Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
hayo madharau ndo yaliyoleta huu msiba mkubwa kwa taifa hiliKarnali Pengo na Mama Janeth hawajavaa barakoa sababu wanamwamini Mungu wao sana hao wengine wapagani wamevaa barakoa sababu hawana imani na Mungu wao
Unampangia?Khaaa...sanamu? Bora basi angempa bible!
taarifa za kitabibu hazisemi hivyohayo madharau ndo yaliyoleta huu msiba mkubwa kwa taifa hili
Sijampangia..nna haki ya kutoa maoniUnampangia?
hata angetoa bible bado ungesema bora angempa sanamu
Picha ya kwanza ni kanisani st. Peter'sMilango kama ya Kanisa!
Comrade unasemaje ?Karnali Pengo na Mama Janeth hawajavaa barakoa sababu wanamwamini Mungu wao sana hao wengine wapagani wamevaa barakoa sababu hawana imani na Mungu wao
sawa endelea kuamini hivyotaarifa za kitabibu hazisemi hivyo
Kifupi mapdte na maaskofu na mikelele yote ya kutaka waumini wavae barakoa waumini wamewagomeahayo madharau ndo yaliyoleta huu msiba mkubwa kwa taifa hili
Kwakweli kuna Imani za ajabu dunia,mimi pia nadhani Biblia ingemfaa zaidi ya hicho kidubwasha alichompelekea.
Kitabu kama Zaburi kina maneno ya kutia moyo na faraja kwenye nyakati ngumu,kama anaopitia huyo mama.
Sasa hilo Sanamu la kazi gani?
Ameenda kumchuria zaidi...sanamu ina msaada gani?
Khaaa...sanamu? Bora basi angempa bible!
Tueleze mwanatheolojiaBiblia ukijidai kuijua bila ya Elimu ya Dunia na Elimu ya Teolojia, utaishia kutafsiri kadiri ya mwisho wa upeo wako ulipoishia. Ndio maana kuna baadhi ya madhehebu ya Kiprotestanti, kila muumini anajiona anajua Teolojia. Hicho ndicho nionacho hapa; ukosefu wa maarifa!
Unasema kama sielewi kitu niulize,Sanamu ni nini?Kazi yake ni nini?Kama huelewi kitu unauliza.Katika imani katoliki sanamu ni sehemu ya vitu vinavotumika katika ibada mbalimbali.
We umempa nini?Khaaa...sanamu? Bora basi angempa bible!
Achana na imani za watuAmeenda kumchuria zaidi...sanamu ina msaada gani?
Watanzania tukiona hivyo tunafarajika sana na kumkumbuka Jembe letu kutoka Chato!!Tatizo sio kwenda kumtembelea Bali kulikua na ulazima gani iwe hadharani
PoleWe umempa nini?
Mataga na mungu wao aliyetangulia nn kimemuua!!Mbowe amepata chanjo ya corona.
Je nyumbu wake je?