Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

Baada ya mwanadada Jokate Mwegelo kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe picha ya mtangazaji "Mussa Kipanya" akiwa na Jokate Mwegelo miaka hiyo enzi za ujana wao imeibuliwa na kusambaa kwa kasi mtandaoni.


View attachment 827417
Mkuu hapo kuna kaburi gani labda .....hapo ni St.Anthony Mbagala enzi hizo ndo shule kweli kweli mwaka wa 2000 - 2003, Jamaa anaitwa musa wengi tulimwita kipanya musa kipanya picha ya kawaida hata mimi ninayo tulipaga miaka ile ila siyo big deal kwa sasa hata baadae kuwa classmate ni shida mpaka liwe kaburi .....unaweka topic hata st.anthony huwepo unaunga story ....kweli mbongo mpe picha tuu ataunda story
 
Mleta mada yupo sahihi ni Mussa Kipanya au baba Nene
 
Picha ya zaman hii wala haijafukuliwa leo au jana.
 
Mkuu hapo kuna kaburi gani labda .....hapo ni St.Anthony Mbagala enzi hizo ndo shule kweli kweli mwaka wa 2000 - 2003, Jamaa anaitwa musa wengi tulimwita kipanya musa kipanya picha ya kawaida hata mimi ninayo tulipaga miaka ile ila siyo big deal kwa sasa hata baadae kuwa classmate ni shida mpaka liwe kaburi .....unaweka topic hata st.anthony huwepo unaunga story ....kweli mbongo mpe picha tuu ataunda story
Wewe ulivyosikia kaburi ukajua mahusiano ya mapenzi au nini? Usikariri ndugu yangu.

Kaburi siyo hilo unalolielewa wewe hata humu ndani jf nyuzi za muda mrefu huwa tunaita kaburi kama mtu atakumbushia. Sasa picha ya 2003 inashindwaje kuwa kaburi kama jf imeanza 2007 na nyuzi zake za zamani ni kaburi?
 
Mussa Kipanya inaonekana alikuwa anasuza "RUNGU" enzi wanasoma wote,mara ya pili naona picha wakiwa pamoja tena wakiwa close.
 
Nani ataelewa bila maelezo.

Kipanya ni jina bandia la Masudi kutokana na katuni zake, huyo mdogo wake wanamuita/amejipachika tu hiyo Kipanya.
Wala hawajuani mkuu
 
Jakate HAJACHAGULIWA bali AMETEULIWA kuwa mkuu wa wilaya - kuna tofauti kubwa kati ya kuchaguliwa na kuteuliwa

Ndugu tuna tatizo kubwa sana la lugha hivi sasa. Mtu anasema redioni eti "Marehemu aliweza kufa jana!! Watu wengi siku hizi hawajui Kiswahili wala Kiingereza.. baadhi yao ni wenye vyeti vya chuo kikuu... Kwa ubishi hao... Masikini elimu ya Tanzania!!
 
Back
Top Bottom