makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hivi tazara 1st class dar mbeya ni sh ngapi?Reli yetu ya Tazara ukipanda first class ni kama uko lodge kwenye chumba chako kitandana,msosi ,choo Kila kitu na inakupa nafasi ya kufanya Utalii.
Ila hiyo yenu sijui itakuaje
Back then ilikuwa 30,0000 saizi sijuiNauli ya dar mbeya kwaTAZARA ni sh ngapi?
Umenipa link ya TRC mie nilikiwa naulizia TAZARA, Kutoka dar kwenda mbeya kwa 1st class.Back then ilikuwa 30,0000 saizi sijui
View: https://www.instagram.com/p/C8JKrzvtrd7/?igsh=MXUxMDc0bWplbWxxNA==
Kwa hiyo mnaweka nauli kubwa ili mabasi yaendelee duuhMkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000
Source: Swahili Times
Mlale Unono 😃😃
=========
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .
Akiongea Jijini Dar es salama leo June 12,2024, Kadogosa amesema “LATRA wametangaza nauli za daraja za kawaida lakini tutakuwa na treni za aina tatu, treni za kawaida ambazo zinasimama kote, tutakuwa na treni za express ambayo ikitoka hapa inasimama Morogoro, Morogoro - Dodoma lakini pia tutakuwa na treni nyingine ambayo ni high class zaidi zile za mchongoko tumeshaanza kuifanyia majaribio lakini June 16,2024 tutapokea nyingine mbili”
“Mule ndani kuna class mbili economy na business lakini ile nyingine kuna business lakini pia kuna Royal business kuna sehemu wanakaa Watu 48 tu na nyingine wanakaa chini ya hao Watu, business tutaenda kwa Tsh. elfu 70, katika ile ya mchongoko Royal tutaenda kwa Tsh. 120000 na business ya kawaida laki 1 na itakuwa express”
“Tunafanya hivyo Ndugu Waandishi wa Habari naomba hili mliweke vizuri tunajaribu ku-accomodate Watu wote, kuna zile ambazo mmetangaziwa, najua Watu watalalamika lakini hatuwezi kuwa na mentality ileile”
Itakumbukwa hivi karibuni Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ilitangaza maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya LATRA kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora baada ya kufanyia kazi maombi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na maoni ya Wadau wengine ambapo Dar es salaam hadi Morogoro (KM 192) nauli ni Tsh. 13000 na Dar es salaam hadi Dodoma (KM 444) nauli ni Tsh. 31000.
#MillardAyoUPDATES
Pia Soma: Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Huu mchongoko wachonge hiyo pua iwe kama ya MAIKO JAKSONI, sio pua kama KIPARA MAKULEGA halafu wanatwambia mchongoko.
Huu mchongoko wachonge hiyo pua iwe kama ya MAIKO JAKSONI, sio pua kama KIPARA MAKULEGA halafu wanatwambia mchongoko.
Kuendesha biashara ya reli mkuu ili upate faida lazima iwe hivyo,ukileta siasa kwenye reli itakufa kama ilivyokuwa hii ya zamani...Kwani serikali ina lengo gani hasa mpaka imeamua kuweka nauli kubwa kiasi hicho? Au wana nia ya kuihujumu ili kuyalinda mabasi na malori yao yaliyotapakaa kote nchini!!
Ujue akili zao finyu wanahisi dunia bafo ni ya mwaka 1800 kweusi, wa unyanyembe ni unyanyembe tu, wa kazuramimba ni kazura mimba tu, kumbe dunia ya sasa unaweza ishi MBOO-NDOLE na habari za london unazo, mitaa ya paris unaijua utafikiri ramani uliichora wewe.UView attachment 3016107
Sijui wanatuonaje?
Sijui anajua km ni keshokutwa tu!!June 16,2024 tutapokea nyingine mbili”
tutaendelea kubaki na akina kimbinyiko, shabiby,ABC,ngasere na aboodMkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000
Source: Swahili Times
Mlale Unono 😃😃
=========
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .
