Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ile 30,000 ya LATRA haihusiani na hizi?Umeme wa kuendeshea treni 336,000 ila nauli ya abiria mmoja 100,000-120,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile 30,000 ya LATRA haihusiani na hizi?Umeme wa kuendeshea treni 336,000 ila nauli ya abiria mmoja 100,000-120,000
Unakumbuka walisema Dar Dom wametumua umeme wa Mil 1 sijui. Sasa nauli iwe 100k inamaana watu 10 tu full umeme.Ukiweka risks,wear and tear nitapanda treni.
Lile lina vituo 19 mtatumia masaa 8 kama Bua.Unakumbuka walisema Dar Dom wametumua umeme wa Mil 1 sijui. Sasa nauli iwe 100k inamaana watu 10 tu full umeme.
The rest inaenda mifukoni mwa watu. Nitapanda ata Kimbinyiko.
Kwa 100k bora tukomae na lile lisio kaa kama mjusi.
Kwa hyo hivyo vyuma vimetandazwa hewanii? Sijamaanisha anganiLATRA ni nchi kavu na majini.. Sio angani wala juu ya vyuma.
Ile ya 30,000 inasimama kila kituo kuanzia Pugu,Soga sijui ngerengere hadi mfike Dom vituo 19Ile 30,000 ya LATRA haihusiani na hizi?
Nyie wanaume mnaopenda vya burebure ipo siku "RC" atawatembelea! Ahahahahaha!!!!Mbongo ni mbongo tu mabwasha ya kufanya huduma kusaidia watu ilitakiwa nauli iwe gongo kumi tu kadogosa anataka kujenga ghorofa na kununua v8 kwa nauli hiyo hiyo!
Wamejizima data. LATRA kapanga ile lisiokaa kama mjusi. Ili la mjusi Tanzania Railways Corp wamesimamia show.Kwa hyo hivyo vyuma vimetandazwa hewanii? Sijamaanisha angani
Km ni Nusu saa umefika hapo nakubariana naye aongezee laki 2 iwe Dakika 15 umefika Dodoma kutoka Dar nitalipa laki 3Kama itatumia masaa mawili it is ok
Mizigo itoke wapi?Nadhani SGR wa-focus zaidi mizigo kuliko abiria wapunguze malori barabarani; sio kuyapunguza kwa lazima bali kwa unafuu wa bei, muda, rushwa za barabarani, n.k.
Wakijielekeza usafirishaji abiria inanipa shaka itakuwa kama the so called "mwendokasi" ambao ndani ya muda mfupi umekosa kabisa mwelekeo.
Mtatupa na mifuko ya plastic yakutapikia hicho kizunguzungu usipimeKama itatumia masaa mawili it is ok
Kajamba nani,treni Ina madarajaIle ya afu 13 ni ipi? Mbona kama raia tunachanganywa?
🤣LATRA ni nchi kavu na majini.. Sio angani wala juu ya vyuma.
Reli yetu ya Tazara ukipanda first class ni kama uko lodge kwenye chumba chako kitandana,msosi ,choo Kila kitu na inakupa nafasi ya kufanya Utalii.Nafuu nipande ndege
Mlipie babe wakoNauli unayo? 🤣
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es Salaam mpaka Morogoro na kurudi leo Februari 26, 2024.Umeme wa kuendeshea treni 336,000 ila nauli ya abiria mmoja 100,000-120,000
Babe gani hana pesa 😂😂😂Mlipie babe wako