Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

Kw

Kwahiyo ni Askofu Mkuu wa kanisa lipi!? Na nchi ipi?!
Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuu
Tuna Maaskofu wakuu 7 na Askofu Mkuu mwandamizi 1 na maaskofu wakuu wastaafu nadhani wawili.

Askofu Mkuu Ruwaichi - DSM
Askofu Mkuu Kinyaia - DOM
Askofu Mkuu Aman - ARUSHA
Askofu Mkuu Nkwande - Mwanza
Askofu Mkuu Nyaisonga - Mbeya
Askofu Mkuu Dallu - Songea
Askofu Mkuu Ruzoka - Tabora
 
Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..

Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.

Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food
Unataka kusemaje yani kwa mfano?
 
Wewe mjinga sana. Kanisa katoliki hakunaga askofu mkuu wa nchi. Kila jimbo lina mkuu wake, na huyo ni hapo Tabora tu sio mkuu wa Tanzania. Muwe mnauliza basi hierarchy ya kanisa!!!

Huyo hawezi na hana uwezo wa kulisemea kanisa kama mkubwa. Kuna mapadri makardinali kwa taarifa yako. Watu wengi hawalijui kanisa katoliki. Ila wanahisi wanalijua, kuna misconceptions nyingi sana hasahasa kutoka kwa wanasiasa na wanahabari.

Nina uhakika Samia anadhani huyo ndio mkuu wa kanisa Tanzania 😂 ni aibu kuwa wengi wapo ignorant , mpaka wengine wakadhani eti atakaa Dar. Shida ni pale Pengo alikuwa anapenda kuongea na media na media zinapenda kuongea na Pengo wakadhani ana authority kuliko wengine kumbe mwisho wake ulikuwa jimbo kuu la Dar es Salaam.

Huyo kardinali mwisho wake wa madaraka ni hapo jimbo la Tabora. Sisi wakatoliki wakati wa misa tuna sala ya waumini ambayo tunaanza kwa Papa then askofu wa jimbo husika, kwahiyo Dar au Moro au Arusha hawatamtaja Rugambwa! Why? Sababu ni askofu wa jimbo la Tabora. Ukardinali ni more ceremonial tu sio authoritative. Chukueni hiyo.
Usichukulie poa nguvu ya Kadinali wa kanisa katoliki,eti ceremonial.Huyo anaongea moja kwa moja na papa,ni mshauri wake,anaingia kwenye papal conclave.
Anao uwezo wa kuwasagia kunguni maaskofu wengine kwa papa
Muulize Kilaini kilichompata aliposema Kikwete chaguo la Mungu
 
Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuu
Tuna Maaskofu wakuu 7 na Askofu Mkuu mwandamizi 1 na maaskofu wakuu wastaafu nadhani wawili.

Askofu Mkuu Ruwaichi - DSM
Askofu Mkuu Kinyaia - DOM
Askofu Mkuu Aman - ARUSHA
Askofu Mkuu Nkwande - Mwanza
Askofu Mkuu Nyaisonga - Mbeya
Askofu Mkuu Dallu - Songea
Askofu Mkuu Ruzoka - Tabo

Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuu
Tuna Maaskofu wakuu 7 na Askofu Mkuu mwandamizi 1 na maaskofu wakuu wastaafu nadhani wawili.

Askofu Mkuu Ruwaichi - DSM
Askofu Mkuu Kinyaia - DOM
Askofu Mkuu Aman - ARUSHA
Askofu Mkuu Nkwande - Mwanza
Askofu Mkuu Nyaisonga - Mbeya
Askofu Mkuu Dallu - Songea
Askofu Mkuu Ruzoka - Tabora
Na Samia kamtembelea Askofu Mkuu wa kanisa katoliki Nchini Tanzania....akienda Arusha na kumtembelea Aman... habari itakua hiyo hiyo.
 
Naona huelewi mahusiano ya kadinali na nchi. Sio lazima kila nchi iwe na kadinali na zipo nchi zenye makadinali wengi. Majukumu ya ukadinali hayana uhusiano wowote na nchi anayotoka. Kwa hapa tz Rugambwa ni askofu mkuu kama walivyo wengine na hana jukumu la kipekee kwa kanisa la Tanzania
Good...kama ilivyo kwamba sio kila Mkoa au Jimbo kuwa na Waziri...but kila Mkoa una wabunge.
 
Nadhani kuna vitu utakua unachanganya ukisikia neno Mkuu, imeelezwa hata hapo juu kuwa Tanzania kuna majimbo makuu (Archidiocesses) saba amabayo kila moja linaunda Ecclesiastical province kwenye mkutano wa TEC.

Kila Jimbo kuu linakua na majimbo yanayounda ukanda huo na linaongozwa na Askofu Mkuu.

Kuna Archidiocess za Arusha, Tabora, Mbeya, Dar es salaam, Mwanza, Songea na Dodoma.

Kuhusu Askofu Kilaini, aliondoka jimbo la Dar es salaam akiwa kama Askofu Msaidizi, Baba Mtakatifu kwa sababu zake (ofisi ya Vatican) haikuoni ulazima wa kumpa hadhi ya Askofu wa jimbo, bali akabaki askofu msaidizi na kuwa msimamizi wa jimbo hadi atakapopatikana askofu wa jimbo la Bukoba.
Nafasi ya msimamizi anaweza kupewa mtu yeyote, mfano baada ya kifo cha Askofu Banzi, jimbo la Tanga lilibaki chini ya usimamizi wa Padre Kiangio (ambae hakua askofu kwa wakati huo), baada ya Askofu Minde kuhamishiwa Moshi aliombwa kuendelea kubaki msimamizi wa jimbo la Kahama.
Wako
Hakuna Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania, kuhusu kuhamishwa kwa Ruwaichi kuja Dar ni kwasababu alionekana anaweza kuwa mrithi sahihi wa Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo kama Askofu Mkuu wa jimbo la Dar es salaam.
Am told wako Saba na kardinali wawili...leo mama Samia kamtembelea Askofu Mkuu Kardinali Rugambwa
 
Duh! Nilizaliwa kwenye ukatoliki na kubatizwa huko ila nilijua kadinali ndiyo askofu mkuu wa kanisa katoliki Tanzania kumbe sivyo. Kwa hiyo papa anaweza kuteua makadinali zaidi ya mmoja katika nchi moja? Sasa kwa ujumla nani ni mkuu wa kanisa katoliki Tanzania ukijumuisha majimbo yote? Nani analisemea kanisa huko serikalini? Au ndio hao TEC kwa pamoja?
 
Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..

Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.

Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food
Yaani natamani niipate story full Nimecheka Sana mkuu Ila nisamehe. Mie nilichoka dogo mmoja alipopokea maelekezo ya kwenda itss kutoka kwa Paroko mmoja na recommendations zilitoka huko nasasa ni Afisa mkubwa huko kwa vipenyo Ila mpaka leo hajui nani alimpa kazi zaidi ya Paroko[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom