Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
hayo madharau ndo yaliyoleta huu msiba mkubwa kwa taifa hiliKarnali Pengo na Mama Janeth hawajavaa barakoa sababu wanamwamini Mungu wao sana hao wengine wapagani wamevaa barakoa sababu hawana imani na Mungu wao