Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Mimi sio Msabato, lkn ni kweli kabisa Petro hakuwahi kuwa Papa wa Roman Catholic. Maana historia ya kanisa inatueleza kuwa Petro, Yohana na Yakobo wao walikuwa wanakaa makao makuu ya kanisa Jerusalemu. Na akina Paulo wao walikuwa watumishi wa mataifa.

Ko kanisa kuanza kuwa makao makuu Roma(Vatican) ilianzia pale Mfalme Costantine alipomuamini Yesu kristo karne ya 3. Na ndipo makanisa yote duniani yakalazimishwa kuwa chini ya kanisa la Roma. Kumbuka kanisa liliitwa kutokana na eneo kanisa lilipo. Mfano kanisa lililokuwapo Efeso, ko liliitwa kanisa la Efeso. Hapakuwapo madhehebu ktk kanisa la mwanzo.

Kiufupi Petro hakufia Rumi. Bali Jerusalemu.
Mkuu wew ni dhehebu gani..?
 
Yote hatutaweza kuyamaliza, cha muhimu ni kukazana kumfuata kristu yesu ili tuweze kunusurika na hasira ya Mungu siku ya mwisho
 
Yote hatutaweza kuyamaliza, cha muhimu ni kukazana kumfuata kristu yesu ili tuweze kunusurika na hasira ya Mungu siku ya mwisho
Hilo ndo la msingi zaidi, tunaongea hivyo kwa sababu wengine wanajifariji kwa kusema dhehebu langu ndo la kwanza. Utazania mbinguni tutaenda kwa madhehebu.
 
Wasabato bwana na nabii wao elen G white roman Catholic inawapa tabu sana


Ni watu Wa ajabu sana! Jana msabato mmoja katika mjadala ametoa mpya kwamba mama Ellen G.White katika maisha yake aliwahi kuoneshwa binadamu wengine walio katika Sayari zingine na hao hawakumuasi Mungu kama sisi Wa Sayari ya Dunia. Ni ujinga Wa hali ya juu kuaminishwa mambo kama hayo yasiyo na ushahidi.

Wasabato ni watu kwa asili wanaojihusisha na kuzusha mambo na kugeuza ukweli kinyume ili kufahamika kujitanua na kusalia kuwepo.
 
Hilo ndo la msingi zaidi, tunaongea hivyo kwa sababu wengine wanajifariji kwa kusema dhehebu langu ndo la kwanza. Utazania mbinguni tutaenda kwa madhehebu.
Labda nikuambie kitu ambacho huenda hutopenda kukisikia...

Ni Hivyi Yesu Kristo alianzisha Kanisa...na Kanisa hilo ndio Kanisa Katoliki chini ya Baba Mtakatifu wa Kwanza ambaye ni Petro...


Upo hapo
 
Mimi sio Msabato, lkn ni kweli kabisa Petro hakuwahi kuwa Papa wa Roman Catholic. Maana historia ya kanisa inatueleza kuwa Petro, Yohana na Yakobo wao walikuwa wanakaa makao makuu ya kanisa Jerusalemu. Na akina Paulo wao walikuwa watumishi wa mataifa.

Ko kanisa kuanza kuwa makao makuu Roma(Vatican) ilianzia pale Mfalme Costantine alipomuamini Yesu kristo karne ya 3. Na ndipo makanisa yote duniani yakalazimishwa kuwa chini ya kanisa la Roma. Kumbuka kanisa liliitwa kutokana na eneo kanisa lilipo. Mfano kanisa lililokuwapo Efeso, ko liliitwa kanisa la Efeso. Hapakuwapo madhehebu ktk kanisa la mwanzo.

Kiufupi Petro hakufia Rumi. Bali Jerusalemu.
KABLACYA YOTE NAOMBA MNIELESHE HILI NENO KANISA LILIANZA LINI NA WAPI? NINASHAKA KAMA YESU ALITAMKA NENO KANISA WAKATI WA KUMKABIDHI MADARAKA MT PETRO. JE NENO HALISI NI LIPI NA KWA NINI HALIJATUMIKA KAMA SIO NENO KANISA? WAKATI HUO WALIABUDU KWENYE MASINAGOGI NA MAHEKALU. KWA NINI TUITE MAKANISA NA SIO MAHEKALU? ILIKUWA JINA KANISA LIKAKUA KULIKO HEKALU?
 
Labda nikuambie kitu ambacho huenda hutopenda kukisikia...

Ni Hivyi Yesu Kristo alianzisha Kanisa...na Kanisa hilo ndio Kanisa Katoliki chini ya Baba Mtakatifu wa Kwanza ambaye ni Petro...


