Te Lavista
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,626
- 2,846
Unajua kukwepa swali vzr, hongera Egw
Acha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Tatizo hii JF sasa hivi imejaa vitoto ambavyo haviwezi kusoma na kuelewa hoja zinazozungumziwa.
Sikia dogo chukua Biblia yako na uisome vizuri kisha utapata majibu yote uliyoniuliza. Ukiona kuna mahali kwenye Biblia umeambiwa sali na umwombe Mama Maria, sawa fanya hivyo. Na ukiona kuna mahali Biblia yako inakuambia uwaombe wafu wakuombee, pia ni sawa fanya hivyo.