una mawazo finyu sana and most likely wewe ni CCMKwa kinywa chake, nazid kumshusha thamani siku had siku. Bora angekua anakaa kimya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una mawazo finyu sana and most likely wewe ni CCMKwa kinywa chake, nazid kumshusha thamani siku had siku. Bora angekua anakaa kimya...
Zawadi kwa Wabeligiji......wampe nchi yao awaongozee ila sio Tanzania tena apewe nchi kizembe tu kwa vikaratasi vinavyopigwa tick....bado saana hamna rangi ataacha ona mwaka huuNakuona kama wewe ni mgeni wa mh Lissu, huyo ndiye mwamba wa mambo ya kisheria hababaishwi na lolote kinalo andaliwa juu yake na maccm.
Lissu ni mpango au zawadi ya kutoka kwa Mungu ili aje kuwakomboa watanzania.
Na Airport ambazo vibaraka wa haohao mabeberu wanakuja kutumiaKama mnavyo pitisha bakuli kwa mabeberu ili wawajazie muweze kujenga madaraja
Una uhakika?Kama mnavyo pitisha bakuli kwa mabeberu ili wawajazie muweze kujenga madaraja
NAOMBA WAANDAE NA NDOO NYEUPE KAMA ZILE ZA CHADEMA.
Just opinions mkuu.U r free to thnk in whatever dimension.una mawazo finyu sana and most likely wewe ni CCM
Katumwa vipi wakati mmemchukua wenyewe?Wadanganye wajinga,we umetumwa kudhoofisha ACT
Naona umeamua kuwaumbua maccm wenzako kuwa mtaiba kuraZawadi kwa Wabeligiji......wampe nchi yao awaongozee ila sio Tanzania tena apewe nchi kizembe tu kwa vikaratasi vinavyopigwa tick....bado saana hamna rangi ataacha ona mwaka huu
Airport alizijenga mkoloni sasa hivi mnafanya marudioNa Airport ambazo vibaraka wa haohao mabeberu wanakuja kutumia
Wewe hujui au?Una uhakika?
Na kafanikiwa kwa 💯Wadanganye wajinga,we umetumwa kudhoofisha ACT
Ndo nahitaji unijuze kwa evidenceWewe hujui au?
Kabisaa bora angesimama Zitto mwenyewe mara miaNa kafanikiwa kwa 💯
Kafanya vzr maana sasa ni Chadema tu wanatamba huku Bara kule Zenji ACT wako vzr.Na kafanikiwa kwa [emoji817]
Yaani wapinzani sijui huwa wanawaamini vipi CCM...wanapoteza kidogo tu wanajaaKabisaa bora angesimama Zitto mwenyewe mara mia
Ili iweje?Ndo nahitaji unijuze kwa evidence