Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hayo yote anayasema mbele za watu wenye akili timamu; lakini hilo halimuzuii kujionyesha kuwa kama chizi asiyetambua analozungumzia!Hizo hesabu zinashangaza: Mara asilimia 100, mara bado vitu vidogo vidogo - vichwa vitauma!
Huyu Ana Makandokando Mengi Sana Yaani Chawa Wa Mzilankendehivi huyu msukuma lini atashitakiwa aisee?
Imekufa Kibudu Kabla Ya KutembeaMuda ni dawa nzuri hiyo sgr ikifanya kazi mniite mbwa
SGR Imefika Mwanza, Kigoma Lakini Dar Es Salaam ~MorogoroCCM katika ubora wake.
Na anasema imekamilika kwa asilimia 💯 !!!Yaani sababu za kijinga kabisa, unawezaje kupata behewa 40+ kwa wakati ushindwe pata kichwa kwa wakati? Halafu anakiri kuwa vingunguti bado reli haijamaliziwa so hicho kichwa bado hakiwezi fanya kazi
Yaani hakuna kitu ni maigizo tu na pesa zishaliwa mara aseme imekamilika asilimia 100 alaf vichwa havijafika na kuna sehemu za kumalizia ww kwa akili za kawaida unaelewa nini hapoImekufa Kibudu Kabla Ya Kutembea
Kwa Akili Ndogo Ya Kuvukia Barabara Ama Kunyonyolea KukuYaani hakuna kitu ni maigizo tu na pesa zishaliwa mara aseme imekamilika asilimia 100 alaf vichwa havijafika na kuna sehemu za kumalizia ww kwa akili za kawaida unaelewa nini hapo
Kuna umuhimu gani wa kutaja kabila la mtu badala ya jina na cheo chake, acha upumbavu.hivi huyu msukuma lini atashitakiwa aisee?
Sasa wewe, kwani mimi nilikufanya uwe msukuma? au hulipendi kabila lako, na matusi ya nini wakati mtu mwenyewe unajidefine kwa jina lako hapo, ni mtu wa hovyo kabisa. sihitaji hata kubishana na wewe.Kuna umuhimu gani wa kutaja kabila la mtu badala ya jina na cheo chake, acha upumbavu.
Wana KINGA kwa sheria waliojitungia!!Wanajua hamna cha kuwafanya. Na hamna kweli
Kama usimamizi wa SGR utafanywa na waswahili, amini kuwa abood atabakia kukiwasha Dar-MoroKilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.