IAmShedeOne
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 202
- 385
Dah! Kila Siku Yanaibuka Mapya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani....! Nimekumbuka kila mmoja wao alikuwa anaandika nyaraka za kila alikoenda, alikofia hata alivyokufa.
.......
Atakayebisha kwenye hizi fact zako lazima atakuwa na matatizo ya akili ama ni mkatoloki mdhambi.
Hongera mkuu, endelea kuwapa nondo hawa wamataifa.
Ni SDA huyoNinaanza kukuamini! Lakini kabla sijaamini kabisa naomba uniambie dhehebu lako, najua watu wa Mungu huwa hawadanganyi kisha nitaomba tubadilishane uelewa kidogo.
Hili ndio tatizo lenu...ubishi na kutopenda kusoma kweli zaidi ya kuwaamini wazushi. Naamini quote kutoka Catholic Answers hujaisoma au umeparaza tu. Huyu jamaa yako analeta stori za Wikipedia ulinganishe na watu walioweka facts kutoka kwenye Bible kuonesha Babylon ilikuwa ni code word ya Roma. Rudi usome upya ukuze maarifa acha kurukia vitu virahisi. Nataka utoe challenge kwenye hilo bandiko na si kuleta stori za Wikipedia.Mkuu hii ni propaganda tu ya Wakatoliki katika kutetea maovu yao. Petro alipoandika kwenye Waraka wake wa kwanza kwamba yupo Babyloni hakumaanisha Roma kama ambavyo Wakatoliki wanatafsiri. Ukisoma Historia utaona kuwa Misri kulikuwa na mji uliokuwa unaitwa Babyloni na hapo ndipo Petro alipokuwepo. WARAKA WA KWANZA WA PETRO 5:13
Sasa kuthibitisha maelezo yangu na mimi nimekuwekea hapa chini maelezo yaliyoandikwa na mtafuta KWELI kama mimi. Hebu soma ujionee mwenyewe:-
Well, six years ago, while conducting some Biblical research for a new article which I was working on at the time, I made an interesting discovery which I found rather surprising. At the time, this discovery seemed to shed some light regarding the possible identity of Peter's Babylon. In fact, I became quite convinced that I had finally figured out from where the Apostle Peter had written his first Epistle. What my research revealed is that during the early part of the First Century, when Christ walked the Earth, and His Apostles were still alive, there existed another city named Babylon. It was located in the northeastern corner of Egypt, in the Nile Delta area. The Wikipedia website states the following about this ancient city:
----- Begin Quote -----
"Babylon . . . was a fortress city or castle in the Delta of Egypt. It was situated . . . upon the right (eastern) bank of the Nile . . . and near the commencement of the Pharaonic Canal (also called Ptolemy's Canal and Trajan's Canal), from the Nile to the Red Sea. It was the boundary town between Lower and Middle Egypt, where the river craft paid tolls when ascending or descending the Nile . . . Josephus, with greater probability, attributes its structure to some Babylonian followers of Cambyses, in 525 BC. In the age of Augustus, the Deltaic Babylon became a town of some importance, and was the headquarters of the three legions which ensured the obedience of Egypt."
However, my surprise did not end there. As I continued my research concerning this Babylon Fortress, I discovered that today it is known as Coptic Cairo, or Old Cairo, being as it is the oldest section of that ancient city. In fact, some of the ancient remains of the Roman fortress can still be seen there. But that is not all. As it turns out, it is commonly believed by the Coptic Christians of Egypt -- who are some of the oldest known Christians in the world -- as well as by other Christians, that Joseph, Mary and the baby Jesus spent some time in Babylon, Egypt, after Joseph was warned by God in a dream to flee to Egypt, in order to escape persecution from evil King Herod.
According to ancient tradition, Christianity was introduced to the Egyptians by Saint Mark in Alexandria, shortly after the ascension of Christ and during the reign of the Roman emperor Claudius around 42 AD. The legacy that Saint Mark left in Egypt was a considerable Christian community in Alexandria. From Alexandria, Christianity spread throughout Egypt within half a century of Saint Mark's arrival in Alexandria, as is clear from a fragment of the Gospel of John, written in Coptic, which was found in Upper Egypt and can be dated to the first half of the 2nd century, and the New Testament writings found in Oxyrhynchus, in Middle Egypt, which date around the year 200 AD. In the 2nd century, Christianity began to spread to the rural areas, and scriptures were translated into the local language, today known as the Coptic language (which was called the Egyptian language at the time). By the beginning of the 3rd century AD, Christians constituted the majority of Egypt's population, and the Church of Alexandria was recognized as one of Christendom's four Apostolic Sees, second in honor only to the Church of Rome. The Church of Alexandria is therefore the oldest church in Africa.
