Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

Utatamani vipi vitoto km hivyo? Then we akili yako itakua si nzuri,
Haya makurumbembe yamejaa mitaani toka miaka 18 kwenda mbele we ukasumbuane na kitoto.
Si tunacheza kuanzia 35 kwenda mbele huyo mtoto akisogea atakula fimbo tu tena unaweza msakizia mbwa(mama yake au bibi yake)
Atapigwa fimbo za kutosha mpk akome.
 
Wala msipuuze huu uzi. Wapo ambao ubakaji ni spirit na wameshabaka au wako njiani kubaka ila hawajashtukiwa. Hawa ni wahanga wa jela watarajiwa.

Lakini wapo wengine kama mimi na wewe ambao kwa akili yako unaamini huwezi kubaka lakini unakaribisha mazingira hatarishi ambayo siku isiyo na jina itakutia hatiani!

Mtoto wa kike hata awe mdogo kiasi gani ni muhimu ujiepushe na ukaribu wa kupitiliza anaostahili mama yake tu. Uwe mjomba, kaka and whoever kaa mbali kabla siku hujashangaa kimekutokea nini ujute milele.

Kama una hamu usizoweza kuzuia kanunue mizigo kuliko siku isiyo na jina ghafla ujikute kwenye kuta nne milele.
 
Utatamani vipi vitoto km hivyo? Then we akili yako itakua si nzuri,
Haya makurumbembe yamejaa mitaani toka miaka 18 kwenda mbele we ukasumbuane na kitoto.
Si tunacheza kuanzia 35 kwenda mbele huyo mtoto akisogea atakula fimbo tu tena unaweza msakizia mbwa(mama yake au bibi yake)
Atapigwa fimbo za kutosha mpk akome.
Mtu yeyote anayeweza kumfira mwanaume mwenzake hawezi kushindwa kufanya hivyo kwa mtoto.
 
Kuna watu wana Upendo wa asili kwa Watoto, siongelei kuwabaka, kwahiyo usichanganye mafaili.


Hata mimi ninao, Mimi nakaa kwenye appartment, kila nikiteremka mara nyingi nakuta watoto wanacheza, au wanalishwa etc, nje.

Huwa nawasalimia, naweza mshika mkono akiwepo mlezi namwambia twende, katacheka, nitatembea hatua 2 then nakarudisha kwa mlezi, ni eneo la uwazi na kawaida.

1. Sitegemei mtu aingize mtoto wa mtu kwake hata kama ana nia nzuri au anapenda watoto, huu ni ujinga kabisa.

2. Sitegemei mtu, bachelor au asiyeishi na mke aingize mtoto wangu kwake hata wa miaka 18 nikaona, tutauana, lipo wazi.

Ni lazima mtu mzima ajue mipaka yake, sio akwepe kesi, ajue, hizi ni logical limits za mie kucheza na watoto wa watu.
 
Back
Top Bottom