Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Acha ujinga wewe, aliyekufundisha hivyo amekupotosha. Mbona mambo ya Ellen White, hamuyasemi ???. Yaani Nyie Mabogass Kweli Kweli.Mkuu hili Kanisa Katoliki linafundisha uwongo sana. Hakuna ushahidi wowote hata wa kihistoria tu unao onesha kuwa Mtume Petro aliwahi kuishi Roma. Hakika kabisa Kanisa hili ni adui namba moja wa UKRISTO duniani.
Acha uwongo wewe,usitufanye sisi Wajinga, Ninyi mnaposema kuwa Ellen White ni Nabii Imeandikwa wapi ktk Biblia ???. Km sio kujitungia wenyewe.Mimi ni mwamini wa KWELI wa YESU KRISTO. Mimi naamini katika KWELI na siku zote nikiijua KWELI, kamwe sitakaa kimya bali nitawaambia na wengine ili na wao waijue KWELI ili hiyo KWELI iwaweke huru kweli kweli.
Umeona eeennnhhh !!!, Yaani anakula Matapishi. WASABATO Wengi wana IQ ndogo sana, ndio maana muda wote wanalifikiria Kanisa Katoliki.Inashangaza kwakweli,unawatuhumu wakatoliki kuwa wanafundisha uongo lkn mafundisho unayoyaamini wewe kuwa Petro hakuzikwa Vatican yanatoka kwa haohao wakatoliki
Tatizo la Wakatoliki ni upofu waliotupiwa na Ibilisi, yaani hawaoni wala hawasikii. Maandiko yapo wazi kabisa na AMRI za MUNGU zinajulikana lakini bado hawataki kutii.Hivi bado kuna watu wanawaamini Roman catholic?
Watu waliodiriki kuificha bibilia kwa waumini aao mpaka miaka ya karibuni kidogo ndyo wamewaruhusu kuisoma.
Vinginevyo ni vimstari wamemega na kutengeneza misali yao.
Ndyo maana hata Amri ya kwanza wameifinya ili Wajinga waendelee kuabudu vinyago na masanamu.
Ellen White ndiyo nani?Acha ujinga wewe, aliyekufundisha hivyo amekupotosha. Mbona mambo ya Ellen White, hamuyasemi ???. Yaani Nyie Mabogass Kweli Kweli.
Mkuu CHAULA RICH nioneshe ni wapi katika posts zangu nimeandika kuwa Ellen White ni nabii. Mimi sijawahi hata siku moja kusema Ellen White ni nabii.Acha uwongo wewe,usitufanye sisi Wajinga, Ninyi mnaposema kuwa Ellen White ni Nabii Imeandikwa wapi ktk Biblia ???. Km sio kujitungia wenyewe.
Ww ni mjomba wa lucifa mkuu na sio kanisa katolicHilo kanisa takatifu la mitume ndio wakala namba moja wa lucifa
Naona sasa umeishiwa facts. Hujajibu mistari niliyokuwekea, badala yake umeishia kufanya majumuisho ya kiujumla. Endelea kujidanganya na katika mambo usiyoyajua.good luckHata sasa ninaeneza INJILI ya BWANA, INJILI safi isiyogoshiwa, wala kuchakachuliwa. Hivi unafahamu kwamba kuna INJILI iliyogoshiwa na INJILI isiyogoshiwa?
Sasa Wakatoliki wanahubiri injili ile iliyoghoshiwa. Soma WAGALATIA 1:6-9
Hapa JF katumia jina bandia,acha fikara za kuwa anaweza akawa mkweli kutaja dhehebu lake
Biblia ndiyo inayosema UKWELI na mimi nitajumuisha vifungu vya kwenye Biblia na mafundisho ya Kanisa Katoliki, hapo ndiyo tutajua nani anasema KWELI.
