Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Ikiwa huamini au unaamini Petro aliishi/hakuishi Roma je kunakupunguzia au kukuongezea nini katika njia yako ya kuirithi mbingu? Je kwapunguza nini ikiwa Petro hakuzikwa Roma katika imani katoliki ambayo ambayo imejengwa katika kuamini ya kuwa Kristo mwenyewe ndio njia ya kweli na uzima?
Kama imani katoliki inayofundisha Yesu ndio njia ya kweli na uzima ni adui wa ukristo basi hakika wewe ni ant-christ
Kanisa linapowafundisha waumini uwongo kuwa Petro alizikwa Roma na alikuwa Papa wao wa kwanza wakati siyo kweli wewe unaona ni sawa tu?
Kanisa Katoliki linafundisha uongo mwingi sana, achilia mbali hiyo habari ya Petro, kuna mafundisho mengi sana ya uwongo ambayo yanawapoteza watu. Nimeahidi kuorodhesha UWONGO wote wa Kanisa hili hapa hapa JF, ili wale wanaotaka kuijua KWELI, basi waijue na wajiepushe na udanganyifu.
 
Like other Protestants, Fundamentalists say Christ never appointed Peter as the earthly head for the simple reason that the Church has no earthly head and was never meant to have one. Christ is the Church’s only foundation, in any possible sense of that term.

The papacy, they say, arose out of fifth- or sixth-century politics, both secular and ecclesiastical; it has no connection with the New Testament. It has not been established by Christ, even though supposed “successors” to Peter (and their defenders) claim it was. At best the papacy is a ruse; at worst, a work of the devil. In any case, it is an institution designed to give the Catholic Church an authority it doesn’t have.

A key premise of their argument is the assertion that Peter was never in Rome. It follows that if Peter were never in Rome, he could not have been Rome’s first bishop and so could not have had any successors in that office. How can Catholics talk about the divine origin of the papacy, Fundamentalists argue, when their claim about Peter’s whereabouts is wrong?

Let’s look at this last charge, reserving for another tract a look at Peter’s position among the apostles and in the early Church.


How to Understand the Argument


At first glance, it might seem that the question, of whether Peter went to Rome and died there, is inconsequential. And in a way it is. After all, his being in Rome would not itself prove the existence of the papacy. In fact, it would be a false inference to say he must have been the first pope since he was in Rome and later popes ruled from Rome. With that logic, Paul would have been the first pope, too, since he was an apostle and went to Rome.

On the other hand, if Peter never made it to the capital, he still could have been the first pope, since one of his successors could have been the first holder of that office to settle in Rome. After all, if the papacy exists, it was established by Christ during his lifetime, long before Peter is said to have reached Rome. There must have been a period of some years in which the papacy did not yet have its connection to Rome.

So, if the apostle got there only much later, that might have something to say about who his legitimate successors would be (and it does, since the man elected bishop of Rome is automatically the new pope on the notion that Peter was the first bishop of Rome and the pope is merely Peter’s successor), but it would say nothing about the status of the papal office. It would not establish that the papacy was instituted by Christ in the first place.

No, somehow the question, while interesting historically, doesn’t seem to be crucial to the real issue, whether the papacy was founded by Christ. Still, most anti-Catholic organizations take up the matter and go to considerable trouble to “prove” Peter could not have been in Rome. Why? Because they think they can get mileage out of it.

“Here’s a point on which we can point to the lies of Catholic claims,” they say. “Catholics trace the papacy to Peter, and they say he was martyred in Rome after heading the Church there. If we could show he never went to Rome, that would undermine—psychologically if not logically—their assertion that Peter was the first pope. If people conclude the Catholic Church is wrong on this historical point, they’ll conclude it’s wrong on the larger one, the supposed existence of the papacy.” Such is the reasoning of some leading anti-Catholics.


The Charges in Brief

The case is stated perhaps most succinctly, even if not so bluntly, by Loraine Boettner in his best-known book, Roman Catholicism (117): “The remarkable thing, however, about Peter’s alleged bishopric in Rome is that the New Testament has not one word to say about it. The word Rome occurs only nine times in the Bible [actually, ten times in the Old Testament and ten times in the New], and never is Peter mentioned in connection with it. There is no allusion to Rome in either of his epistles. Paul’s journey to the city is recorded in great detail (Acts 27 and 28). There is in fact no New Testament evidence, nor any historical proof of any kind, that Peter ever was in Rome. All rests on legend.”

