mwitamarwa
Senior Member
- Oct 16, 2016
- 130
- 109
Kanisa katoliki linazidi kuimarika duniani kote kwa Hawa wala makande wanaojiita wanatakatifu( mkasubirie miujiza ya kwenda ulaya bila nauli)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha umemuwezaInashangaza kwakweli,unawatuhumu wakatoliki kuwa wanafundisha uongo lkn mafundisho unayoyaamini wewe kuwa Petro hakuzikwa Vatican yanatoka kwa haohao wakatoliki
We unaongea kimbea sasa usiseme vingi vinatumiwa ujawahi sali catholic ebu tupe kimoja tu kama ukijui basi tafuta la kufanya ndo nyie mnaoamini mchungaji wenu kua mti ya kivuli ni mikosi kwel kazi sana ni vizur kama unasema dini ya mwenzio usiseme kinafki uwezi kudhibitisha unaongea kisa nabii wako amekwambia kaseme ivi ili apate wauminiBiblia haikupangwa na Wakatoliki, Biblia ilipangwa kwa uwezo wa ROHO MTAKATIFU. Hakuna ambaye angeweza kuzuia Biblia isiwe ilivyo leo hii. Tena kuna vitabu feki Wakatoliki walijaribu kuviingiza kwenye Biblia lakini kwa nguvu ya ROHO MTAKATIFU walishindwa kufanya hivyo. Matokeo yake vitabu hivyo feki na Waraka feki vinatumiwa sasa hivi na kanisa Katoliki katika kuwapotosha waumini wake. Vipo vitabu vingi sana ambavyo ni feki na vinatumiwa na hilo Kanisa.
Ukisikia tunasimama watu kama sisi na kusema Kanisa Katoliki ni wakala wa Ibilisi na linafundisha UWONGO usifikiri tunabahatisha; tunajua tunachokisema na tunauhakika na kile tunachokiongea. Sisi hatuna chuki na Wakatoliki, sisi vita yetu ni kuupinga UWONGO wa IBILISI ili asiendelee kuwapoteza ndugu zetu.
Wale watakaotusikia na kuijua "KWELI", hiyo KWELI itawaweka huru na watajua namna ya kushika AMRI za MUNGU na imani ya YESU KRISTO na YESU KRISTO atawaokoa kutoka kwenye upotovu wa shetani. Wale watakao kataa kusikia, shauri yao; wacha wakae kwenye upotovu wao.
Hv umesoma ukichoandika Sasa kama hizo barua kanisa katoliki wamezizuia unasemaje tena waongoHizo barua zote mimi nazifahamu na wala hazina UKWELI wowote ule. Barua hizo ni za kutungwa tu baadhi ya watu. Mtu aliyeutengeneza UWONGO ni rahisi sana kwake kutengeneza UWONGO mwingine ili apate majibu ya kuwapatia watu wanaojaribu kuhoji. Kanisa Katoliki limetengeneza barua nyingi sana ambazo zote ni za uwongo. Barua zote hizi ama WARAKA hazipo ndani ya BIBLIA kabisa.
Mfano mzuri ni barua liliyoandikwa na Gaius kati ya mwaka 170 na 180. Barua hizi siyo za kweli hata kidogo. Maandiko mengine yanayohifadhiwa na Kanisa hilo ni kama The Apocryphal Acts of Peter. Kama maandiko haya yangekuwa Genuine yangejumuishwa kwenye Biblia. Nasema hivyo sababu wote tunajua kuwa vitabu vilivyojumuishwa kwenye Biblia vilijumuishwa kwa MWONGOZO wa ROHO MTAKATIFU. Kila andiko lililoachwa nje ya Biblia halikuwa sahihi kwa mafundisho ya KIKRISTO. MUNGU anatenda kazi sana na kuna watu wanafikiri ni rahisi tu kushindana naye. Kanisa katoliki linamilikiwa na Ibilisi na anafikiri atamshinda MUNGU, lakini kamwe hawezi kumshinda MUNGU.
Tee tee tee!Hii ndio ilikuwa nia yenu ovu ya kuuanzisha huu uzi wenu wewe na ids zako nyengine na wenzako. Lakini kinyume chake na nje ya matarajio yenu hapa tuna endelea kumjua Bwana Yesu zaidi na injili inachanja mbuga.
Mkuu hapa umekosea.Sisi hatuna vita na Wakatoliki, sisi tunapigana vita na IBILISI ambaye ndiye baba ya Wakatoliki, IBILISI ndiye baba ya UWONGO. Lengo letu ni watu waijue KWELI.
