Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Tanga ndugu je hakuna ili wagawane nguo bwasheeWakristo hawanaga 40!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanga ndugu je hakuna ili wagawane nguo bwasheeWakristo hawanaga 40!
Twiga walivyo na roho za mabeberu, wakaenda zao ukimbizini Rwanda...Wakafungwa Macho eti wasirudi
Wana 30?Wakristo hawanaga 40!
Nguo hupelekwa kanisani kusaidia watu wenye uhitaji bwashee!Tanga ndugu je hakuna ili wagawane nguo bwashee
30 ya nini bwashee?!Wana 30?
Mambo ya Imani hayoSasa hilo Sanamu la kazi gani?
Mbowe amepata chanjo ya corona.
Je nyumbu wake je?
Hiyo sanamu hapo iko wapiKadinali leo amemtembelea Mama Janeth Magufuli na kumzawadia Sanamu ya Bikira Maria Mtakatifu
View attachment 1765445
View attachment 1765446
View attachment 1765447
View attachment 1765448
Vibaya mno kama mke wa azory gwanda anavyoumia mpaka leo hiiDa bado napata simanzi kusema ukweli
Treat ya twiga leo kwenye 40 ni mchichaHivi huyu Pengo hajapeleka sanamu kwa wale twiga mwendazake aliwapandisha pickup...
Ilo sanamu limeshushwa toka mbinguni au limetengenezwa na watu ,aisee Dini hizi, yaan kinyago cha mpingo kinaabudiwa wakati Wala "hakisemi, Wala "hakina hisia"Kadinali leo amemtembelea Mama Janeth Magufuli na kumzawadia Sanamu ya Bikira Maria Mtakatifu
View attachment 1765445
View attachment 1765446
View attachment 1765447
View attachment 1765448
Chato PalaceWakuu hapo ni chato, Dar au Dom?
Yaan aya madini mengine kwakweli, unakuta profesa analinyenyekea sanamu etiKhaaa...sanamu? Bora basi angempa bible!
IBADA YA SANAMU.Kadinali leo amemtembelea Mama Janeth Magufuli na kumzawadia Sanamu ya Bikira Maria Mtakatifu
View attachment 1765445
View attachment 1765446
View attachment 1765447
View attachment 1765448
Hahaa unawachokoza wenye dini zao mkuuYaan aya madini mengine kwakweli, unakuta profesa analinyenyekea sanamu eti
Sanamu ni nini?Kazi yake ni nini?Kama huelewi kitu unauliza.Katika imani katoliki sanamu ni sehemu ya vitu vinavotumika katika ibada mbalimbali.
Sanamu ya kuchonga🤗
Yaan mm sanamu zao hapana jaman ..kwa kazi gani? Khaaa