Well, what about it? Admittedly, the Bible nowhere explicitly says Peter was in Rome; but, on the other hand, it doesn’t say he wasn’t. Just as the New Testament never says, “Peter then went to Rome,” it never says, “Peter did not go to Rome.” In fact, very little is said about where he, or any of the apostles other than Paul, went in the years after the Ascension. For the most part, we have to rely on books other than the New Testament for information about what happened to the apostles, Peter included, in later years. Boettner is wrong to dismiss these early historical documents as conveyors of mere “legend.” They are genuine historical evidence, as every professional historian recognizes.


What the Bible Says

Boettner is also wrong when he claims “there is no allusion to Rome in either of [Peter’s] epistles.” There is, in the greeting at the end of the first epistle: “The Church here in Babylon, united with you by God’s election, sends you her greeting, and so does my son, Mark” (1 Pet. 5:13, Knox). Babylon is a code-word for Rome. It is used that way multiple times in works like the Sibylline Oracles (5:159f), the Apocalypse of Baruch (2:1), and 4 Esdras (3:1). Eusebius Pamphilius, in The Chronicle, composed about A.D. 303, noted that “It is said that Peter’s first epistle, in which he makes mention of Mark, was composed at Rome itself; and that he himself indicates this, referring to the city figuratively as Babylon.”

Consider now the other New Testament citations: “Another angel, a second, followed, saying, ‘Fallen, fallen is Babylon the great, she who made all nations drink the wine of her impure passion’” (Rev. 14:8). “The great city was split into three parts, and the cities of the nations fell, and God remembered great Babylon, to make her drain the cup of the fury of his wrath” (Rev. 16:19). “[A]nd on her forehead was written a name of mystery: ‘Babylon the great, mother of harlots and of earth’s abominations’” (Rev. 17:5). “And he called out with a mighty voice, ‘Fallen, fallen is Babylon the great’” (Rev. 18:2). “[T]hey will stand far off, in fear of her torment, and say, ‘Alas! alas! thou great city, thou mighty city, Babylon! In one hour has thy judgment come’” (Rev. 18:10). “So shall Babylon the great city be thrown down with violence” (Rev. 18:21).

These references can’t be to the one-time capital of the Babylonian empire. That Babylon had been reduced to an inconsequential village by the march of years, military defeat, and political subjugation; it was no longer a “great city.” It played no important part in the recent history of the ancient world. From the New Testament perspective, the only candidates for the “great city” mentioned in Revelation are Rome and Jerusalem.

“But there is no good reason for saying that ‘Babylon’ means ‘Rome,’” insists Boettner. But there is, and the good reason is persecution. The authorities knew that Peter was a leader of the Church, and the Church, under Roman law, was considered organized atheism. (The worship of any gods other than the Roman was considered atheism.) Peter would do himself, not to mention those with him, no service by advertising his presence in the capital—after all, mail service from Rome was then even worse than it is today, and letters were routinely read by Roman officials. Peter was a wanted man, as were all Christian leaders. Why encourage a manhunt? We also know that the apostles sometimes referred to cities under symbolic names (cf. Rev. 11:8).

In any event, let us be generous and admit that it is easy for an opponent of Catholicism to think, in good faith, that Peter was never in Rome, at least if he bases his conclusion on the Bible alone. But restricting his inquiry to the Bible is something he should not do; external evidence has to be considered, too.



Early Christian Testimony


William A. Jurgens, in his three-volume set The Faith of the Early Fathers, a masterly compendium that cites at length everything from the Didache to John Damascene, includes thirty references to this question, divided, in the index, about evenly between the statements that “Peter came to Rome and died there” and that “Peter established his See at Rome and made the bishop of Rome his successor in the primacy.” A few examples must suffice, but they and other early references demonstrate that there can be no question that the universal—and very early—position (one hesitates to use the word “tradition,” since some people read that as “legend”) was that Peter certainly did end up in the capital of the Empire.



