Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,982
Msisaidie shetani kuwatia watu mashaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Hujajibu hoja yangu. Sanasana unaleta ubishi wenye chuki ndani yake. Kanisa katoliki ni mama wa madhehebu yote ya kikristo unayoyafahamu wewe, pamoja na ufahamu wako finyu sana wa masuala ya dini
Umesema vyema, ndio maana hata madhehebu hayo yamejaa uwongo uwongo mwingiiiiiiiHujajibu hoja yangu. Sanasana unaleta ubishi wenye chuki ndani yake. Kanisa katoliki ni mama wa madhehebu yote ya kikristo unayoyafahamu wewe, pamoja na ufahamu wako finyu sana wa masuala ya dini
Ivi nawe ushafika huko jerusalem alopofia Huyo petro wako ??Kwa taarifa yako hata mimi nilikuwa MKATOLIKI na baada yakufundishwa UWONGO, niliamua kuitafuta KWELI. Nilipoijua KWELI nikaona nisikae kimya wacha niwajulishe na wengine ili na wao waijue KWELI. Huwezi kuujua uchafu wa nyumba kama uko nje ya nyumba na hujawahi kuingia ndani.
Kwa taarifa yako Bagatti alihojiwa na akakiri kila kitu ingawa hakuandika kwenye kitabu chake. Kuna watu waliongea na akina Bagatti na wakaamua kwenda Jerusalemu kuutafuta UKWELI na wakauona kwa macho yao. Sasa wewe endelea kuogelea kwenye UWONGO wa Kanisa Katoliki. Hata baadhi ya Mapre wa Kanisa Katoliki wapo Jerusalemu na wanakuambia ni kweli Petro alifia Jerusalemu na kuzikwa huko. Lakini kamwe hawewezi kusimama hadharani na kuongea hivi vitu.
Nitafika Jerusalemu ile siku BWANA YESU atakapokuja tena duniani.Ivi nawe ushafika huko jerusalem alopofia Huyo petro wako ??
Sawa endelea kumsubiri Huyo BWANA WAKONitafika Jerusalemu ile siku BWANA YESU atakapokuja tena duniani.
Ni mluther ,bossHaya ndugu yangu tumekusikia...
Wahi sabato imeingia
Mwovu shetani ni catholicNyie wasabat kila kukicha ni kupingana na waroma na sio kupingana na mwovu shetani.
Nenda ukale makande kwa mama lishe hapo karibu nitakuja kulipa.
Sabato njema!!!!!
Hii ni hatariWasabato wote wanagongwa tigoni kwa kutumia vitu vyenye ncha kali.
Na huo ndiyo ukweli.Asante sana mkuu kwa kuongeza ufahamu mkubwa ndani yangu!!! Kuna prof Mmoja aliwahi kusema adui wa ukristo ni Roman Catholic, hawana muda na kuuishi ukristo bali mapokeo yao ambayo ni kivuli cha maovu
Shetani hatuwezi kushindana naye kwani yeye ana nguvu sana kitu pekee tunachoweza kufanya wanadamu ni kupingana na fitina na hila za shetani nazo ni pamoja na hili kabisa uchwaraNyie wasabat kila kukicha ni kupingana na waroma na sio kupingana na mwovu shetani.
Nenda ukale makande kwa mama lishe hapo karibu nitakuja kulipa.
Sabato njema!!!!!
Shetani hatuwezi kushindana naye kwani yeye ana nguvu sana kitu pekee tunachoweza kufanya wanadamu ni kupingana na fitina na hila za shetani nazo ni pamoja na hili kabisa uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app