Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kicheko kinaonyesha tayari wewe ni mhanga wa Rc!Nyie wanaume mnaopenda vya burebure ipo siku "RC" atawatembelea! Ahahahahaha!!!!
Hawezi kosa sema hana nyingiBabe gani hana pesa 😂😂😂
Ahsante kwa kuuona ujumbe. Hope utaufanyia kazi! Ahahahahaha!!!Kicheko kinaonyesha tayari wewe ni mhanga wa Rc!
Mkuu umeandika nn?Mbongo ni mbongo tu mabwasha ya kufanya huduma kusaidia watu ilitakiwa nauli iwe gongo kumi tu kadogosa anataka kujenga ghorofa na kununua v8 kwa nauli hiyo hiyo!
Anakaa kwa shangazi yake huyo 😂😂😂Hawezi kosa sema hana nyingi
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000
Source: Swahili Times
Mlale Unono 😃😃
Kiranga Nyani Ngabu hivi ndugu zetu bei ya treni hizo za umeme zimekaaje huko duniani tupeni mifano ya sehemu yenye umbali kutoka dar mpaka dodoma na muda zinazotumia?
mkuu nashukuru kwa uchambuzi huu, kama unaweza kunielezea zaidi nielezee mkuuLinganisha huko duniani na bongo kwenye hivi vipengele utapata jibu:
- Operating Costs.
- Fuel/power Prices.
- Train Type and Age.
- Route Demand and Competition.
- Seat Inventory Management.
- Time of Booking.
- Class of Service and Ancillary Fees.
- Economic Conditions.
LATRA ni barabara na reli in short ardhini. Hawahusiki na majini au angani.LATRA ni nchi kavu na majini.. Sio angani wala juu ya vyuma.
Mbali ya Kudogosha, Mkuu umeandika pointi moja kubwa sana.Kadogosa mdogo kama jina lake
Kwani hawakuwa na andiko la mradi business plan) kabla ya kuanza
Au wanataka wajifelishe tnen wahallalishe kuiuza reli kama ilivyo bandari
Waislam banaJambo zuri,hakuna burebure