Kwa ukubwa wa nauli iliyopangwa hakuna Mluguru atakayesafiri kwa treni! Aboud atabaki kuwa mkombozi!Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ukubwa wa nauli iliyopangwa hakuna Mluguru atakayesafiri kwa treni! Aboud atabaki kuwa mkombozi!Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
Huyu jamaa atakuwa Ana bonge la Mganga...hivi huyu msukuma lini atashitakiwa aisee?
Aisee...Aseme wazi tu kwamba hawakuwa na nia ya dhati kuliharakisha hili jambo ili kuwalinda waarabu wanaomiliki mabasi
Akamatwe na ashitakiwe " kwa sauti ya MpinaMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha Dar es salaam - Morogoro umekamilika kwa 100% na mabehewa zaidi ya 45 tayari yamewasili nchini lakini kilichosimamisha safari kuanza ni kuchelewa kwa vichwa vya treni ambapo hadi sasa kimefika kichwa kimoja huku vingine vikitarajiwa kuletwa siku za karibuni.
Akiongea leo Ikulu Dar es salaam wakati Viongozi mbalimbali wakitoa taarifa kwa Waandishi kuhusu ziara za Rais Dkt. Samia Morocco na Saudi Arabia, Kadogosa amesema;
“Ujenzi wa reli hususani Dar es salaam - Morogoro kwa sehemu kubwa tumekamilisha takribani 100%, kuna sehemu chache sana ambazo nafikiri hata nyinyi mtakuwa mnaziona pale Vingunguti, Nyerere na Banana kuna kumalizia, then kuna ujenzi wa kuingia Bandarini ambao hautuzuii sisi kuanza uendeshaji kwa maana ya Dar es salaam kwenda Morogoro.
“Kitu ambacho kimetusimamisha kwa muda ni kwasababu tulikuwa hatujapata vichwa hilo tu, sasa hii inaweza kuwa na maelezo mengi sana kwamba kwanini vichwa vimechelewa lakini tumekuwa na changamoto hiyo ya kutokupata vichwa vya treni, mabehewa yapo pale Pugu mengi zaidi ya 45 mapya yote lakini kichwa tulikuwa hatuna, kwa mara ya kwanza kichwa cha kwanza kimeingia hivi karibuni.
“Kwanza wanaoleta kichwa kwasababu ni kichwa kipya kabla hawajatupa lazima wakifanyie testing, wamekifanyia majaribio kwao kwenye reli yao na ujue reli sio zinafanana, ya kule tofauti na huku kwahiyo ni lazima afanye testing pia hapa kujihakikishia kile kichwa kinaenda KM 160 kwa saa na tutawaita Waandishi wa Habari mshuhudie hilo.”
Nchi sio ngumu, tatizo wajinga ni wengi sana nchii hii!!Nchi ngumu sana hii [emoji23]
Endeleeni kupiga hizo chenji hadi 2025! Ni kitu gani kililerea hayo yote kufanyika? Je Ina maana vichwa vimeagizwa kwengineko tofauti na behewa?? Je vitaendana na hitaji?Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha Dar es salaam - Morogoro umekamilika kwa 100% na mabehewa zaidi ya 45 tayari yamewasili nchini lakini kilichosimamisha safari kuanza ni kuchelewa kwa vichwa vya treni ambapo hadi sasa kimefika kichwa kimoja huku vingine vikitarajiwa kuletwa siku za karibuni.
Akiongea leo Ikulu Dar es salaam wakati Viongozi mbalimbali wakitoa taarifa kwa Waandishi kuhusu ziara za Rais Dkt. Samia Morocco na Saudi Arabia, Kadogosa amesema;
“Ujenzi wa reli hususani Dar es salaam - Morogoro kwa sehemu kubwa tumekamilisha takribani 100%, kuna sehemu chache sana ambazo nafikiri hata nyinyi mtakuwa mnaziona pale Vingunguti, Nyerere na Banana kuna kumalizia, then kuna ujenzi wa kuingia Bandarini ambao hautuzuii sisi kuanza uendeshaji kwa maana ya Dar es salaam kwenda Morogoro.
“Kitu ambacho kimetusimamisha kwa muda ni kwasababu tulikuwa hatujapata vichwa hilo tu, sasa hii inaweza kuwa na maelezo mengi sana kwamba kwanini vichwa vimechelewa lakini tumekuwa na changamoto hiyo ya kutokupata vichwa vya treni, mabehewa yapo pale Pugu mengi zaidi ya 45 mapya yote lakini kichwa tulikuwa hatuna, kwa mara ya kwanza kichwa cha kwanza kimeingia hivi karibuni.
“Kwanza wanaoleta kichwa kwasababu ni kichwa kipya kabla hawajatupa lazima wakifanyie testing, wamekifanyia majaribio kwao kwenye reli yao na ujue reli sio zinafanana, ya kule tofauti na huku kwahiyo ni lazima afanye testing pia hapa kujihakikishia kile kichwa kinaenda KM 160 kwa saa na tutawaita Waandishi wa Habari mshuhudie hilo.”
Na ndicho kitakachotokea. Maana Vigogo wengi wa chama na serulikali, pamoja na wafanyabiashara wakubwa waliojificha kwenye kichaka cha CCM; ndiyo hao hao wanaomiliki mabasi ya abiria na pia malori ya mizigo.Hiyo treni haitachukua muda, itahujumiwa tu vinginevyo wabinafsishe vile hakuna mtizii atakayeiendesha kwa maslahi ya Serikali.
