Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Kanisa katoliki linazidi kuimarika duniani kote kwa Hawa wala makande wanaojiita wanatakatifu( mkasubirie miujiza ya kwenda ulaya bila nauli)
 
LOO!!!! Naona zile Ids zime charuka kama panya walio kuwa kwenye shimo halfu moto ukawashwa na wakafukiziwa moshi wa pilipili. Watavyo chomoka humo ndani!!!!

Hii uzi unazungumza habari ya Petro. Sasa tuone shetani na mawakala/wafuasi wake walivyo na hila tangu enzi za Adam na Hawa pale Eden.


Kama tulivyo sikia Shetani jinsi alivyotaka kupora maiti ya Nabii Musa. Na penginepo ni pale katika hekalu la Wana wa Israel Mwenyezi Mungu alilojengewa na mtumishi wake Mfalme Suleman kuliko na sinto fahamu mpaka leo hii.

Basi kisa kingine cha shetani ni hiki. Philipo mmoja wa wale mitume wa Yesu na mwenzake Stephano wakaipeleka Injili huko samaria. Kwa vile walikuwa wamejawa Roho Mtakatifu wakafanya miujiza mingi na mikubwa sana.

Hapo samaria alikuwepo sangoma/ mganga alimaarufu sana aitwaye Simioni mfwasi wa shetani haswa. Huyu Simioni alikuwa n,a maajabu makubwa kwa maana ya uganga wake (hata zama hizi wako). Huyu simioni mganga mkuu akavutiwa na ile miujiza ya Filipo na Stephano ambayo ilifunika na kupora kabisa umaarufu wake. Hivyo naye akaamua kubatizwa kama wengine huko wa livyo batizwa


Petro na Yohana wakatumwa kutoka Yerusalem waende kumuongezea nguvu Filipo maana Stephano alishauliwa kwa kupondwa mawe na wapinga Kristo.

Petro na Yohana walipofika kule samaria nao wakafanya miujiza mingi na mikubwa. Watu wa samaria wakawaleta wagonjwa hata waguswe tu na kivuli cha Petro maana waliponywa magonjwa yao kwa kuguswa na kivuli cha Petro.

Petro na Yohana walipo wawekea mikono yao wale wafuasi wao wa kule samaria wakajazwa Roho Mtakatifu. Simioni yule mganga maarufu aliye batizwa akajawa na wivu mkuu.

Ona jinsi shetani alivyo na hila, uganga wa simioni ulimpatia utajiri mkubwa. Akaenda akitaka kuwarubuni, ndio kuwalaghaii Petro na Yohana kwa kuwa ambia ni kiasi gani cha fedha awape ili waweze kumuuzia huo upako wao.

Ndipo Petro akamkemea Simioni mganga (kumbuka malaika mkuu wa vita Mikaeli alisha mkemea shetani wakati akiitaka maiti ya Nabii Musa) akisema, "May you and your money go to hell, for thinking that you can buy God's gift with money." Matendo ya Mitume 8:4-24.

Hivyo basi utendaji wa shetani kila siku umejaa hila na ulaghai tangu huko mwanzo hata milele.
Ni muhimu tujue wakina Simioni mganga wapo hata leo hii. Wapo wengi sana na hata humu jF hawakosi. Wataanzisha nyuzi nyingi tena watanukuu maandiko ya Biblia kumbe wamejawana na wivu kama Simioni mganga. Nia yao kuu ni kupotosha kuhusu Bwana wetu Yesu Kristo na Ukristo. Lakini wajue mwisho wa siku watashindwa tu..
 
Inashangaza kwakweli,unawatuhumu wakatoliki kuwa wanafundisha uongo lkn mafundisho unayoyaamini wewe kuwa Petro hakuzikwa Vatican yanatoka kwa haohao wakatoliki
Hahaha umemuweza
 
Hata wakisema alizikwa makaburi ya Njiro haisaidii chochote.
 
Kwani tangu lini Wasabato wakaamini historio ya Ukristo? Ikiwa hawaamini leo kwenye kujua wapi amezikwa petro imetoka wapi?

Je kujua wapi amezikwa ni mafundisho ya msingi ya kanisa au suala la kihistoria?
 
