Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Asante sana mkuu kwa kuongeza ufahamu mkubwa ndani yangu!!! Kuna prof Mmoja aliwahi kusema adui wa ukristo ni Roman Catholic, hawana muda na kuuishi ukristo bali mapokeo yao ambayo ni kivuli cha maovu
100%WAKATOLIKI SI WAKRISTO NA HAWAJAWAHI KUWA WAKRISTO.HII ITABAKI KUWA NI DOLA YA KIRUMI.MAINJINIA WA NWO.
 
Ndugu naomba nami nichangie kidogo. Ukristu ni utaratibu wa maisha unaotusaidia kuwa kalibu na Mungu yaani kunda upya mausiano yetu na Mungu. Kutokana na zambi ya kukosa utii , wazazi wetu wa mwanzo walivunja hayo mausiano. Kwa hiyo Petro kufa kwake Roma au sehemu nyingine aimfanyi mtu flani awe mkristu, ama kama Petro alikuwa papa wa kwanza au la aimfanyi mtu kuwa mkristu. Mkristu ni kristu mwengine. Yaani yule aishie yale kilisto aliyoyafundisha . Unaweza sema utayajuaje yale Kristu aliyoyafundisha , kupitia Makanisa haya haya tulionayo . Biblia inasema Kayafa alitabili ni heri mtu mmoja afe kwa ajili ya wengi si kwa sababu alikuwa mtu mtakatifu, hapana bali kwa sababu alikuwa kuwani mkuuu . na kunasehemu nyingine inasema wao wamekaa katika viti vya Musa yaani makuani na makasisi, wasikilizeni wasemacho bali matendo yao msiyafuate . Mungu alimtumia Paul aliyekuwa mzambi kuwaokoa maelufu . Kwa hiyo amini unachoamini na usipambane na kuvuluga watu wengine wanavyo amini.
 
100%WAKATOLIKI SI WAKRISTO NA HAWAJAWAHI KUWA WAKRISTO.HII ITABAKI KUWA NI DOLA YA KIRUMI.MAINJINIA WA NWO.

Unamfahamu msabato Carson,aliyekuwa mgombea Wa kiti cha Uraisi pamoja na Donald Trump? Sasa huyo anasema Usabato unatumia Biblia na Mapokeo. Je,kwa nini ninyi mkitumia mapokeo inakuwa sawa ila wakatoliki inakuwa nongwa?
 
Acha kabisa kujidanganya mkuu, UKRISTO siyo kuamini kila kitu hata kama ni uongo. Ukisoma vizuri kwenye Biblia kuna sehemu imeandikwa hivi;..... "lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika, wala hatuenendi kwa hila wala kulichanganya neno la MUNGU na uongo, bali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikishuhudia mbele za MUNGU". 2 WAKORINTHO 4:2

Ni makosa kulichanganya NENO la MUNGU na hadithi za uongo kama lifanyavyo Kanisa Katoliki. Ikiwa neno la MUNGU ni KWELI kwanini Kanisa Katoliki linachanganya na mafundisho ya uongo?

Petro hakuwahi kuishi Roma wala hakuwahi kabisa kuwa Papa wa kwanza wa kanisa katoliki, wala Petro hakufia Roma; sasa ikiwa ndiyo hivyo kwanini kanisa hili katoliki linafundisha uongo??

Mbaya zaidi swala la Petro siyo uongo pekee unaofundishwa na Kanisa Katoliki, bali kuna mambo mengi sana ya uongo na yenye kupotosha yanayofundishwa na kanisa katoliki. Je wewe unaona ni sawa tu Waumini waendelee kupotoshwa??


Ikiwa Kanisa Katoliki kweli ni kanisa la MUNGU ambaye kwake hakuna uongo hata tone moja, Je huoni kama ni muhimu hili kanisa likafundisha mafundisho ya KWELI bila kudanganya???

Mkuu 0890 fahamu kwamba ikiwa kanisa fulani linafundisha mambo ya uongo basi kanisa hilo siyo la MUNGU, maana MUNGU hafungamani na uongo hata kidogo. Kanisa linalofundisha uongo ni kanisa la Shetani Ibilisi maana yeye ndiye "baba" wa uongo.
 

Usisahau kunitag mkuu,pls


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Waliwezaje kuuona kwa macho yao wakati unasema yamefichwa?
Je,una waamini vipi hao watu?
Una ushahidi gani wa kutuaminisha kuwa walichokuwa wakikisema ni cha kweli?

Una dai kwamba kanisa ndio linaficha ukweli wakati huo huo waliokupa ukweli ni member wa hilo kanisa,je una waamini vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema kuwa Perto aliishi roma miaka 24 na kufia huko.
Unasema kuwa kanisa katoliki ndio linafundisha hivyo!
Tuambie ni kitabu gani cha kanisa Katoliki kimeandika mafundisho hayo na mm nikakisome maana mm n Mkatoliki na sijawahi kukutana na hayo mafundisho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia imeandikwa na Wakatoliki,na kuna hoja naiona hapa ikisema kuwa walioandika biblia waliongozwa na roho mt.
Na kuna hoja inadai kuwa wakatoliki ni waongo.

Je,roho mt huwa anaishi na waongo na kuwaongoza waongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhakikishe unaweka na vifungu vya biblia, biblia ambayo imeandika na Wakatoliki unaosema ni waongo.Na sa tunaamini kuwa biblia imeandikwa kwa maongozi ya roho mt.
Na roho mt haishi wala kuwaongoza waongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn biblia si iliandikwa na Wakatoliki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bagatti ni mkatoliki au msabati?
Kwanini unaamini nusu na huamini nusu ukatoliki?
 
Uhakikishe unaweka na vifungu vya biblia, biblia ambayo imeandika na Wakatoliki unaosema ni waongo.Na sa tunaamini kuwa biblia imeandikwa kwa maongozi ya roho mt.
Na roho mt haishi wala kuwaongoza waongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu amka kutoka kwenye usingizi uliolala, nani kakuambia Biblia iliandikwa na Wakatoliki? Hivi Paulo alikuwa Mkatoliki? Petro alikuwa Mkatoliki? Isaya alikuwa Mkatoliki? Ezekieli alikuwa Mkatoliki? Mathayo alikuwa Mkatoliki? Musa alikuwa Mkatoliki? Yohana alikuwa mkatoliki?????......... Hakuna hata mwandishi mmoja wa Biblia aliyekuwa Mkatoliki, isitoshe wakati Biblia inaandikwa hakukuwa na Kanisa la Katoliki.

Kwa taarifa yako kabla hata ya kuwepo kwa kanisa Katoliki tayari Vitabu vyote vinavyotumiwa kwenye Biblia vilikuwa vinatumiwa na Kanisa La MUNGU lililokuwa Smyrna ambalo lilikuwa likiongozwa na Polycarp ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa Yohana yule aliyeandika kitabu cha UFUNUO.


Polycarp na wenzake walifanya canonization ya Biblia tangu karne ya kwanza kabla hata kanisa katoliki halijazaliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…