Uchaguzi 2020 Kachero Mbobevu Bernard Membe atua nchini, adai ukata umepelekea kusuasua kwa Kampeni za Vyama vya Upinzani nchini

Uchaguzi 2020 Kachero Mbobevu Bernard Membe atua nchini, adai ukata umepelekea kusuasua kwa Kampeni za Vyama vya Upinzani nchini

Sisi cdm kukichangia chama chetu hiyo imekuwa ni moja ya wajibu wetu.

Hao ACT nao wana chama wao, waanze kukichangia chama chao maana hakuna short cut.
Wajinga ndio waliwao michango ya saccos haimuachi mtu salama
 
Ok kachero mbobezi BKM tunajua upo kazini na payslip inasoma km kawaidaaaa.

Watz sio wajinga
Inasemekana waliomlipa ndo hao hao waliomlipa mgombea wa CHADOMO...walipaji wame bet kote kote (kikishindwa CHADOMO wanakua na mbadala)
 
Mlipo wafunga viongozi wetu tulichanga sh 350m na leo hii wapo uraiani wanaipa kichapo ccm
Tatizo washakujueni mazuzu wanafanya kitu kwa kujua ili wapate huruma ya watu na michango ya bendera fuata upepo
 
Tatizo washakujueni mazuzu wanafanya kitu kwa kujua ili wapate huruma ya watu na michango ya bendera fuata upepo
Sawa tukiwa mazuzu kwa ajili ya cdm wewe inakuumiza kitu gani? Tuliza kidonda kipone
Screenshot_20200912-222712.jpg
 
Miaka mitano yote hawakujiandaa financially hawakujua kuwa Kuna uchaguzi after five years?utetezi wa kitoto
 
CCM huyo bado ni mwenzenu. tafadhalini msimpige madongo yupo ACT Wazalendo kwa kazi maalum.

Bado ni mtumishi mtiifu wa Kitengo.
 
Miaka mitao yote hawakujiandaa financially hawakujua kuwa Kuna uchaguzi after five years?utetezi wa kitoto


Vyama vya siasa vinafanya biashara gani? CCM walipora Mali za serikali,wanapata ruzuku kubwa,wanawakamua wafanyabiashara kwa nguvu ya dola.
 
Vyama vya siasa vinafanya biashara gani? CCM walipora Mali za serikali,wanapata ruzuku kubwa,wanawakamua wafanyabiashara kwa nguvu ya dola.
Chadema mfano imepata ruzuku mabilioni na michango ya kila mwezi ya wabunge madiwani ilipeleka wapi? Haikujua kuna uchaguzi ?
 
Chadema mfano imepata ruzuku mabilioni na michango ya kila mwezi ya wabunge madiwani ilipeleka wapi? Haikujua kuna uchaguzi ?

Kwani Membe ni CHADEMA? CHADEMA wanaendelea na kampeni kwa speed huku Lissu akimtandika spanner Magufuli, hiyo michango hao CHADEMA wanajazia tu kwenye kapu lao kama CCM wanavyowakamua wafanyabiashara kujazia kapu lao tens mwaka huu wamewakamua watumishi was umma kupitia form za kuomba kuteuliwa na CCM.
 
BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, mazingira magumu ya Siasa kwa sasa, yamesababisha marafiki na wafanyabiashara kushindwa kuwasaidia. Na kwamba, kusuasua kwa kampeni hasa vyama vya upinzani nchini, kunatokana na ukweli kwamba, wagombea wengi wana ukata kwani hawana msaada tofauti na chaguzi zilizopita...
Typical of Membe! Hakuna mpangilio wa maneno. Hakuna maneno yenye mvuto. Hakuna muelekeo wa kiongozi.
Hapo ACT ipate kura ya nani? Anayewapa kura ni Maalim kule Z'bar, basi!
 
Chadema mfano imepata ruzuku mabilioni na michango ya kila mwezi ya wabunge madiwani ilipeleka wapi? Haikujua kuna uchaguzi ?
CHADEMA wanakaa kulia lia tu na hawako tayari kuhoji wizi ndani ya chama. Walisema wamezuiwa kuendesha shughuli za kisiasa, sawa! Sasa pesa za ruzuku zimetumika kulipia nini kwa miaka 5? Ni chama cha kishenzi tu! Hiki chama lazima kife kwa kukosa manufaa kwa wa-TZ.

Tulitaka chama kinacholeta amsha amsha kwa CCM washike adabu lakini kama ni wizi na upuuzi wa kiwango hicho, ndo maana maprofesa wote waliodhani wangewasaidia, walijiondoa kimya kimya! Sasa wamebaki ni kundi la form 6.
 
CHADEMA wanakaa kulia lia tu na hawako tayari kuhoji wizi ndani ya chama. Walisema wamezuiwa kuendesha shughuli za kisiasa, sawa! Sasa pesa za ruzuku zimetumika kulipia nini kwa miaka 5? Ni chama cha kishenzi tu! Hiki chama lazima kife kwa kukosa manufaa kwa Watanzania.

Tulitaka chama kinacholeta amsha amsha kwa CCM washike adabu lakini kama ni wizi na upuuzi wa kiwango hicho, ndo maana maprofesa wote waliodhani wangewasaidia, walijiondoa kimya kimya! Sasa wamebaki ni kundi la form 6.
Wanalia wakati maccm ndiyo mnapiga kelele hata jana mmelia kweli kwenu kule
 
Kwakuwa cdm ni mipango ya Mungu ndiyo maana haya yanatokea, na bado hata siku mh Lissu anatangazwa kuwa rais wa to Tanzania bado utashangaa sana.
Labda Tanzania ya ubeligiji
 
Huyu jamaa haihitaji hata akili kubwa kujua ameenda upinzani kuchanganya tu watu. Mbinu wanazotumia kumtumia ziko very sophisticated ila sidhani kama zinawasaidia sana.
 
Back
Top Bottom