A Very Early Reference


Tertullian, in The Demurrer Against the Heretics (A.D. 200), noted of Rome, “How happy is that church . . . where Peter endured a passion like that of the Lord, where Paul was crowned in a death like John’s [referring to John the Baptist, both he and Paul being beheaded].” Fundamentalists admit Paul died in Rome, so the implication from Tertullian is that Peter also must have been there. It was commonly accepted, from the very first, that both Peter and Paul were martyred at Rome, probably in the Neronian persecution in the 60s.

In the same book, Tertullian wrote that “this is the way in which the apostolic churches transmit their lists: like the church of the Smyrnaeans, which records that Polycarp was placed there by John; like the church of the Romans, where Clement was ordained by Peter.” This Clement, known as Clement of Rome, later would be the fourth pope. (Note that Tertullian didn’t say Peter consecrated Clement as pope, which would have been impossible since a pope doesn’t consecrate his own successor; he merely ordained Clement as priest.) Clement wrote his Letter to the Corinthians perhaps before the year 70, just a few years after Peter and Paul were killed; in it he made reference to Peter ending his life where Paul ended his.

In his Letter to the Romans (A.D. 110), Ignatius of Antioch remarked that he could not command the Roman Christians the way Peter and Paul once did, such a comment making sense only if Peter had been a leader, if not the leader, of the church in Rome.

Irenaeus, in Against Heresies (A.D. 190), said that Matthew wrote his Gospel “while Peter and Paul were evangelizing in Rome and laying the foundation of the Church.” A few lines later he notes that Linus was named as Peter’s successor, that is, the second pope, and that next in line were Anacletus (also known as Cletus), and then Clement of Rome.

Clement of Alexandria wrote at the turn of the third century. A fragment of his work Sketches is preserved in Eusebius of Caesarea’s Ecclesiastical History, the first history of the Church. Clement wrote, “When Peter preached the word publicly at Rome, and declared the gospel by the Spirit, many who were present requested that Mark, who had been for a long time his follower and who remembered his sayings, should write down what had been proclaimed.”

Lactantius, in a treatise called The Death of the Persecutors, written around 318, noted that “When Nero was already reigning (Nero reigned from 54–68), Peter came to Rome, where, in virtue of the performance of certain miracles which he worked by that power of God which had been given to him, he converted many to righteousness and established a firm and steadfast temple to God.”

These citations could be multiplied. (Refer to Jurgens’ books or to the Catholic Answers tract Peter’s Roman Residency.) No ancient writer claimed Peter ended his life anywhere other than in Rome. On the question of Peter’s whereabouts they are in agreement, and their cumulative testimony carries enormous weight.



What Archaeology Proved


There is much archaeological evidence that Peter was at Rome, but Boettner, like other Fundamentalist apologists, must dismiss it, claiming that “exhaustive research by archaeologists has been made down through the centuries to find some inscription in the catacombs and other ruins of ancient places in Rome that would indicate Peter at least visited Rome. But the only things found which gave any promise at all were some bones of uncertain origin” (118).

Boettner saw Roman Catholicism through the presses in 1962. His original book and the revisions to it since then have failed to mention the results of the excavations under the high altar of St. Peter’s Basilica, excavations that had been underway for decades, but which were undertaken in earnest after World War II. What Boettner casually dismissed as “some bones of uncertain origin” were the contents of a tomb on Vatican Hill that was covered with early inscriptions attesting to the fact that Peter’s remains were inside.

After the original release of Boettner’s book, evidence had mounted to the point that Pope Paul VI was able to announce officially something that had been discussed in archaeological literature and religious publications for years: that the actual tomb of the first pope had been identified conclusively, that his remains were apparently present, and that in the vicinity of his tomb were inscriptions identifying the place as Peter’s burial site, meaning early Christians knew that the prince of the apostles was there. The story of how all this was determined, with scientific accuracy, is too long to recount here. It is discussed in detail in John Evangelist Walsh’s book, The Bones of St. Peter. It is enough to say that the historical and scientific evidence is such that no one willing to look at the facts objectively can doubt that Peter was in Rome. To deny that fact is to let prejudice override reason.