Upo hapo
Sipendi kujadili saana jambo hili, ila kila jambo linaenda kwa data, unajua nyakati za Yesu na hata mitume hapakuwepo na madhehebu ila kanisa lilikuwa likiitwa kutokana na sehemu lilipo, soma UFUNUO WA YOHANA 2:1 na kuendelea mpaka sura ya tatu utaona jinsi makanisa yanavyoitwa ni majina ya sehemu yanakotoka hayo makanisa.

Kumbuka Yesu alikuwa mwiisrael na hata wanafunzi wake walikuwa waisrael. Hivyo kanisa lilipelekwa Rumi kwa njia ya mahubiri waliokuwa wakiyafanya wanafunzi wa Yesu baada ya Yesu kuondoka, sio Roma tu walikopeleka injili hata sehemu zingine injili ilihubiriwa kama vile;- Galatia, Efeso, Corintho, Kolosai n.k. Kanisa makao makuu yakiwa Jerusalem-Israel.

Sasa elewa kuwa kanisa na dola ya Rumi mwanzoni vilikuwa tofauti(separately). Na ndo maana ktkt ya karne ya kwanza kanisa lilipata taabu sana kule Roma kutokana na utawala wa kikatili wa Mfalme Nero. Lkn Miaka ya 300's kanisa kule roma lilipata raha baada ya mfalme Costantine Kuongoka na kumwani Yesu.

Hivyo basi mfalme Costantine(mkristo) ndie aliekuja kulazimisha kuwa makanisa yote duniani yawe chini ya kanisa lililokuwa Roma na hii ilikuwa karne ya 4. Wakati Mitume wote walikuwa tayari wameshakufa. Na ikumbukwe dola ya Rumi ndio iliyokuwa ikitawala kipindi hicho, ko ikawa rahisi kwa kanisa kuwa chini yake.
 
KABLACYA YOTE NAOMBA MNIELESHE HILI NENO KANISA LILIANZA LINI NA WAPI? NINASHAKA KAMA YESU ALITAMKA NENO KANISA WAKATI WA KUMKABIDHI MADARAKA MT PETRO. JE NENO HALISI NI LIPI NA KWA NINI HALIJATUMIKA KAMA SIO NENO KANISA? WAKATI HUO WALIABUDU KWENYE MASINAGOGI NA MAHEKALU. KWA NINI TUITE MAKANISA NA SIO MAHEKALU? ILIKUWA JINA KANISA LIKAKUA KULIKO HEKALU?
Ahsante sana. Elewa kuwa kanisa maana yake ni mtu au watu wanaomwamini Yesu kristo kuwa ndie mpakwa mafuta wa BWANA, na ya kwamba ndie mkombozi na ndie mwenyekutusafisha kwa damu yake ili tuwe milki ya Mungu.

Hivyo basi, kwa vile hekalu lilikuwa likihifadhi sanduku la Mungu au sanduku la agano, ktk chumba cha patakatifu pa patakatifu. Na ktk chumba hicho kilichokuwa ndani ya hekalu kilikuwa kikiaminika kuwa kuna Mungu. Kwa maana nyingine hekalu lilikuwa linamwifadhi Mungu, kwa imani ya kiyahudi. Ndo maana wayahudi walipokuwa wakiomba kwa Mungu wakiwa mbali na Jerusalem ambako hekalu ndiko lilikokuwako, iliwapasa kuelekeza sura zao Jerusalemu. Soma YOHANA 4:yote.

Sasa Yesu alipokata roho pale msalabani, pazia la hekalu lilipasuka tokea chini mpaka juu. Na ndipo heshima ya hekalu ilipoishia.

Leo hii Mungu alimwachilia Roho Mtakatifu akae ndani yetu sisi waamini wa Yesu kristo yaani kanisa, hivyo miili yetu inafanyika hekalu la Roho Mtakatifu. Na kwa vile sisi tumemwamini Yesu. Ndio maana kanisa kanisa linajina kubwa.

Pia elewa kuwa neno kanisa lilianzia kwenye unabii wa Isaya, ya kwamba Yesu atakuwa kiongozi wa kanisa.
Masinagogi ni branch za hekalu.
 
Sipendi kujadili saana jambo hili, ila kila jambo linaenda kwa data, unajua nyakati za Yesu na hata mitume hapakuwepo na madhehebu ila kanisa lilikuwa likiitwa kutokana na sehemu lilipo, soma UFUNUO WA YOHANA 2:1 na kuendelea mpaka sura ya tatu utaona jinsi makanisa yanavyoitwa ni majina ya sehemu yanakotoka hayo makanisa.

Kumbuka Yesu alikuwa mwiisrael na hata wanafunzi wake walikuwa waisrael. Hivyo kanisa lilipelekwa Rumi kwa njia ya mahubiri waliokuwa wakiyafanya wanafunzi wa Yesu baada ya Yesu kuondoka, sio Roma tu walikopeleka injili hata sehemu zingine injili ilihubiriwa kama vile;- Galatia, Efeso, Corintho, Kolosai n.k. Kanisa makao makuu yakiwa Jerusalem-Israel.

Sasa elewa kuwa kanisa na dola ya Rumi mwanzoni vilikuwa tofauti(separately). Na ndo maana ktkt ya karne ya kwanza kanisa lilipata taabu sana kule Roma kutokana na utawala wa kikatili wa Mfalme Nero. Lkn Miaka ya 300's kanisa kule roma lilipata raha baada ya mfalme Costantine Kuongoka na kumwani Yesu.

Hivyo basi mfalme Costantine(mkristo) ndie aliekuja kulazimisha kuwa makanisa yote duniani yawe chini ya kanisa lililokuwa Roma na hii ilikuwa karne ya 4. Wakati Mitume wote walikuwa tayari wameshakufa. Na ikumbukwe dola ya Rumi ndio iliyokuwa ikitawala kipindi hicho, ko ikawa rahisi kwa kanisa kuwa chini yake.

Kweli Mkuu, Kanisa liliitwa kulingana na wapi lilipo. Labda tuwekane wazi kidogo. shida inayokuja na kuleta mchanganyiko ni kwamba hatutaki kuchambua zaidi na kudadis mambo. Umeongelea RUMI, hii imevuma sana na kuwa maarufu zaidi kwa sababu ya utawala wake. ndivyo ingetokea kwa kanisa la Galatia, Effeso nk. Jambo jingine hapo ni hii KATOLIKI. Ukitamka tu Katoliki baasi watu wanajua unaongelea ROMA. kumbe siyo kweli.
neno hili ukilifatilia utaona halihusiani na URUMI bali linahusiana na KANISA.
hii ndiyo maana halisi ya neno hilo.

The Word Catholic Defined


Catholic comes from the Greek katholikos, the combination of two words, kata (concerning), and holos (whole). According to the Oxford Dictionary of English Etymology, the word catholic comes from a Greek word meaning "regarding the whole," or, more simply, "universal" or "general." The word church comes from the Greek ecclesia, which means "those called out," as in those summoned out of the world at large to form a distinct society. So the Catholic Church is made up of those called out and gathered into the universal society founded by Christ.

Sasa kwa mantiki hii, hata kanisa la Efeso nalo ni Katholikos. Na haimaanishi kuwa ni ufuasi wa ROMA bali wanajulikana kwa maana rahisi kuwa wafuasi wa Kristo.
 
Kweli Mkuu, Kanisa liliitwa kulingana na wapi lilipo. Labda tuwekane wazi kidogo. shida inayokuja na kuleta mchanganyiko ni kwamba hatutaki kuchambua zaidi na kudadis mambo. Umeongelea RUMI, hii imevuma sana na kuwa maarufu zaidi kwa sababu ya utawala wake. ndivyo ingetokea kwa kanisa la Galatia, Effeso nk. Jambo jingine hapo ni hii KATOLIKI. Ukitamka tu Katoliki baasi watu wanajua unaongelea ROMA. kumbe siyo kweli.
neno hili ukilifatilia utaona halihusiani na URUMI bali linahusiana na KANISA.
hii ndiyo maana halisi ya neno hilo.

The Word Catholic Defined


Catholic comes from the Greek katholikos, the combination of two words, kata (concerning), and holos (whole). According to the Oxford Dictionary of English Etymology, the word catholic comes from a Greek word meaning "regarding the whole," or, more simply, "universal" or "general." The word church comes from the Greek ecclesia, which means "those called out," as in those summoned out of the world at large to form a distinct society. So the Catholic Church is made up of those called out and gathered into the universal society founded by Christ.

Sasa kwa mantiki hii, hata kanisa la Efeso nalo ni Katholikos. Na haimaanishi kuwa ni ufuasi wa ROMA bali wanajulikana kwa maana rahisi kuwa wafuasi wa Kristo.
Yes, nimekupata, haya mambo kuyajua tunahitajika kusoma, si tu biblia lkn hata kuijua historia ya kanisa. Kiundani maana viongozi wetu kila mmoja uvutia kwake.
 