Mimi siyo MSABATO, mimi ni MKRISTO wa kweli ninayeishi kwa AMRI za MUNGU na IMANI ya YESU KRISTO.
Nyie wakatoloki mnaoikusanya kwenye vyumba mnaweza kutusaidia mnachoifanyiaWewe unadhani labda inafanyiwa shighuli gani..???
Ahsanta
Unavyoanza kusema Hao wakatoliki wakati wao ndo walifanya jitihada ya kukombine hiyo biblia. Yani walokole na wasabato utafikiri kunakipindi katika maisha yenu mlikaa chini mkafanya kama wakatoliki sometimes bora mwendele na Imani zenu muache kufuatilia mambo ya katoliki . Na mngejua kuwa wakatoliki hatupewi mafundisho ya kuhusu dini zingine ndo maana huwezi mkuta mkatoliki kaanzisha uzi kusema dhehebu lengineHivi bado kuna watu wanawaamini Roman catholic?
Watu waliodiriki kuificha bibilia kwa waumini aao mpaka miaka ya karibuni kidogo ndyo wamewaruhusu kuisoma.
Vinginevyo ni vimstari wamemega na kutengeneza misali yao.
Ndyo maana hata Amri ya kwanza wameifinya ili Wajinga waendelee kuabudu vinyago na masanamu.
Sawa NaWe Lete Hoja Zenye Maandiko Ili Tuweke Mambo Sawasijaona ushahidi wowote hapa wa andiko la huyu bwana.
Wala hakuna sehemu ya Biblia iliyotaja dini ya ukristo sasa kwanini wewe unajiita mkristo? Vivyo hivyo kwenye Biblia hakuna neno au dhehebu la katoliki, je ukristo ulipatikana vipi? Kumbuka kila mtu aliyekubali mafundisho ya Yesu aliitwa mkristo yaani mfuasi wa mpakwa mafuta lengo ni kurahisisha kujua watu fulani ni waumini wa imani fulani a.k.a dini/ dhehebu, mfano unaposema dini ya kiyahudi tunaelewa inamaanisha nini japo Ktk Bible hakuna dini ya kiyahudi. Vivyo hivyo katoliki limetokana na mtazamo uleule wa ukristo hii inathibitika kwa maana ya neno katoliki lenye maana ya mahali pote pote kwa yeyote yaani ukatoliki ni ukristo usio na mipaka wala ubaguzi kwahiyo ukatoliki haukufanyi wewe usiwe mfuasi wa kristo wala kukutenganisha na kristo. Documents nyingi za kiimani na mafundisho ya mitume yalitunzwa na wakatoliki na vyanzo vya madhehebu yote ya kikristo yalitokana na ukatoliki. Kifupi tu niseme mtu wenye matunda mazuri daima utaendelea kupopolewa na mawe. Wamisionari wa kikatolki ndiyo wameujenga na kuutetea ukristo hivyo ukatoliki unahitaji heshima yake siyo kebehi, inawezekana kuna mapungufu ktk ukatoliki kwakuwa ni wanadamu nasiyo malaika. Yesu alishaweka jiwe moja tu la msingi kila mkristo aweke tofali hapo sasa wengine wanakwenda kujenga sehemu nyingine ambapo Yesu hakuweka jiwe hapo. Binafsi sijawahi ona mafundisho yoyote ya kikatoliki yakipinga waprotestanti wakiwamo wasabato wala kuwakebei kwakuwa wanajua hadui yao mkuu siyo haoMimi sina dhehebu mkuu. Imeandikwa hivi; "Basi maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu husema, mimi ni wa Paulo, na mimi ni wa Apolo, na mimi ni wa Kefa, na mimi ni wa Kristo. Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu? Au Je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?" 1 WAKORINTHO 1:12-13
Wewe ukisema ni wa dhehebu fulani, Je! ulibatizwa kwa jina la dhehebu lako?? Nafikiri utakuwa umenielewa mkuu. Mimi sina dhehebu, mimi namwamini KRISTO na kuishi kwa kuzishika AMRI za MUNGU. Siyo kama sina dhambi au siyo kama sikosei, nakosea sana lakini, kwa IMANI nitaishi na kwa NEEMA za MUNGU wetu ninasamehewa makosa yangu.
Tee tee tee!
Kwi kwi kwi
Naona mgalatia vyuma vimekukaza mpaka huoni pa kutokea.
Hatari sana unaanza kuchanganya watu na ID nyingine.
We endelea kupaluana magamba na mgalatia mwenzako akikushinda kachukue kikombe cha divai unywe tu ushushe koo.