Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

Kwan hawa trc hawapo latra? Maana nnavyojua latra kwa kushirikiana na wadau ndo wanachakata viwango vya naul! Ila hilo la laki tatu tumien tu kusombea wana ccm kwenda kwenye mikutano ya ccm! Likifa muuze kama mlivyouza bandari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…