Saint Apostle Peter wrote his first epistle from Babylon (north of Old Cairo), when visiting Mark (1 Peter 5:13). When Mark returned to Alexandria, the pagans of the city resented his efforts to turn the Alexandrians away from the worship of their traditional Hellenistic gods. In AD 68 they placed a rope around his neck and dragged him through the streets until he was dead.
Ngoja nikusaidie kuivunjavunja. Soma hii then tumia hizo Bible quote as reference ndio turudi kwenye mjadala....Acha maneno ya kishetani mkuu. Dini zipo ili watu wamjue MUNGU, sema kuna dini ya UKWELI ambayo ni moja tu; na dini za uwongo ambazo ni nyingi sana.
Hakunipunguzii chochote hata kama ni kweli Petro hakuzikwa Roma. Kanisa limenifundisha imani yake i katika Kristo msulubiwa na akafufuka siku ya 3 ili kuukomboa ulimwengu. Hiyo ndo msingi wa imani katoliki. Sasa kama hii imani kwako ni uzushi na uongo then wewe ni anti-christ...Kanisa linapowafundisha waumini uwongo kuwa Petro alizikwa Roma na alikuwa Papa wao wa kwanza wakati siyo kweli wewe unaona ni sawa tu?
Kanisa Katoliki linafundisha uongo mwingi sana, achilia mbali hiyo habari ya Petro, kuna mafundisho mengi sana ya uwongo ambayo yanawapoteza watu. Nimeahidi kuorodhesha UWONGO wote wa Kanisa hili hapa hapa JF, ili wale wanaotaka kuijua KWELI, basi waijue na wajiepushe na udanganyifu.
We ulijuaje kuwa ni uongo hayo madhehebu yenu ya kimapokeo yanawapa mihemko sana kujiona nyie ndo wakristu halisi, mnaifia dini ambayo hata babu yako akifufuliwa Leo atakushangaa wewe kwa kuacha imani na mafundisho ya kabila lakoKila kitu wanachofundisha Wakatoliki ambacho ni cha UWONGO nilishaandika humu. Ni mambo mengi sana, lakini kwa faida ya wengi nitaandika "uzi" kamili unaoonesha uwongo wote wa Kanisa Katoliki. Tega sikio mkuu na siku nikiandika nitaku-tag ili uwe wa kwanza kusoma. Wala usiwe na haraka, nitakuandikia kila kitu.
You have a point. Ndio maana Wakatoliki hatuna tatizo na wanaoamini Bible ya Martin Luther pekee maana inatosha kwa wokovu. Lakini Kanisa lina wajibu beyond hilo. Wajibu wa kutunza kumbukumbu ambazo vizazi kama vyetu na vinavyokuja vitatumia kama reference kuthibitisha mambo mengi kulingana na uzushi wa nyakati hizo. Angalia leo issue ya alipofia Petro inavyotumika ....kama Kanisa lisingetunza history ingekuwaje? Barua zote za kichungaji zimetuzwa toka enzi na enzi na hata hizi tunazoandikiwa sasa zitaishi na kusaidia vizazi vinavyokuja. Nyaraka walizoandika akina Paulo hazikukomea kwao maana Yesu alituachia muongozo wa Roho Mtakatifu na si Biblia ...hivyo Biblia ni sehemu ya juhudi za Kanisa kutunza kumbukumbu za kiimani kuzuia uzushi dhidi ya Ukristo na kuamsha imani. Wayahudi walizusha Yesu hakufufuka toka kuanzia kwa walinzi waliokuwa wanalinda kaburi la Yesu hadi leo wanaamini hivyo!!Watu hawajui kwamba eneo hilo lote ITALY na ISRAEL ya wakati huo ilikuwa chini ya mtawala mmoja? haina maana yoyote sehemu alipozikwa, ni sawasawa hapa bongo mtu anazikwa popote lakini kuzikwa kwake eneo hilo haliondoi kile alichoamini, alichofundisha au alama alioiacha haijalishi wanaomfuata ni watu wa kwao ama wafuasi a sehemu nyingine waliomwelewa na kumfuata
Thibitisha kama we ni mwamini was kweli na si mfia dini wa kisabatoMimi ni mwamini wa KWELI wa YESU KRISTO. Mimi naamini katika KWELI na siku zote nikiijua KWELI, kamwe sitakaa kimya bali nitawaambia na wengine ili na wao waijue KWELI ili hiyo KWELI iwaweke huru kweli kweli.
