Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659
TEC hawahongwi kanga wala sukari.
Tulizeni masaburi...haijaisha hadi imesha ...enyi Ufaransa a.k.a kunguni
 
Kukosoana, kurekebishana kwa serikali, taasisi za dini au kiraia siyo uadui bali ndiyo msingi wa kujenga Tanzania iliyo Bora na imara zaidi.
Ni majuha tu yanaoyaweza kukubaliana kila kitu bila kutofautiana na kufikia muafaka baada ya kueleweshana.
 
Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..

Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.

Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food

Hukuwa na wito muzehe!
 
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659
Kwahiyo hapa walikuwa wanachanganya siasa na mwani ?
 
Kazi zingine za ajabu sana, Rais anaongea na Kardinali walinzi bado wako matakoni, wanahisi kajifunga mabomu ndani ya kanzu nini?
Kwanini wasitumie common-sense.
 
Yaani natamani niipate story full Nimecheka Sana mkuu Ila nisamehe. Mie nilichoka dogo mmoja alipopokea maelekezo ya kwenda itss kutoka kwa Paroko mmoja na recommendations zilitoka huko nasasa ni Afisa mkubwa huko kwa vipenyo Ila mpaka leo hajui nani alimpa kazi zaidi ya Paroko[emoji3][emoji3][emoji3]
Ahaha usicheke braza, ila kanisa achana-nalo Aisee!

Mahari ilipokelewa kisiri mno Leo, kesho naitwa na lector kuwa 'unamfahamu .......' nikajibu ndio, ni dada yangu, akajibu ooh! Very nice, now pick your father's letter.....

Mpaka Leo Sina hamu ahahaha
 
Wewe mjinga sana. Kanisa katoliki hakunaga askofu mkuu wa nchi. Kila jimbo lina mkuu wake, na huyo ni hapo Tabora tu sio mkuu wa Tanzania. Muwe mnauliza basi hierarchy ya kanisa!!!

Huyo hawezi na hana uwezo wa kulisemea kanisa kama mkubwa. Kuna mapadri makardinali kwa taarifa yako. Watu wengi hawalijui kanisa katoliki. Ila wanahisi wanalijua, kuna misconceptions nyingi sana hasahasa kutoka kwa wanasiasa na wanahabari.

Nina uhakika Samia anadhani huyo ndio mkuu wa kanisa Tanzania 😂 ni aibu kuwa wengi wapo ignorant , mpaka wengine wakadhani eti atakaa Dar. Shida ni pale Pengo alikuwa anapenda kuongea na media na media zinapenda kuongea na Pengo wakadhani ana authority kuliko wengine kumbe mwisho wake ulikuwa jimbo kuu la Dar es Salaam.

Huyo kardinali mwisho wake wa madaraka ni hapo jimbo la Tabora. Sisi wakatoliki wakati wa misa tuna sala ya waumini ambayo tunaanza kwa Papa then askofu wa jimbo husika, kwahiyo Dar au Moro au Arusha hawatamtaja Rugambwa! Why? Sababu ni askofu wa jimbo la Tabora. Ukardinali ni more ceremonial tu sio authoritative. Chukueni hiyo.
Punguza ukali wa maneno.
Muadhama Protase Kardinali Rugambwa ni Askofu Mkuu Mwandamizi wa Jimbo Kuu la Tabora.
Hapa, neno 'Mwandamizi' maana yake ni "mwenye haki ya kurithi" cheo cha Uaskofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, pindi cheo hicho kitakapokuwa 'wazi'.
Cheo hicho kitakuwa wazi baada ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, Mhashamu Askofu Mkuu Paulo Ruzoka atakapofikisha umri wa miaka 75.
Kwa hiyo Muadhama Protase Kardinali Rugambwa ni "Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora ' in waiting' till the day Archbishop Paul Ruzoka celebrates his 75th birthday.
Period.
 
Duh! Nilizaliwa kwenye ukatoliki na kubatizwa huko ila nilijua kadinali ndiyo askofu mkuu wa kanisa katoliki Tanzania kumbe sivyo. Kwa hiyo papa anaweza kuteua makadinali zaidi ya mmoja katika nchi moja? Sasa kwa ujumla nani ni mkuu wa kanisa katoliki Tanzania ukijumuisha majimbo yote? Nani analisemea kanisa huko serikalini? Au ndio hao TEC kwa pamoja?
TEC ndiyo chombo kikuu cha Kanisa Katoliki Tanzania. Chombo hicho kinakuwa chini ya Rais wa TEC.

Laurian Kadinali Rugambwa, wakati anateuliwa na papa kuwa kadinali, Afrika nzima haikuwa na kadinali hata mmoja. Na alipoteuliwa hakuwa anawakilishi nchi ya Tqnzqnia wala bara la Afrika.

Makadinali ni wateule wa papa kwaajili ya shughuli za Vatican, ndiyo maana automatically wanapewa uraia wa Vatican. Na mwakikishi wa Papa nchini hawi kadinali bali kuna mtu anaitwa balozi wa papa au Vatican. Wapo pia makadinali ambao baada ya kuteuliwa, hupewa shughuli maalum Vatican, kama vile kusimamia idara mbalimbali za Kanisa.
 
Kuna neno umelisahau ni Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume 😀
ambalo, akiwa ni ..., then ni lazima awe ...!.
P

 
Kuna neno umelisahau ni Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume 😀
ambalo, akiwa ni ..., then ni lazima awe ...!.
P

P naomba msaada japo unakuwaga MGUMU kusaidia vijana wadogo kama Mimi.

Naomba unisaidie makala Moja aliandika Ezekiel kamwaga GAZETI la Raia Mwema kuhusu Getrude Mongera na Kundi la B53 kama sikosei.
(Harakati na Kundi lake la Kumkataa Salim)

Niliisoma Ile makala Nikiwa kidato Cha Nne natamani noisome Tena

Naomba Msaada wako
 
Hata Nyerere alisoma Tabora boys
Akaomba support ya wazee wa Tabora kupata Uhuru wa Tanganyika
Na ndiko alikojifunzia kucheza bao na kunywa kahawa kama maza leo
Hiyo ndio mboka ya manyema
Aka Toronto
Fuatilia historia vizuri, Nyerere alianza kucheza bao tangu akiwa nyumbani kwao Butiama na sababu hiyo ilipelekea yeye kupelekwa shule baada ya kuwafunga baadhi ya marafiki wa baba yake alipocheza nae na kudhihirisha kuwa ana upeo mkubwa
 
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659
Hakuna Askofu mkuu wa kabisa katoliki Tanzania.Ni vema kabla kuandika na kupost uliza kwanza vyeo kabisa vimekaaje.Kwanza Rugambwa bado yupo chini ya Ruzoka Jimbo kuu la Tabora.Atakaporithi kiti atakua Askofu mkuu wa Jimbo la Tabora na mamlaka yake yataishia "Jimbo la Tabora"elewa Jimbo la Tabora.
 
Hivi protocol akiwepo Ruwaichi Askodu Mkuu Jimbo kuu Dar.Rugambwa Cardinal na Mkuu wa Jimbo kuu Tabora,Nyaihoza Chairman Tec. Kwenye utambulisho naanua na nani? Fuatilia hotuba ya waziri mkuu akiwa Tanga kumsimika Askodu wa Tanga.
 
Back
Top Bottom