Copyright [emoji767] 1996-2017 Catholic Answers
Mkuu hii ni propaganda tu ya Wakatoliki katika kutetea maovu yao. Petro alipoandika kwenye Waraka wake wa kwanza kwamba yupo Babyloni hakumaanisha Roma kama ambavyo Wakatoliki wanatafsiri. Ukisoma Historia utaona kuwa Misri kulikuwa na mji uliokuwa unaitwa Babyloni na hapo ndipo Petro alipokuwepo. WARAKA WA KWANZA WA PETRO 5:13

Sasa kuthibitisha maelezo yangu na mimi nimekuwekea hapa chini maelezo yaliyoandikwa na mtafuta KWELI kama mimi. Hebu soma ujionee mwenyewe:-

Well, six years ago, while conducting some Biblical research for a new article which I was working on at the time, I made an interesting discovery which I found rather surprising. At the time, this discovery seemed to shed some light regarding the possible identity of Peter's Babylon. In fact, I became quite convinced that I had finally figured out from where the Apostle Peter had written his first Epistle. What my research revealed is that during the early part of the First Century, when Christ walked the Earth, and His Apostles were still alive, there existed another city named Babylon. It was located in the northeastern corner of Egypt, in the Nile Delta area. The Wikipedia website states the following about this ancient city:

----- Begin Quote -----

"Babylon . . . was a fortress city or castle in the Delta of Egypt. It was situated . . . upon the right (eastern) bank of the Nile . . . and near the commencement of the Pharaonic Canal (also called Ptolemy's Canal and Trajan's Canal), from the Nile to the Red Sea. It was the boundary town between Lower and Middle Egypt, where the river craft paid tolls when ascending or descending the Nile . . . Josephus, with greater probability, attributes its structure to some Babylonian followers of Cambyses, in 525 BC. In the age of Augustus, the Deltaic Babylon became a town of some importance, and was the headquarters of the three legions which ensured the obedience of Egypt."

However, my surprise did not end there. As I continued my research concerning this Babylon Fortress, I discovered that today it is known as Coptic Cairo, or Old Cairo, being as it is the oldest section of that ancient city. In fact, some of the ancient remains of the Roman fortress can still be seen there. But that is not all. As it turns out, it is commonly believed by the Coptic Christians of Egypt -- who are some of the oldest known Christians in the world -- as well as by other Christians, that Joseph, Mary and the baby Jesus spent some time in Babylon, Egypt, after Joseph was warned by God in a dream to flee to Egypt, in order to escape persecution from evil King Herod.

According to ancient tradition, Christianity was introduced to the Egyptians by Saint Mark in Alexandria, shortly after the ascension of Christ and during the reign of the Roman emperor Claudius around 42 AD. The legacy that Saint Mark left in Egypt was a considerable Christian community in Alexandria. From Alexandria, Christianity spread throughout Egypt within half a century of Saint Mark's arrival in Alexandria, as is clear from a fragment of the Gospel of John, written in Coptic, which was found in Upper Egypt and can be dated to the first half of the 2nd century, and the New Testament writings found in Oxyrhynchus, in Middle Egypt, which date around the year 200 AD. In the 2nd century, Christianity began to spread to the rural areas, and scriptures were translated into the local language, today known as the Coptic language (which was called the Egyptian language at the time). By the beginning of the 3rd century AD, Christians constituted the majority of Egypt's population, and the Church of Alexandria was recognized as one of Christendom's four Apostolic Sees, second in honor only to the Church of Rome. The Church of Alexandria is therefore the oldest church in Africa.

Saint Apostle Peter wrote his first epistle from Babylon (north of Old Cairo), when visiting Mark (1 Peter 5:13). When Mark returned to Alexandria, the pagans of the city resented his efforts to turn the Alexandrians away from the worship of their traditional Hellenistic gods. In AD 68 they placed a rope around his neck and dragged him through the streets until he was dead.
 
Acha ujinga kutafuta sifa za kipuuuzi dogo..unachokifanya apa kupinga hakikuongezi chkchote..ndezi kabisa
Yeye amesema Biblia imeandika kuwa Petro alikwenda Roma, sasa nataka anioneshe hiyo mistari inayosema kuwa Petro alifika Roma.

Pia nashukuru kwa kunitukana, ubarikiwe sana mkuu.
 