.Tatizo hapa tutaishia kubishana na watu wanaotaka kujua historia kupitia Biblia pekee utafikiri kile ni kitabu cha historia. Kanisa Katoliki ni tajiri kimafundisho sababu imetunza nyaraka, barua na mafundisho ya mababa wa Kanisa hadi sasa. Zipo barua zimetunzwa karne nyingi zinazosimulia kuanzia uinjilishaji wa Petro na Paul huko Roma hadi vifo vyao. Mlisikia barua kama ile iliyotolewa na baraza la maaskofu kuelekea uchaguzi wa 2010. Ile barua itaishi vizazi na vizazi na wapo wataopinga kuwa barua hizo ni feki nyakati hizo! Kama unataka kujua kweli safari ya Petro huko Roma ingia kwenye site ya Catholic Answers utapata shule nzuri tu.
Hivyo Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kinachoonesha madhalimu ya Emperor Nero ni cha uongo..Tokea mwaka 1958 ilipogundulika mifupa hii ya PETRO huko Jerusalem,
Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu...unataka kutuambia tukio hili lilitokea wapi...???.
Petro hakuwahi kufika Roma ya Italia.
Rumi ya Kaisaria ni Wapi..??? Au hujui maana ya Caesar....Labda Rumi ya Kaisaria alikokua akiishi kaisari hapo hapo bara Asia ndogo yalipo kuwepo yale makanisa saba.
Mimi sio Msabato, lkn ni kweli kabisa Petro hakuwahi kuwa Papa wa Roman Catholic. Maana historia ya kanisa inatueleza kuwa Petro, Yohana na Yakobo wao walikuwa wanakaa makao makuu ya kanisa Jerusalemu. Na akina Paulo wao walikuwa watumishi wa mataifa.Kwa zaidi ya maika 2000 watu wamekuwa wakiaminishwa kuwa Mtume Petro aliuwawa Roma na kuzikwa huko kwenye eneo lililojulikana kama tropaion. Tena imekuwa ikifundishwa na Kanisa Katoliki kuwa Petro ndiye alikuwa Papa wa kwanza lakini ukweli ni kwamba katika maisha yake yote Petro hakuwahi kabisa kuwa Papa achilia mbali kufika tu ROMA. Maisha yake yote Petro au Kefa kama wengine wanavyomwita hakuwahi kabisa kukanyaga ardhi ya Roma.
Mwaka 1958 huko Jerusalemu katika eneo lijulikanalo kama "Dominus Flevit" kwenye mlima wa Mizeituni ambapo kwa sasa hivi pamejengwa kanisa linaloitwa Franciscan Monastery yalichimbuliwa mabaki ya mifupa yaliyokuwa ndani ya boksi(ossuaries)na juu ya boksi hili kulikuwa na maandishi yaliyoandikwa kwa lugha ya Aramaic yakisomeka "Simon Bar Jona". Eneo ilipopatikana mifupa hiyo pia ilipatikana mifupa ya watu wengine ikiwa imehifadhiwa ndani ya maboksi hayo na juu yake yakiwa yameandikwa majina yao. Majina hayo ni pamoja na Mariam, Martha na Lazaro. Inaaminika kuwa Wakristo wa Mwanzo kabisa baada ya kupaa kwa MESSIAH kwenda mbinguni, walichagua kuzikana eneo hilo la Mlima wa Mizeituni, kwasababu imeandikwa kwenye Biblia kuwa siku MESSIAH atakaporudi tena duniani atasimama juu ya Mlima huo, soma ZEKARIA 14:3-4. Kutokana na imani waliyokuwa nayo, Wakristo hao waliamini kuwa itakuwa vema kama watazikwa eneo hilo ili siku ile BWANA YESU atakapokuja na kuwafufua, wawe wa kwanza kumlaki BWANA kwenye Mlima huo wa Mizeituni.
