Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Nenda nchi za Horn of Africa, sio unasema tu na hujatembeaMuafrika habusu mtu wa jinsia moja .ni itamadunisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda nchi za Horn of Africa, sio unasema tu na hujatembeaMuafrika habusu mtu wa jinsia moja .ni itamadunisho
Ukristo siyo dini.
Kwani Aya maswala ya kuondoa watem kuliletwa na kina nani maana history ilikua wageni lazima waheshim wenyeji lakini sasa tuna baguliwa huu sio uungwana ata kusali kwenyew naona niseme na Mungu ata nikiwa chumbani mbn freshKWAKWELI, ... SIKU NYINGI SIJASHUHUDIA WANAWALI WAZURI WAKIZIKWA NA MTEMI!
😅
Kwahiyo laana inatutafunaUnajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Afrika kwa ujumla akili zetu ni za kishenzi shenzi atujajiua kua nini tunaitajiKwahiyo laana inatutafuna
Kissing my wife?? Ofcourse I do, I can do it hundreds of times.Huwa unabusu mkeo hadharan nje ya siku ya ndoa??Zaman ilikuwa na bikra inatolewa hadharan
Hata kuandika na kuwasiliana kwa teknolojia tumeiga sijui tungefanyaje ila tuna nafasi ya kujiondoaAfrika kwa ujumla akili zetu ni za kishenzi shenzi atujajiua kua nini tunaitaji
Vibaya mnoKwahiyo laana inatutafuna
Ni shule, hospitali, maendeleo na makanisaUkristo siyo dini.
kanisa moja takatifu la mitume ambalo viongozi wake wanalawiti watoto wadogo.Kuhusu ubaguzi huo ni mtazamo wako, usitake kuwaaminisha wengine, tangu lini watu weusi tukasalimiana kwa kupigana mambusu?, huo ni utamaduni wa wazungu, na sisi utamaduni wetu ni kusalimiana kwa kushikana mikono kama walivyofanya hapo.
Hahahahahahahahahaha the angel has fallenKama ni kihistoria na kiutamaduni, basi Siyo tu kubusu mtu wa Jinsia moja bali hata kissing mwanamke hadharani si kati utamaduni wa kawaida au maarufu miongoni mwa tamaduni nyingi za kiafrika, South Sudan ni kawaida.
By the way, kama tamaduni ni hizi utaanzia wapi kupata idea au mizuka ya ku kiss
View attachment 2774071View attachment 2774072View attachment 2774073View attachment 2774074
wafia dini wafia dini, kanisa moja takatifu la mitume, hahahaaaSijaona ubaguzi hapo, hizo salamu za kukumbatiana sio asili yetu
unawatetea walawiti wa watoto wadogo?Waafrika na kupigana mabusu midume wapi na wapi mkuu itakua mwamba aligomea wewe tu umetafsiri vibaya
GayKissing my wife?? Ofcourse I do, I can do it hundreds of times.
Ila hiyo ya kumtoa msichana bikra huku watu wanashuhudia kamwe nisingeifanya hata kwa kuwekewa dawa.
Nani anataka habari za kujifanya ni Spartacus.
How is that related? Au ulikua na kiu ya kulitamka ili siku yako iendw vyema?
Wameshikana mikono na story wamepigaKwanini hajàpewa salamu kama wenzake?
Hizo zote ni biashara.Ni shule, hospitali, maendeleo na makanisa
Ostadhat huna binti nije kuchumbia?Hizo zote ni biashara.