We unaongea kimbea sasa usiseme vingi vinatumiwa ujawahi sali catholic ebu tupe kimoja tu kama ukijui basi tafuta la kufanya ndo nyie mnaoamini mchungaji wenu kua mti ya kivuli ni mikosi kwel kazi sana ni vizur kama unasema dini ya mwenzio usiseme kinafki uwezi kudhibitisha unaongea kisa nabii wako amekwambia kaseme ivi ili apate waumini
 
Hv umesoma ukichoandika Sasa kama hizo barua kanisa katoliki wamezizuia unasemaje tena waongo
 
lete bandiko lingine linalosema petro alifia roma ili nijilizishe
 
Hii ndio ilikuwa nia yenu ovu ya kuuanzisha huu uzi wenu wewe na ids zako nyengine na wenzako. Lakini kinyume chake na nje ya matarajio yenu hapa tuna endelea kumjua Bwana Yesu zaidi na injili inachanja mbuga.
Tee tee tee!

Kwi kwi kwi

Naona mgalatia vyuma vimekukaza mpaka huoni pa kutokea.

Hatari sana unaanza kuchanganya watu na ID nyingine.

We endelea kupaluana magamba na mgalatia mwenzako akikushinda kachukue kikombe cha divai unywe tu ushushe koo.
 
Hivi chuki ya wasabato kwa wakatoriki chanzo chake ni nini? Maana historia inaeleza madhehebu mengi yametokana na ukatoriki, lakini huwezi mkuta msabato akikosoa warutheri.
 
Mkuu hapa umekosea.

Acha ngano na magugu yaote pamoja baadaye tutajua magugu na ngano.
 
Dhehebu la mama G White! Baada ya kupata anguko la kutabiri uongo mwisho wa dunia hawana kingine zaidi ya kutuhumu kanisa katoliki. But hawana impact.
 
Mi nachojua wasabato mtakimbia wenyewe huu uzi maana mnaendekeza uzushi.
 
Unavyoanza kusema Hao wakatoliki wakati wao ndo walifanya jitihada ya kukombine hiyo biblia. Yani walokole na wasabato utafikiri kunakipindi katika maisha yenu mlikaa chini mkafanya kama wakatoliki sometimes bora mwendele na Imani zenu muache kufuatilia mambo ya katoliki . Na mngejua kuwa wakatoliki hatupewi mafundisho ya kuhusu dini zingine ndo maana huwezi mkuta mkatoliki kaanzisha uzi kusema dhehebu lengine
 
Wala hakuna sehemu ya Biblia iliyotaja dini ya ukristo sasa kwanini wewe unajiita mkristo? Vivyo hivyo kwenye Biblia hakuna neno au dhehebu la katoliki, je ukristo ulipatikana vipi? Kumbuka kila mtu aliyekubali mafundisho ya Yesu aliitwa mkristo yaani mfuasi wa mpakwa mafuta lengo ni kurahisisha kujua watu fulani ni waumini wa imani fulani a.k.a dini/ dhehebu, mfano unaposema dini ya kiyahudi tunaelewa inamaanisha nini japo Ktk Bible hakuna dini ya kiyahudi. Vivyo hivyo katoliki limetokana na mtazamo uleule wa ukristo hii inathibitika kwa maana ya neno katoliki lenye maana ya mahali pote pote kwa yeyote yaani ukatoliki ni ukristo usio na mipaka wala ubaguzi kwahiyo ukatoliki haukufanyi wewe usiwe mfuasi wa kristo wala kukutenganisha na kristo. Documents nyingi za kiimani na mafundisho ya mitume yalitunzwa na wakatoliki na vyanzo vya madhehebu yote ya kikristo yalitokana na ukatoliki. Kifupi tu niseme mtu wenye matunda mazuri daima utaendelea kupopolewa na mawe. Wamisionari wa kikatolki ndiyo wameujenga na kuutetea ukristo hivyo ukatoliki unahitaji heshima yake siyo kebehi, inawezekana kuna mapungufu ktk ukatoliki kwakuwa ni wanadamu nasiyo malaika. Yesu alishaweka jiwe moja tu la msingi kila mkristo aweke tofali hapo sasa wengine wanakwenda kujenga sehemu nyingine ambapo Yesu hakuweka jiwe hapo. Binafsi sijawahi ona mafundisho yoyote ya kikatoliki yakipinga waprotestanti wakiwamo wasabato wala kuwakebei kwakuwa wanajua hadui yao mkuu siyo hao
 
Ngalia usipaliwe.

Tee tee tee!

Kwi kwi kwi

Naona mgalatia vyuma vimekukaza mpaka huoni pa kutokea.

Hatari sana unaanza kuchanganya watu na ID nyingine.

We endelea kupaluana magamba na mgalatia mwenzako akikushinda kachukue kikombe cha divai unywe tu ushushe koo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…