Franciscan "Terra Santa" Monastery, Jerusalem, mahali ambapo mifupa ya Petro ilipopatikana.Mifupa hiyo inayoaminika kuwa ni ya Petro, ilichimbuliwa na Archeologist wa Kiitaliano ambaye alikuwa ni Priest wa Kikatoliki akijulikana kama P.B. Bagatti. Baada ya kuichimbua mifupa hii na kujiridhisha yeye na wenzake aliokuwa nao, Bagatti alikwenda Vatican na kumjulisha Papa wa wakati ule aliyekuwa akiitwa Pius XII. Papa Pius XII alopoambiwa habari hizo na kuoneshwa ushahidi wote, alijibu tu kwa kusema; “inawezekana ikawa kweli hiyo ni mifupa ya PETRO, na inabidi tufanye marekebisho makubwa, lakini kwa sasa hivi kaeni kimya kabisa”. Bagatti akamuuliza Papa Pius XII, Je, unaamini itakuwa ni mabaki ya Petro? Papa Pius XII akamjibu kwa kusema; “kwa ushahidi ulionionesha, naamini itakuwa ni mifupa ya Petro”.
View attachment 669269
Cha ajabu ni kwamba mpaka Papa Pius XII anafariki dunia Octoba 9, 1958 hakuweka hadharani kabisa uvumbuzi huo uliofanywa na Archeologist Bagatti. Mwaka huo huo Bagatti ndipo akaamua kuandika kitabu akielezea kupatikana kwa mifupa ya Petro huko Jerusalem, kitabu hicho kinachoitwa, "Gli Scavi del Dominus Flevit", kilichochapishwa mwaka 1958. Kitabu hichi kiliandikwa na P. B. Bagatti akishirikiana na Archeologist mwenzake J. T. Milik, ambao wote walikuwa pia ni Ma-Priest wa Kanisa Katoliki. Bagatti anaonekana kuficha baadhi ya mambo na haelezei kwa undani hasa nini kilifanyika. Hii inadhihirisha wazi kabisa kuwa walifungwa mdomo na Kanisa Katoliki ili wasiweke kila kitu hadharani kwani kama wangefanya hivyo ingekuwa ni sawa na kulivua nguo kanisa, kwani kwa miaka yote kanisa Katoliki limekuwa likifundisha kuwa Petro aliishi Roma kwa miaka 24 na kuuawa na kuzikwa huko.
View attachment 669271
View attachment 669272
Maneno hayo hapo juu yanasomeka "Simoni Bar Yona"
Ushahidi mwingine unaoonesha wazi kabisa kuwa Petro hakuwahi kabisa kufika Roma, ni Biblia. Mtume Paulo katika Waraka zake zote hakuna mahali ameandika kuwa Petro alikwenda Roma na kuishi huko. Paulo alikuwa ni mtu anayependa sana kuandika kila kitu anachokutana nacho. Isingewezekana kabisa Petro ahamie Roma na kuishi huko kwa miaka 24 halafu Paulo asiandike, achilia mbali Petro mwenyewe asiandike kabisa Waraka wowote ule akielezea maisha yake akiwa Roma. Haiingii akilini hata kidogo mtu kama Petro eti akaishi mahali kwa miaka 24 akihubiri Injili, halafu jambo hilo lisiwemo kabisa ndani ya Biblia.
Isitoshe ukisoma Biblia utaona Paulo anaelezea wazi kabisa kuwa Petro alikuwa ni Mtume kwa ajili ya Wayahudi, soma WAGALATIA 2:7-8. Pia tukisoma Biblia tunaona BWANA anamtokea Anania kwenye maono na kumwambia aende akaonane na Sauli(Paulo), sababu yeye BWANA amemchagua SAULI(PAULO)kuwa Mtume wa Mataifa, soma MATENDO YA MITUME 9:10-15. Pia ukisoma Waraka wote wa Petro hakuna mahali popote Petro ameandika kuwa yupo Roma.
Kutokana na yote hayo na ushahidi wa mifupa iliyopatikana Jerusalem, ni kielelezo tosha kuwa Roman Catholic Church wanafundisha “uwongo” na wanafanya kila wawezalo kuuficha UKWELI. Kanisa hili limejaa mafundisho ya uwongo na kwa miaka mingi sana limewapotosha watu wengi sana. Kanisa hili lina intelijesia kali sana kiasi kwamba wanaweza kuficha habari yoyote ile isiwafikie watu, lakini kamwe hawawezi kushindana na MUNGU hasa pale anapoamua UKWELI lazima ujulikane.
Tokea mwaka 1958 ilipogundulika mifupa hii ya PETRO huko Jerusalem, Kanisa Katoliki limekuwa likificha uvumbuzi huu kwa kila namna. Eneo ambapo ilipatikana mifupa hii linamilikiwa na Kanisa hilo hivyo imekuwa rahisi wao kuuficha ukweli lakini pia ndani ya kanisa wapo baadhi ya Ma-Priest ambao huwa hawawezi kukaa kimya na wamekuwa wakivujisha siri hizi.