Angalia mradi wa mabasi ya mwendokasi
Wanajua hamna cha kuwafanya. Na hamna kweliMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha Dar es salaam - Morogoro umekamilika kwa 100% na mabehewa zaidi ya 45 tayari yamewasili nchini lakini kilichosimamisha safari kuanza ni kuchelewa kwa vichwa vya treni ambapo hadi sasa kimefika kichwa kimoja huku vingine vikitarajiwa kuletwa siku za karibuni.
Akiongea leo Ikulu Dar es salaam wakati Viongozi mbalimbali wakitoa taarifa kwa Waandishi kuhusu ziara za Rais Dkt. Samia Morocco na Saudi Arabia, Kadogosa amesema;
“Ujenzi wa reli hususani Dar es salaam - Morogoro kwa sehemu kubwa tumekamilisha takribani 100%, kuna sehemu chache sana ambazo nafikiri hata nyinyi mtakuwa mnaziona pale Vingunguti, Nyerere na Banana kuna kumalizia, then kuna ujenzi wa kuingia Bandarini ambao hautuzuii sisi kuanza uendeshaji kwa maana ya Dar es salaam kwenda Morogoro.
“Kitu ambacho kimetusimamisha kwa muda ni kwasababu tulikuwa hatujapata vichwa hilo tu, sasa hii inaweza kuwa na maelezo mengi sana kwamba kwanini vichwa vimechelewa lakini tumekuwa na changamoto hiyo ya kutokupata vichwa vya treni, mabehewa yapo pale Pugu mengi zaidi ya 45 mapya yote lakini kichwa tulikuwa hatuna, kwa mara ya kwanza kichwa cha kwanza kimeingia hivi karibuni.
“Kwanza wanaoleta kichwa kwasababu ni kichwa kipya kabla hawajatupa lazima wakifanyie testing, wamekifanyia majaribio kwao kwenye reli yao na ujue reli sio zinafanana, ya kule tofauti na huku kwahiyo ni lazima afanye testing pia hapa kujihakikishia kile kichwa kinaenda KM 160 kwa saa na tutawaita Waandishi wa Habari mshuhudie hilo.”
Msukuma wa Mwakibuga.hivi huyu msukuma lini atashitakiwa aisee?
Kadogosa haelewekiSo testing ndiyo imekwamisha? kwa sababu ni almost kilometre 200 pekee DAR MORO hicho kimoja kianze kazi.
Yaani sababu za kijinga kabisa, unawezaje kupata behewa 40+ kwa wakati ushindwe pata kichwa kwa wakati? Halafu anakiri kuwa vingunguti bado reli haijamaliziwa so hicho kichwa bado hakiwezi fanya kaziNchi ngumu sana hii 😂
Unaijua nauli ya treni?Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
Watu ni wengi sana wapo watakaopenda treni na wapo watakaopenda bus na wapo watakaopenda ndege.Kuwalazimisha watu wote watumie usafiri wa aina moja ni utumwa.Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
Ukweli ni kwamba kuna conflict of interest between decision makersMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha Dar es salaam - Morogoro umekamilika kwa 100% na mabehewa zaidi ya 45 tayari yamewasili nchini lakini kilichosimamisha safari kuanza ni kuchelewa kwa vichwa vya treni ambapo hadi sasa kimefika kichwa kimoja huku vingine vikitarajiwa kuletwa siku za karibuni.
Akiongea leo Ikulu Dar es salaam wakati Viongozi mbalimbali wakitoa taarifa kwa Waandishi kuhusu ziara za Rais Dkt. Samia Morocco na Saudi Arabia, Kadogosa amesema;
“Ujenzi wa reli hususani Dar es salaam - Morogoro kwa sehemu kubwa tumekamilisha takribani 100%, kuna sehemu chache sana ambazo nafikiri hata nyinyi mtakuwa mnaziona pale Vingunguti, Nyerere na Banana kuna kumalizia, then kuna ujenzi wa kuingia Bandarini ambao hautuzuii sisi kuanza uendeshaji kwa maana ya Dar es salaam kwenda Morogoro.
“Kitu ambacho kimetusimamisha kwa muda ni kwasababu tulikuwa hatujapata vichwa hilo tu, sasa hii inaweza kuwa na maelezo mengi sana kwamba kwanini vichwa vimechelewa lakini tumekuwa na changamoto hiyo ya kutokupata vichwa vya treni, mabehewa yapo pale Pugu mengi zaidi ya 45 mapya yote lakini kichwa tulikuwa hatuna, kwa mara ya kwanza kichwa cha kwanza kimeingia hivi karibuni.
“Kwanza wanaoleta kichwa kwasababu ni kichwa kipya kabla hawajatupa lazima wakifanyie testing, wamekifanyia majaribio kwao kwenye reli yao na ujue reli sio zinafanana, ya kule tofauti na huku kwahiyo ni lazima afanye testing pia hapa kujihakikishia kile kichwa kinaenda KM 160 kwa saa na tutawaita Waandishi wa Habari mshuhudie hilo.”
Ivi mabehewa 45 si ni almost treni 3 tu? Au hii treni ikoje? Kichwa kimoja kinabeba mabehewa mangapi?Kwa hiyo waliona waagize kwanza mabehewa hayo yote 45 bila kichwa hata kimoja. Walifikiri hayo mabehewa yatasafirije kwenye rail? Labda kwa upepo? Halafu anasema mradi umekamilika kwa takriban 100%. Baadaye anataja vitu kibao bado havijakamilika, na vichwa vya treni hakuna hata kimoja. Nabaki kujiuliza - hiyo ni project completeness ya 100% kweli? Drama on top of drama. Ukistaajabu ya Musa....