Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuuKw
Kwahiyo ni Askofu Mkuu wa kanisa lipi!? Na nchi ipi?!
Unataka kusemaje yani kwa mfano?Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..
Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.
Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food
Mama Yuko mikono salama ,kuhusu Mambo jamiiNamuona Mzee LUKUVI hapo,,, Au macho yangu [emoji848][emoji848][emoji848]
Unafunza kichwani.Askodu Ruwaichi ndo Mkuu wa kanisa hata hivyo Kuna chombo kinaitwa Baraza la Maaskofu Chairman ni Nyaiongwa
ThubutuUsojisahaulishe ni zamu ya KKKT tunaenda na Madelu
Usichukulie poa nguvu ya Kadinali wa kanisa katoliki,eti ceremonial.Huyo anaongea moja kwa moja na papa,ni mshauri wake,anaingia kwenye papal conclave.Wewe mjinga sana. Kanisa katoliki hakunaga askofu mkuu wa nchi. Kila jimbo lina mkuu wake, na huyo ni hapo Tabora tu sio mkuu wa Tanzania. Muwe mnauliza basi hierarchy ya kanisa!!!
Huyo hawezi na hana uwezo wa kulisemea kanisa kama mkubwa. Kuna mapadri makardinali kwa taarifa yako. Watu wengi hawalijui kanisa katoliki. Ila wanahisi wanalijua, kuna misconceptions nyingi sana hasahasa kutoka kwa wanasiasa na wanahabari.
Nina uhakika Samia anadhani huyo ndio mkuu wa kanisa Tanzania 😂 ni aibu kuwa wengi wapo ignorant , mpaka wengine wakadhani eti atakaa Dar. Shida ni pale Pengo alikuwa anapenda kuongea na media na media zinapenda kuongea na Pengo wakadhani ana authority kuliko wengine kumbe mwisho wake ulikuwa jimbo kuu la Dar es Salaam.
Huyo kardinali mwisho wake wa madaraka ni hapo jimbo la Tabora. Sisi wakatoliki wakati wa misa tuna sala ya waumini ambayo tunaanza kwa Papa then askofu wa jimbo husika, kwahiyo Dar au Moro au Arusha hawatamtaja Rugambwa! Why? Sababu ni askofu wa jimbo la Tabora. Ukardinali ni more ceremonial tu sio authoritative. Chukueni hiyo.
Umehisi anaitwa JuliaJulia wapi?
Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuu
Tuna Maaskofu wakuu 7 na Askofu Mkuu mwandamizi 1 na maaskofu wakuu wastaafu nadhani wawili.
Askofu Mkuu Ruwaichi - DSM
Askofu Mkuu Kinyaia - DOM
Askofu Mkuu Aman - ARUSHA
Askofu Mkuu Nkwande - Mwanza
Askofu Mkuu Nyaisonga - Mbeya
Askofu Mkuu Dallu - Songea
Askofu Mkuu Ruzoka - Tabo
Na Samia kamtembelea Askofu Mkuu wa kanisa katoliki Nchini Tanzania....akienda Arusha na kumtembelea Aman... habari itakua hiyo hiyo.Anakua Askofu mkuu wa Jimbo kuu
Tuna Maaskofu wakuu 7 na Askofu Mkuu mwandamizi 1 na maaskofu wakuu wastaafu nadhani wawili.
