Kadogosa: Safari za SGR kutoka Dar - Moro zimechelewa kwasababu ya hatuna Vichwa vya Treni

Vikitarajiwa kuletwa siku za karibuni, ili safari ya Dar es Salaam Morogoro ianze mara moja.
 
Akamatwe na ashitakiwe " kwa sauti ya Mpina
 
Huyu poyoyo mhujumu uchumi kabisaaa......anafaa aende jela....
 
Endeleeni kupiga hizo chenji hadi 2025! Ni kitu gani kililerea hayo yote kufanyika? Je Ina maana vichwa vimeagizwa kwengineko tofauti na behewa?? Je vitaendana na hitaji?
Duuuh imeenda hiyo!!
 
Hiyo treni haitachukua muda, itahujumiwa tu vinginevyo wabinafsishe vile hakuna mtizii atakayeiendesha kwa maslahi ya Serikali.

Angalia mradi wa mabasi ya mwendokasi
Na ndicho kitakachotokea. Maana Vigogo wengi wa chama na serulikali, pamoja na wafanyabiashara wakubwa waliojificha kwenye kichaka cha CCM; ndiyo hao hao wanaomiliki mabasi ya abiria na pia malori ya mizigo.
 
Wanajua hamna cha kuwafanya. Na hamna kweli
 
Kwa hiyo waliona waagize kwanza mabehewa hayo yote 45 bila kichwa hata kimoja. Walifikiri hayo mabehewa yatasafirije kwenye rail? Labda kwa upepo? Halafu anasema mradi umekamilika kwa takriban 100%. Baadaye anataja vitu kibao bado havijakamilika, na vichwa vya treni hakuna hata kimoja. Nabaki kujiuliza - hiyo ni project completeness ya 100% kweli? Drama on top of drama. Ukistaajabu ya Musa....
 
Nchi ngumu sana hii 😂
Yaani sababu za kijinga kabisa, unawezaje kupata behewa 40+ kwa wakati ushindwe pata kichwa kwa wakati? Halafu anakiri kuwa vingunguti bado reli haijamaliziwa so hicho kichwa bado hakiwezi fanya kazi
 
Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
Watu ni wengi sana wapo watakaopenda treni na wapo watakaopenda bus na wapo watakaopenda ndege.Kuwalazimisha watu wote watumie usafiri wa aina moja ni utumwa.
 
Ukweli ni kwamba kuna conflict of interest between decision makers
 
Ivi mabehewa 45 si ni almost treni 3 tu? Au hii treni ikoje? Kichwa kimoja kinabeba mabehewa mangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…