Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Vipi kuhusu evidence?Ahya kanawe miguu ulale sasa usiku umeingia kusudi kesho uwahi shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu evidence?Ahya kanawe miguu ulale sasa usiku umeingia kusudi kesho uwahi shule
Huyu jamaa ni shushu wa CCM tuu, hata hiyo kamati ya siri anataka kupeleka siri CCMKwenye hiyo Kamati ya siri, yeye Membe mwenyewe asiwemo.
AswaaaaaKwenye hiyo Kamati ya siri, yeye Membe mwenyewe asiwemo.
Halafu unapotamka "tuunde kamati ya siri" hadharani, lazima ujue kuwa haitakuwa kamati ya siri. Tayari washindani watajua kuna kitu kinapikwa hivyo lazima wataongeza umakini na kukufuatilia. "Siri" ni jambo lisilojulikana hadharani na ni makubaliano yanayohusisha pande zinazofanya kazi pamoja. Taarifa ikishasambaa, sio siri tena.
Hili jamaa ni shushu la ccm tuu, hata hiyo kamati ya siri linataka kupereka siri ccm
Jasusi mbobezi anatoa mipango ya SIRI iwe SIRIKwenye hiyo Kamati ya siri, yeye Membe mwenyewe asiwemo.
Suala siyo wapinzani tena, hawa wanatafuta kushika serikali. Sisi wapiga kura tunataka ubora siyo ushabiki kama huu wa kwako. Ukiulizwa ubora wa unayemshabikia huujui, wewe mwenyewe hujijui!Mbona unaweweseka sana juu ya wapinzani?
Wewe ni CHADEMA? Kila kitu munaomba michango majukwaani bila hata sababu! Matumizi ya pesa Mbowe hataki kuhojiwa. Hiyo ndo ajira yenu?Wanalia wakati maccm ndiyo mnapiga kelele hata jana mmelia kweli kwenu kule
Haikuhusu, pesa tunachanga sisi wana cdm, hutaki kanywe sumu na sisi tutaendelea kuichangia cdm yetuWewe ni CHADEMA? Kila kitu munaomba michango majukwaani bila hata sababu! Matumizi ya pesa Mbowe hataki kuhojiwa. Hiyo ndo ajira yenu?
Hapo wewe kwa sasa hauna option zaidi ya kukubali kuongozwa na serikali ya cdm chini ya rais mtarajiwa mh LissuSuala siyo wapinzani tena, hawa wanatafuta kushika serikali. Sisi wapiga kura tunataka ubora siyo ushabiki kama huu wa kwako. Ukiulizwa ubora wa unayemshabikia huujui, wewe mwenyewe hujijui!
Hakuomba fedha za walipa kodi bali alitumia fedha zinazo tokana na jasho lake,Kwan hawezi kutibiwa mwananyamala au muhimbili?
Wacha kuweweseka dogo, tulia sindano ikuingie vyema maungoni mwako ili upone kichaaWewe ni CHADEMA? Kila kitu munaomba michango majukwaani bila hata sababu! Matumizi ya pesa Mbowe hataki kuhojiwa. Hiyo ndo ajira yenu?
Kuna zile hela zilizuiwa kwenye kituo kimoja cha haki za binadamu sijui zilitoka kwa nani?Kwa kinywa chake, nazidi kumshusha thamani siku hadi siku. Bora angekua anakaa kimya.
1. Ufadhili wa wafanya biashara
Kwani ikulu kuna biashara gan ambayo itamuwezesha kulipa fadhila.kumbuka wafanya biashara hawana pesa za kuchezea hovyo !!anachotoa jua utakirudisha tu...
Wagombea wenu huku site wana njaa kali balaa. Mpaka sasa hivi hata kampeni bado hawajazinduaHaikuhusu, pesa tunachanga sisi wana cdm, hutaki kanywe sumu na sisi tutaendelea kuichangia cdm yetu
Utakuwa unaumwa kiungulia cha ubongoWagombea wenu huku site wana njaa kali balaa. Mpaka sasa hivi hata kampeni bado hawajazindua