Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

Watz tunapenda kujikweza sanaaaa Kama ujui Hilo broo yan ukimuuliza uyo mtu kwann umevaa hii kitu na sio ya tz atakwambia kali kuliko ya tz wakat sio kweli
 
Huku mtaani vijana wengi saana na wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za Kenya na UG kuliko za TZ.

Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?

Wamekosa uzalendo au?

Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu

View attachment 1651615
View attachment 1651605
View attachment 1651614
View attachment 1652306
Unajua sheria hairuhusu kutumia vya Tz?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kipindi kile tuna beef na Rwanda, serikali ikawa inakamata wahamiaji na kuwarudisha kwao.

Ukiwaambia kwenu USA 🤣 kukurudisha hawataki.
mambo ya kuchangulia pa kupelekwa wanaanzaje?
 
Back
Top Bottom