Huo labda ni ukristo, Uislam upo kwa ajili ya Ulimwengu mzima: Tafadhali jisomee:Waafrika tujitafute, Ukristo na Uislamu si kwa ajili ya mtu mweusi
Ukristo na Uislam haviko kwa ajilibya mtu mweusi. Uislam ulibuniwa na Wazungu kwa ajili ya Waarabu. Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi. Mtu...www.jamiiforums.com
Hujui kusoma? Nimesema kama ina faida. Kuua Albino kuna faida gani?'Cha kwenu' kuamini kuwa kuzaa mapacha au walemavu ni laana na hivyo inabidi wauawe? Au kuamini viungo vya maalbino au ngozi ya ubara kutoka kwenye kichwa cha mtu mwenye upara ni utajiri? Au ukimpiga mtu nondo na kuipeleka kwa mganga hiyo nondo utakuwa tajiri?
Kuna mambo tukiyaongea kiwepesi tutaishia kui mislead jamii.
Unamaanisha kusujudu? Sisi tunamuiga Yesu kusujudu. Au hujaisoma biblia?Sawa!! Kubong'oa ndio dini
Naam, hujakosea, watu na majinni wote wanatakiwa wawe Waislam.Uislam ni Dini ya Majini
Hayo ndiyo mafundisho ya ukristo?Lakini wa Kristo ndio tunaongoza kukusaula ushungi na kukuvua chupi
Tatizo ni Shobo zetu. Tuachane na hizi mila za weupe tufuate mila zetu weusi. Makanisa na misikiti yao tuvunje tujenge sehemu zetu za kuabudia. Laa sivyo kizazi chetu kitaangamia milele.KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Acha Shobo wewe mmatumbi na nywele zako za kipilipili, fuata tamaduni zako. Uislam ni tamaduni za kishenzi za waarabu.Huo labda ni ukristo, Uislam upo kwa ajili ya Ulimwengu mzima: Yafadhali jisomee:
Jinsi unavyoandika unaonesha upeo wako ulipoishia, kuwa Muislam ujifundishe maadili.Acha Shobo wewe mmatumbi na nywele zako za kipilipili, fuata tamaduni zako. Uislam ni tamaduni za kishenzi za waarabu.
Halafu nyie mliokazania turudi kwenye dini zetu,sijui asili zetu rudini wenyewe!mi naenda na mzungu,huu ni u hamnazo!Kama ni kihistoria na kiutamaduni, basi Siyo tu kubusu mtu wa Jinsia moja bali hata kissing mwanamke hadharani si kati utamaduni wa kawaida au maarufu miongoni mwa tamaduni nyingi za kiafrika, South Sudan ni kawaida.
By the way, kama tamaduni ni hizi utaanzia wapi kupata idea au mizuka ya ku kiss
View attachment 2774071View attachment 2774072View attachment 2774073View attachment 2774074
Bila dini sidhani kama tungekuwa kama tulivyo, msione tumeishaelevuka hali ilikuwa mbaya sana na dini imesaidia sana katika kuweka ulimwengu sawa, elewa kuwa hizi serikali unazoziona duniani kote zimetokana na miongozo ya dini, serikali imekuwa ya kucopy na kupest.Hayo madini ndio yamefanya waafrika tukawa watumwa wakifkra na kuishi kama mashetani.
Wasioenda shule kama wewe wamekalia eti ubaguzi, walioenda shule kama akina Obama wanakuwa marais wa hao wanaodaiwa wabaguzi, ukifeli darasani siku zote utajiona unabaguliwa.KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Ubaguzi ni nini ndugu msomi, classmate wa Obama, Hismastersvoice ?Wasioenda shule kama wewe wamekalia eti ubaguzi, walioenda shule kama akina Obama wanakuwa marais wa hao wanaodaiwa wabaguzi, ukifeli darasani siku zote utajiona unabaguliwa.
Kuna nchi nyingi tu hazina diniBila dini sidhani kama tungekuwa kama tulivyo, msione tumeishaelevuka hali ilikuwa mbaya sana na dini imesaidia sana katika kuweka ulimwengu sawa, elewa kuwa hizi serikali unazoziona duniani kote zimetokana na miongozo ya dini, serikali imekuwa ya kucopy na kupest.
Hata uislam siyo diniUkristo siyo dini.
Uislam uko kwa ajili ya WaarabuHuo labda ni ukristo, Uislam upo kwa ajili ya Ulimwengu mzima: Tafadhali jisomee:
Manina weeUkristo siyo dini.
Sio kweli, Kawa sababu sio utamaduni wa waafrika kukumbatiana hasa baina ya wanaume. Ukiwa makini utaona ndiye aliyeongea naye muda mrefu. Tusipotoshe pasipo stahili.KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