Mkuu Son of Gamba
Nimekupa ushauri, unaweza ukaupuuzia ukipenda lakini pia hutapungukiwa na kitu ukiufanyia kazi. Ni kwa nia njema kabisa.
Ushauri gani ulionipa mkuu ilogelo ? Unaweza ukarudia tena kuniambia huo ushauri wako.
 
Mkuu!
Hebu pitia post zako tangu ya kwanza, comments za wengine na response zako. Kuna kitu hakipo sawa ati.
Kitu gani hakipo sawa? Kila mtu namjibu kama anavyouliza swali lake. Niambie wapi hapako sawa.
 
Aaah! Kumbe na wewe ni mdhambi kiasi cha kufichama! Basi kalale, samahani nilipotea njia.
Usingizi mwema.
Hakuna asiyekuwa na dhambi mkuu. Imeandikwa, "tukisema hatuna dhambi tunajidanganya nafsi zetu wenyewe. Tukiziungama dhambi zetu Yeye ni mwenye haki hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote, na tukisema hatujawahi kutenda dhambi tunamfanya Yeye mwongo wala neno lake halimo kwetu". WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 1:8-10
 
Wakristo,waislamu,wayahudi,hatuna sababu ya kugombea fito ilhali hii dunia inatakiwa tuijenge wote iwe sehemu ya amani.
 
Ka Sabato katoto Ellen G. White!! Ni wapi kanisa Katoliki linasema wakati wa akina Petro makazi ya Papa yalikuwa Roma? Ni kitabu gani ambacho Wakatoliki wanasema Petro alifia Roma? Hebu wacha umazwazwa wa Kisabato wewe! Kwanza kesho nakualika uje tupige kitimoto hapa kwa Masawe!!
 
Ka Sabato katoto Ellen G. White!! Ni wapi kanisa Katoliki linasema wakati wa akina Petro makazi ya Papa yalikuwa Roma? Ni kitabu gani ambacho Wakatoliki wanasema Petro alifia Roma? Hebu wacha umazwazwa wa Kisabato wewe! Kwanza kesho nakualika uje tupige kitimoto hapa kwa Masawe!!
Tafuta barua zilizoandikwa na Gaius ambazo Kanisa Katoliki wanazo. Pia tafuta The Apocryphal of Peter au The Acts of Peter, hapo ndiyo utajua namaanisha nini mkuu.
 
Wakristo,waislamu,wayahudi,hatuna sababu ya kugombea fito ilhali hii dunia inatakiwa tuijenge wote iwe sehemu ya amani.
Dunia haiwezi kuwa sehemu ya amani kamwe mpaka siku ile atakapokuja tena YESU KRISTO na kuuleta Ufalme wa MUNGU. Amani ya kweli itakuwepo kwenye Ufalme wa MUNGU tu basi.
 
Nyie wasabat kila kukicha ni kupingana na waroma na sio kupingana na mwovu shetani.
Nenda ukale makande kwa mama lishe hapo karibu nitakuja kulipa.
Sabato njema!!!!!
Religions make people dull
 
Suala la Kafa wapi au kazikwa wapi kwa sasa sio issue. Inshu ni je una uwezo wa kukutana na Yesu pndi arudipo mara ya pili kama huyo Petro?
Mimi naamini kabisa siku BWANA YESU atakapokuja, kama nitakuwa nimekufa, atanifufua na nitakuwa naye katika Ufalme wake.
 
Kanisa linapowafundisha waumini uwongo kuwa Petro alizikwa Roma na alikuwa Papa wao wa kwanza wakati siyo kweli wewe unaona ni sawa tu?
Kanisa Katoliki linafundisha uongo mwingi sana, achilia mbali hiyo habari ya Petro, kuna mafundisho mengi sana ya uwongo ambayo yanawapoteza watu. Nimeahidi kuorodhesha UWONGO wote wa Kanisa hili hapa hapa JF, ili wale wanaotaka kuijua KWELI, basi waijue na wajiepushe na udanganyifu.
Son of Gamba wewe ni "Mpumbavu" nitafunga na kuomba ajili yako.
 
Son of Gamba wewe ni "Mpumbavu" nitafunga na kuomba ajili yako.
Asante mkuu, hata Baali alitishia kuwalaani wana wa Israeli na hakufanikiwa. Mimi nakuambia hivi funga kabisa tena funga hata siku 400 na siyo 40. Mimi nitasimama katika KWELI na kamwe sitaogopa chochote kile.
 