Akiongea Jijini Dar es salama leo June 12,2024, Kadogosa amesema “LATRA wametangaza nauli za daraja za kawaida lakini tutakuwa na treni za aina tatu, treni za kawaida ambazo zinasimama kote, tutakuwa na treni za express ambayo ikitoka hapa inasimama Morogoro, Morogoro - Dodoma lakini pia tutakuwa na treni nyingine ambayo ni high class zaidi zile za mchongoko tumeshaanza kuifanyia majaribio lakini June 16,2024 tutapokea nyingine mbili”
“Mule ndani kuna class mbili economy na business lakini ile nyingine kuna business lakini pia kuna Royal business kuna sehemu wanakaa Watu 48 tu na nyingine wanakaa chini ya hao Watu, business tutaenda kwa Tsh. elfu 70, katika ile ya mchongoko Royal tutaenda kwa Tsh. 120000 na business ya kawaida laki 1 na itakuwa express”
“Tunafanya hivyo Ndugu Waandishi wa Habari naomba hili mliweke vizuri tunajaribu ku-accomodate Watu wote, kuna zile ambazo mmetangaziwa, najua Watu watalalamika lakini hatuwezi kuwa na mentality ileile”
Itakumbukwa hivi karibuni Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ilitangaza maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya LATRA kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora baada ya kufanyia kazi maombi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na maoni ya Wadau wengine ambapo Dar es salaam hadi Morogoro (KM 192) nauli ni Tsh. 13000 na Dar es salaam hadi Dodoma (KM 444) nauli ni Tsh. 31000.
#MillardAyoUPDATES
Pia Soma: Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000
Usiogope 😂tutaendelea kubaki na akina kimbinyiko, shabiby,ABC,ngasere na abood
mkuu nashukuru kwa uchambuzi huu, kama unaweza kunielezea zaidi nielezee mkuu
Halafu mbona hii treni ni tofauti na zile za marekani, china na japan hii ya kwetu ina pua pana kama ya kinjekitilingwale embu ona hapa chini👇
Duuh hivi kumbe niliandika EWURA, asee sijui hata akili ilikuwa wapi yani wewe ndio umenishitua, shukrani mkuu nilimaanisha TASAC nikajikuta nimewaandika hao wapanga bei za mafutaEwura ni energy and water utilities regulatory authority hii ni mambo ya petrol,gas nishati kwa ujumla na maji. Usafiri majini ni Tasac.
Sumatra ilivunjwa ikaundwa Latra na Tasac.
EWURA 😳😳
😂🤣🤣🤣
Duuh hivi kumbe niliandika EWURA, asee sijui hata akili ilikuwa wapi yani wewe ndio umenishitua, shukrani mkuu nilimaanisha TASAC nikajikuta nimewaandika hao wapanga bei za mafuta
Speech ya Masanja nimeipenda.Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000
Source: Swahili Times
Mlale Unono 😃😃
=========
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .
Akiongea Jijini Dar es salama leo June 12,2024, Kadogosa amesema “LATRA wametangaza nauli za daraja za kawaida lakini tutakuwa na treni za aina tatu, treni za kawaida ambazo zinasimama kote, tutakuwa na treni za express ambayo ikitoka hapa inasimama Morogoro, Morogoro - Dodoma lakini pia tutakuwa na treni nyingine ambayo ni high class zaidi zile za mchongoko tumeshaanza kuifanyia majaribio lakini June 16,2024 tutapokea nyingine mbili”
“Mule ndani kuna class mbili economy na business lakini ile nyingine kuna business lakini pia kuna Royal business kuna sehemu wanakaa Watu 48 tu na nyingine wanakaa chini ya hao Watu, business tutaenda kwa Tsh. elfu 70, katika ile ya mchongoko Royal tutaenda kwa Tsh. 120000 na business ya kawaida laki 1 na itakuwa express”
“Tunafanya hivyo Ndugu Waandishi wa Habari naomba hili mliweke vizuri tunajaribu ku-accomodate Watu wote, kuna zile ambazo mmetangaziwa, najua Watu watalalamika lakini hatuwezi kuwa na mentality ileile”
Itakumbukwa hivi karibuni Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ilitangaza maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya LATRA kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora baada ya kufanyia kazi maombi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na maoni ya Wadau wengine ambapo Dar es salaam hadi Morogoro (KM 192) nauli ni Tsh. 13000 na Dar es salaam hadi Dodoma (KM 444) nauli ni Tsh. 31000.
#MillardAyoUPDATES
Pia Soma: Hizi hapa Nauli Mpya za SGR: Dar - Moro Tsh. 13,000, Dar - Dodoma Tsh. 31,000