Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

KWAKWELI, ... SIKU NYINGI SIJASHUHUDIA WANAWALI WAZURI WAKIZIKWA NA MTEMI!
😅
Kwani Aya maswala ya kuondoa watem kuliletwa na kina nani maana history ilikua wageni lazima waheshim wenyeji lakini sasa tuna baguliwa huu sio uungwana ata kusali kwenyew naona niseme na Mungu ata nikiwa chumbani mbn fresh
 
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwahiyo laana inatutafuna
 
Huwa unabusu mkeo hadharan nje ya siku ya ndoa??Zaman ilikuwa na bikra inatolewa hadharan
Kissing my wife?? Ofcourse I do, I can do it hundreds of times.
Ila hiyo ya kumtoa msichana bikra huku watu wanashuhudia kamwe nisingeifanya hata kwa kuwekewa dawa.
Nani anataka habari za kujifanya ni Spartacus.
 
Kuhusu ubaguzi huo ni mtazamo wako, usitake kuwaaminisha wengine, tangu lini watu weusi tukasalimiana kwa kupigana mambusu?, huo ni utamaduni wa wazungu, na sisi utamaduni wetu ni kusalimiana kwa kushikana mikono kama walivyofanya hapo.
kanisa moja takatifu la mitume ambalo viongozi wake wanalawiti watoto wadogo.
 
Waafrika na kupigana mabusu midume wapi na wapi mkuu itakua mwamba aligomea wewe tu umetafsiri vibaya
 
Kissing my wife?? Ofcourse I do, I can do it hundreds of times.
Ila hiyo ya kumtoa msichana bikra huku watu wanashuhudia kamwe nisingeifanya hata kwa kuwekewa dawa.
Nani anataka habari za kujifanya ni Spartacus.
Gay
 
Back
Top Bottom