanya kaondoka...imenistua sana.
R.I.P genekaiKipanya bwana..... Sasa hivi ana wake wawili (bila kuhesabu masuria)
Jamaa anafeli ,hajui uongozi au management yake wanamfelisha ...Hiawezekani ukaruhusu cream yote ya kila kipindi waondoke ,kuna watangazaji inabidi uwaretain no matter what hata ikibidi kuwa-Duble duble salaries....Majizo kafeli kuruhusu Mussa Kipanya Tonge Nyama kuondoka.Majizo naona anagombaniwa kama mpira wa kona, ila jamaa nae kapoa sana.
Juzi tu hapo crown wakachukua.
Hawakutest mitambo hawa kweli!!!Baada ya mwanadada Jokate Mwegelo kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe picha ya mtangazaji "Mussa Kipanya" akiwa na Jokate Mwegelo miaka hiyo enzi za ujana wao imeibuliwa na kusambaa kwa kasi mtandaoni.
View attachment 827417
Masoud aliwahi kuulizwa akakana.Kuna masoud kipanya na musa kipanya hawa ni ndugu?
Kahamia wapi?Jamaa anafeli ,hajui uongozi au management yake wanamfelisha ...Hiawezekani ukaruhusu cream yote ya kila kipindi waondoke ,kuna watangazaji inabidi uwaretain no matter what hata ikibidi kuwa-Duble duble salaries....Majizo kafeli kuruhusu Mussa Kipanya Tonge Nyama kuondoka.
Wasafi Fm.Kahamia wapi?