Son of Gamba wewe ni "Mpumbavu"
Asante mkuu, hata Baali alitishia kuwalaani wana wa Israeli na hakufanikiwa. Mimi nakuambia hivi funga kabisa tena funga ama katika KWELI na kamwe sitaogte kile.
"Mpumbavu"
 
Kanisa Katoliki lina waumini takribani bilioni mbili kwa sasa. Hii ni idadi ya wale wanaoshi achilia mbali wale waliokwisha kufa miaka kama 2000 iliyopita.

Ikiwa Kanisa Katoliki la idadi hiyo ya waumini ni la Kishetani ina maana Mungu hana nguvu na uweza dhidi ya shetani kiasi kwamba Mungu anaangalia tu watu wote hao ambao ni mali yake watapeliwe na shetani?
NJIA YA UPOTEVUNI NI PANA NA WAIONAO NI WENGI,

MUNGU SIO WA DEMOKRASIA

amewahi kuokoa watu 8 kati ya watu bilion 8
 
Son of Gamba wewe ni "Mpumbavu""Mpumbavu"

NASB_Matthew_5-22.jpg
 
Kwa zaidi ya maika 2000 watu wamekuwa wakiaminishwa kuwa Mtume Petro aliuwawa Roma na kuzikwa huko kwenye eneo lililojulikana kama tropaion. Tena imekuwa ikifundishwa na Kanisa Katoliki kuwa Petro ndiye alikuwa Papa wa kwanza lakini ukweli ni kwamba katika maisha yake yote Petro hakuwahi kabisa kuwa Papa achilia mbali kufika tu ROMA. Maisha yake yote Petro au Kefa kama wengine wanavyomwita hakuwahi kabisa kukanyaga ardhi ya Roma.

Mwaka 1958 huko Jerusalemu katika eneo lijulikanalo kama "Dominus Flevit" kwenye mlima wa Mizeituni ambapo kwa sasa hivi pamejengwa kanisa linaloitwa Franciscan Monastery yalichimbuliwa mabaki ya mifupa yaliyokuwa ndani ya boksi(ossuaries)na juu ya boksi hili kulikuwa na maandishi yaliyoandikwa kwa lugha ya Aramaic yakisomeka "Simon Bar Jona". Eneo ilipopatikana mifupa hiyo pia ilipatikana mifupa ya watu wengine ikiwa imehifadhiwa ndani ya maboksi hayo na juu yake yakiwa yameandikwa majina yao. Majina hayo ni pamoja na Mariam, Martha na Lazaro. Inaaminika kuwa Wakristo wa Mwanzo kabisa baada ya kupaa kwa MESSIAH kwenda mbinguni, walichagua kuzikana eneo hilo la Mlima wa Mizeituni, kwasababu imeandikwa kwenye Biblia kuwa siku MESSIAH atakaporudi tena duniani atasimama juu ya Mlima huo, soma ZEKARIA 14:3-4. Kutokana na imani waliyokuwa nayo, Wakristo hao waliamini kuwa itakuwa vema kama watazikwa eneo hilo ili siku ile BWANA YESU atakapokuja na kuwafufua, wawe wa kwanza kumlaki BWANA kwenye Mlima huo wa Mizeituni.


Franciscan "Terra Santa" Monastery, Jerusalem, mahali ambapo mifupa ya Petro ilipopatikana.
View attachment 669269
Mifupa hiyo inayoaminika kuwa ni ya Petro, ilichimbuliwa na Archeologist wa Kiitaliano ambaye alikuwa ni Priest wa Kikatoliki akijulikana kama P.B. Bagatti. Baada ya kuichimbua mifupa hii na kujiridhisha yeye na wenzake aliokuwa nao, Bagatti alikwenda Vatican na kumjulisha Papa wa wakati ule aliyekuwa akiitwa Pius XII. Papa Pius XII alopoambiwa habari hizo na kuoneshwa ushahidi wote, alijibu tu kwa kusema; “inawezekana ikawa kweli hiyo ni mifupa ya PETRO, na inabidi tufanye marekebisho makubwa, lakini kwa sasa hivi kaeni kimya kabisa”. Bagatti akamuuliza Papa Pius XII, Je, unaamini itakuwa ni mabaki ya Petro? Papa Pius XII akamjibu kwa kusema; “kwa ushahidi ulionionesha, naamini itakuwa ni mifupa ya Petro”.