Mimi sio Msabato, lkn ni kweli kabisa Petro hakuwahi kuwa Papa wa Roman Catholic. Maana historia ya kanisa inatueleza kuwa Petro, Yohana na Yakobo wao walikuwa wanakaa makao makuu ya kanisa Jerusalemu. Na akina Paulo wao walikuwa watumishi wa mataifa.

Ko kanisa kuanza kuwa makao makuu Roma(Vatican) ilianzia pale Mfalme Costantine alipomuamini Yesu kristo karne ya 3. Na ndipo makanisa yote duniani yakalazimishwa kuwa chini ya kanisa la Roma. Kumbuka kanisa liliitwa kutokana na eneo kanisa lilipo. Mfano kanisa lililokuwapo Efeso, ko liliitwa kanisa la Efeso. Hapakuwapo madhehebu ktk kanisa la mwanzo.

Kiufupi Petro hakufia Rumi. Bali Jerusalemu.
Wewe unalielewa NENO na ndani yako upo mwanga kidogo. Endelea kuishika imani yako.
 
Nyie wasabat kila kukicha ni kupingana na waroma na sio kupingana na mwovu shetani.
Nenda ukale makande kwa mama lishe hapo karibu nitakuja kulipa.
Sabato njema!!!!!
Sabato imeingiaje humu na si Wengine ?!!
 
Hivyo Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kinachoonesha madhalimu ya Emperor Nero ni cha uongo..

Ama unataka kutuambia Nero aliishi Jerusalem...??

Ama unataka kutuambia kifo cha Petro kichwa chini miguu juu kilikuwa cha uongo..?? Na kifo hicho kilitokea Jerusalemu

Ama unataka kutuambia Paul naye alifia Jerusalemu.....??



Kaaazi kweli kweli
Tuandikiea hapa kifungu kwa kifungu ukituonesha kwenye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA palipoandikwa namna Emperor Nero alivyokuwa mdhalimu. Tuoneshe hapa ni mstari gani kwenye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA pameandikwa jinsi Petro alivyouliwa akiwa Roma.

Mimi nimekisoma kitabu chote cha UFUNUO WA YOHANA, tena siyo mara moja, mara nyingi sana na sijaona mahali popote palipoandikwa kuwa PETRO alikuwa Roma.

Kuhusu PAULO mimi sijasema PAULO alifia wapi wala sijaandika kama PAULO hakufika Roma. Najua fika kwamba PAULO alikwenda Roma hata Biblia inasema wazi kabisa kuwa PAULO alikwenda Roma.

Acha kuchanganya mada wewe mdanganyifu wa kanisa Katoliki. Kama wewe Otorong'ong'o umedanganywa na Mafundisho ya kanisa katoliki na ukakubali kudanganywa usifikiri kila mtu ana akili kama zako za kudanganyika kirahisi. Wengine hatukubali kudanganyika, tunaitafuta KWELI nayo hiyo KWELI inatuweka huru kweli kweli.
 
Thibitisha kama we ni mwamini was kweli na si mfia dini wa kisabato
Matendo yangu yatanishuhudia IMANI yangu. Siwezi kukuthibitishia kwa maneno matupu mkuu. Mimi naamini katika KWELI ndiyo maana naandika kuupinga UWONGO ili wengine pia waijue ile KWELI.
 
We ulijuaje kuwa ni uongo hayo madhehebu yenu ya kimapokeo yanawapa mihemko sana kujiona nyie ndo wakristu halisi, mnaifia dini ambayo hata babu yako akifufuliwa Leo atakushangaa wewe kwa kuacha imani na mafundisho ya kabila lako
Mimi nilijua Wakatoliki wanafundisha UWONGO sababu na mimi pia nilikuwa Mkatoliki. Lakini baada ya kuitafuta KWELI na kuijua ndipo nilipoona tofauti ya GIZA na MWANGA. Ukiwa gizani huwezi kujua mwanga unafananaje ni mpaka utoke gizani na kwenda kwenye MWANGA ndipo utaona tofauti. Imeandikwa; ukimtafuta MUNGU kwa bidii, utamwona. YEREMIA 29:13

Mimi niliacha imani na mafundisho ya kabila langu sababu ni mafundisho ya KISHETANI wala siyo mafundisho ya KWELI. Siku ya mwisho babu zangu watanishangaa sana kwa jinsi nitakavyokuwa niking'aa kama nyota milele na wao watatamani sana wangeijua KWELI niliyoijua mimi.
 
Back
Top Bottom