Askofu Mkuu Ruwaichi - DSM
Askofu Mkuu Kinyaia - DOM
Askofu Mkuu Aman - ARUSHA
Askofu Mkuu Nkwande - Mwanza
Askofu Mkuu Nyaisonga - Mbeya
Askofu Mkuu Dallu - Songea
Askofu Mkuu Ruzoka - Tabora
Huyo msalaba unamsumbua sanaNamuona Mzee LUKUVI hapo,,, Au macho yangu 🤔🤔🤔
Good...kama ilivyo kwamba sio kila Mkoa au Jimbo kuwa na Waziri...but kila Mkoa una wabunge.Naona huelewi mahusiano ya kadinali na nchi. Sio lazima kila nchi iwe na kadinali na zipo nchi zenye makadinali wengi. Majukumu ya ukadinali hayana uhusiano wowote na nchi anayotoka. Kwa hapa tz Rugambwa ni askofu mkuu kama walivyo wengine na hana jukumu la kipekee kwa kanisa la Tanzania
Huwajui kujikweza hao na kujipa umuhimu,wanapenda mno siasa!Duh, kumbe kuna ka vita Baridi kapo chini chini kana puliza miguu 😐😐
na hawa jamaa ➕
Umesema kwamba?Hawajui kujikweza hao na kujipa umuhimu,anapenda mno siasa!
WakoNadhani kuna vitu utakua unachanganya ukisikia neno Mkuu, imeelezwa hata hapo juu kuwa Tanzania kuna majimbo makuu (Archidiocesses) saba amabayo kila moja linaunda Ecclesiastical province kwenye mkutano wa TEC.
Kila Jimbo kuu linakua na majimbo yanayounda ukanda huo na linaongozwa na Askofu Mkuu.
Kuna Archidiocess za Arusha, Tabora, Mbeya, Dar es salaam, Mwanza, Songea na Dodoma.
Kuhusu Askofu Kilaini, aliondoka jimbo la Dar es salaam akiwa kama Askofu Msaidizi, Baba Mtakatifu kwa sababu zake (ofisi ya Vatican) haikuoni ulazima wa kumpa hadhi ya Askofu wa jimbo, bali akabaki askofu msaidizi na kuwa msimamizi wa jimbo hadi atakapopatikana askofu wa jimbo la Bukoba.
Nafasi ya msimamizi anaweza kupewa mtu yeyote, mfano baada ya kifo cha Askofu Banzi, jimbo la Tanga lilibaki chini ya usimamizi wa Padre Kiangio (ambae hakua askofu kwa wakati huo), baada ya Askofu Minde kuhamishiwa Moshi aliombwa kuendelea kubaki msimamizi wa jimbo la Kahama.
Am told wako Saba na kardinali wawili...leo mama Samia kamtembelea Askofu Mkuu Kardinali RugambwaHakuna Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania, kuhusu kuhamishwa kwa Ruwaichi kuja Dar ni kwasababu alionekana anaweza kuwa mrithi sahihi wa Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo kama Askofu Mkuu wa jimbo la Dar es salaam.
Hivi vyeo vingine. Bongo bwanaNi kweli- ni mshauri wa rais wa mambo ya siasa na jamii
Nilipoona anandika Kadinali badala ya Kardinali nikajua ndo wale walioandika Nyerere na Ghandi walikuwa marafikiMkuu una uhakika kanisa katoliki lina Askofu mkuu wa nchi?!
Wanadhani hii ni kkktMkuu una uhakika kanisa katoliki lina Askofu mkuu wa nchi?!
Lukuvu ni Mkatoliki Saafi, ni Rahisi Lukuvi kupewa Urais au Makinda kuliko yeyote unayemjua.Hawa niliokutajia ndio viungo vya Serikali na KatolikiNamuona Mzee LUKUVI hapo,,, Au macho yangu [emoji848][emoji848][emoji848]
Kama anautaka Urais mwambie kwanzia Leo awe MkatolikiUsojisahaulishe ni zamu ya KKKT tunaenda na Madelu
Yaani natamani niipate story full Nimecheka Sana mkuu Ila nisamehe. Mie nilichoka dogo mmoja alipopokea maelekezo ya kwenda itss kutoka kwa Paroko mmoja na recommendations zilitoka huko nasasa ni Afisa mkubwa huko kwa vipenyo Ila mpaka leo hajui nani alimpa kazi zaidi ya Paroko[emoji3][emoji3][emoji3]Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..
Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.
Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food