Aisee..,pole mkuu....Mimi sio mkatoliki ila naomba nikusaidie kitu kidogo tu....hivi unajua ni nani aliyekusanya vitabu na kuvipanga kama vilivyo leo kwenye bible?..(catholics).....unajua kuna jumla ya injili ngapi zilizoandikwa na mitume?.....but ni nani aliyeamua kuweka injili nne tu kwa bible?...(catholics)....unajua Paul aliandika barua ngapi?...hundreds..... Lakini ni wakatoliki ndo waliamua zipi ziwemo kwenye hiyo unayoiita biblia takatifu.....oooooo....wait.....unasema wakatoliki in waongo....basi hata biblia unayodai kuiamini ni ya uongo....wao ndo walio-iinjinia......hawa wengine mnakuja tu kupiga kelele....mpaka sasa biblia yao ina vitabu 72....lakini ya kiprotestant ina vitabu 66.....unadhani kwa nn?.....hawa jamaa mwenyewe siwapendi lakini usiwaite waongo.....coz ikiwa hivyo ukristo wote utakuwa ni uongo yakhee....Hizo barua zote mimi nazifahamu na wala hazina UKWELI wowote ule. Barua hizo ni za kutungwa tu baadhi ya watu. Mtu aliyeutengeneza UWONGO ni rahisi sana kwake kutengeneza UWONGO mwingine ili apate majibu ya kuwapatia watu wanaojaribu kuhoji. Kanisa Katoliki limetengeneza barua nyingi sana ambazo zote ni za uwongo. Barua zote hizi ama WARAKA hazipo ndani ya BIBLIA kabisa.
Mfano mzuri ni barua liliyoandikwa na Gaius kati ya mwaka 170 na 180. Barua hizi siyo za kweli hata kidogo. Maandiko mengine yanayohifadhiwa na Kanisa hilo ni kama The Apocryphal Acts of Peter. Kama maandiko haya yangekuwa Genuine yangejumuishwa kwenye Biblia. Nasema hivyo sababu wote tunajua kuwa vitabu vilivyojumuishwa kwenye Biblia vilijumuishwa kwa MWONGOZO wa ROHO MTAKATIFU. Kila andiko lililoachwa nje ya Biblia halikuwa sahihi kwa mafundisho ya KIKRISTO. MUNGU anatenda kazi sana na kuna watu wanafikiri ni rahisi tu kushindana naye. Kanisa katoliki linamilikiwa na Ibilisi na anafikiri atamshinda MUNGU, lakini kamwe hawezi kumshinda MUNGU.
Biblia nani kaipanga ilivyo leo?....nani aliamua kuwe na injili nne wakati injili zipo kibao tu?....nani aliamua kusema baadhi ya barua za Paulo na kuacha zingine....nani aliamua torati iwemo kwenye biblia?.…...jibu unalo nadhan....kama unaamini biblia manake wakatoliki ndo wamekuchagulia kipi caha kuamini na kipi so cha kuamini....wangeweza kukuwekea chochote mule...sasa sijui kelele za nn....am not catholic....lakini unaboa....Sina haja ya kukutajia majina yao sababu hayatakusaidia kitu chochote kile. Wewe kama hata Biblia huiamini, utawaamini watu usiowajua? Biblia yenyewe inakuonesha wazi kabisa kuwa Petro au Kefa hakuwahi kufika Roma, lakini bado unabishana nayo. Bakia hivyo hivyo mkuu.
Nakushauri kavae dera au kijora then chukua mashosti zako mkawasute kama hao katoliki ni waongo. La sivyo uongo wa katoliki kama haukudhuru fuata dini au dhehebu unaloliamini. Acha kushuhudia uongo usiokuhusu. Halafu una vijitabia vya yule askofu Muanglikana wa Marekani.Siku zote uchafu wa ndani ya nyumba huelezwa na watoto walio ndani ya nyumba hiyo. Mtu wa nje huwezi kujua siri za ndani usipoambiwa na watu wa ndani na kuoneshwa ushahidi. Ushahidi upo na waliotaka kujiridhisha walikwenda mpaka Jerusalemu miaka hiyo na wakajionea wenyewe.
Uƙiwa na nɗgu ƴako msabato jua umekariɓisha mɓishi nɗani.Hawanƴwi mpaka chai ƴa rangi hawaUmeona eeennnhhh !!!, Yaani anakula Matapishi. WASABATO Wengi wana IQ ndogo sana, ndio maana muda wote wanalifikiria Kanisa Katoliki.