Cha ajabu ni kwamba mpaka Papa Pius XII anafariki dunia Octoba 9, 1958 hakuweka hadharani kabisa uvumbuzi huo uliofanywa na Archeologist Bagatti. Mwaka huo huo Bagatti ndipo akaamua kuandika kitabu akielezea kupatikana kwa mifupa ya Petro huko Jerusalem, kitabu hicho kinachoitwa, "Gli Scavi del Dominus Flevit", kilichochapishwa mwaka 1958. Kitabu hichi kiliandikwa na P. B. Bagatti akishirikiana na Archeologist mwenzake J. T. Milik, ambao wote walikuwa pia ni Ma-Priest wa Kanisa Katoliki. Bagatti anaonekana kuficha baadhi ya mambo na haelezei kwa undani hasa nini kilifanyika. Hii inadhihirisha wazi kabisa kuwa walifungwa mdomo na Kanisa Katoliki ili wasiweke kila kitu hadharani kwani kama wangefanya hivyo ingekuwa ni sawa na kulivua nguo kanisa, kwani kwa miaka yote kanisa Katoliki limekuwa likifundisha kuwa Petro aliishi Roma kwa miaka 24 na kuuawa na kuzikwa huko.
View attachment 669271
View attachment 669272
Maneno hayo hapo juu yanasomeka "Simoni Bar Yona"​

Ushahidi mwingine unaoonesha wazi kabisa kuwa Petro hakuwahi kabisa kufika Roma, ni Biblia. Mtume Paulo katika Waraka zake zote hakuna mahali ameandika kuwa Petro alikwenda Roma na kuishi huko. Paulo alikuwa ni mtu anayependa sana kuandika kila kitu anachokutana nacho. Isingewezekana kabisa Petro ahamie Roma na kuishi huko kwa miaka 24 halafu Paulo asiandike, achilia mbali Petro mwenyewe asiandike kabisa Waraka wowote ule akielezea maisha yake akiwa Roma. Haiingii akilini hata kidogo mtu kama Petro eti akaishi mahali kwa miaka 24 akihubiri Injili, halafu jambo hilo lisiwemo kabisa ndani ya Biblia.

Isitoshe ukisoma Biblia utaona Paulo anaelezea wazi kabisa kuwa Petro alikuwa ni Mtume kwa ajili ya Wayahudi, soma WAGALATIA 2:7-8. Pia tukisoma Biblia tunaona BWANA anamtokea Anania kwenye maono na kumwambia aende akaonane na Sauli(Paulo), sababu yeye BWANA amemchagua SAULI(PAULO)kuwa Mtume wa Mataifa, soma MATENDO YA MITUME 9:10-15. Pia ukisoma Waraka wote wa Petro hakuna mahali popote Petro ameandika kuwa yupo Roma.

Kutokana na yote hayo na ushahidi wa mifupa iliyopatikana Jerusalem, ni kielelezo tosha kuwa Roman Catholic Church wanafundisha “uwongo” na wanafanya kila wawezalo kuuficha UKWELI. Kanisa hili limejaa mafundisho ya uwongo na kwa miaka mingi sana limewapotosha watu wengi sana. Kanisa hili lina intelijesia kali sana kiasi kwamba wanaweza kuficha habari yoyote ile isiwafikie watu, lakini kamwe hawawezi kushindana na MUNGU hasa pale anapoamua UKWELI lazima ujulikane.

Tokea mwaka 1958 ilipogundulika mifupa hii ya PETRO huko Jerusalem, Kanisa Katoliki limekuwa likificha uvumbuzi huu kwa kila namna. Eneo ambapo ilipatikana mifupa hii linamilikiwa na Kanisa hilo hivyo imekuwa rahisi wao kuuficha ukweli lakini pia ndani ya kanisa wapo baadhi ya Ma-Priest ambao huwa hawawezi kukaa kimya na wamekuwa wakivujisha siri hizi.
Soma the lost tomb of jesus
 
Back
Top Bottom