mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
huwezi jua mkuu.... bora uwe makiniHivi mtoto wa miaka miwili naye niwe makini naogopa kubaka WHAT A BLOODKLAAT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi jua mkuu.... bora uwe makiniHivi mtoto wa miaka miwili naye niwe makini naogopa kubaka WHAT A BLOODKLAAT.
Tycon ,mjanja mjanjaNakuelewa sana Robert Heriel Mtibeli Tycoon
Ukileta mazoea kuna watu watakufanya fursa wakupige hela, watu wana ramani nyingiShida sio hisia ni kuepuka kabisa mazoea. Kanaweza kufanyiwa huko msala ukaangukia kwako.
Hii ni hatari kuliko unavyofikiri.... dunia imeharibika sana, wewe unaweza kuwa na mazoea yasiyo na shida, lakini wakaja wabaya wakafanya yao! You will be the first suspect, mpaka uje kujisafisha, utakuwa umeingia gharama kubwa.Kuna watu wana Upendo wa asili kwa Watoto, siongelei kuwabaka, kwahiyo usichanganye mafaili.
Iyo mara moja tayr watu wanajua mtibeli unawapa pipi hata ukisingiziwa case watu wana conclude ni kweli unawarubuni kwa pipi.
Ujumbe mzuri. Mwenye kusikia na asikie.
Hii inaitwa ngumu kumeza [emoji37]
Hata mimi ninao, Mimi nakaa kwenye appartment, kila nikiteremka mara nyingi nakuta watoto wanacheza, au wanalishwa etc, nje.
Huwa nawasalimia, naweza mshika mkono akiwepo mlezi namwambia twende, katacheka, nitatembea hatua 2 then nakarudisha kwa mlezi, ni eneo la uwazi na kawaida.
1. Sitegemei mtu aingize mtoto wa mtu kwake hata kama ana nia nzuri au anapenda watoto, huu ni ujinga kabisa.
2. Sitegemei mtu, bachelor au asiyeishi na mke aingize mtoto wangu kwake hata wa miaka 18 nikaona, tutauana, lipo wazi.
Ni lazima mtu mzima ajue mipaka yake, sio akwepe kesi, ajue, hizi ni logical limits za mie kucheza na watoto wa watu.
Hii ya utani na mazoea ya kijinga nimeielewa Taikon
Wala msipuuze huu uzi. Wapo ambao ubakaji ni spirit na wameshabaka au wako njiani kubaka ila hawajashtukiwa. Hawa ni wahanga wa jela watarajiwa.
Lakini wapo wengine kama mimi na wewe ambao kwa akili yako unaamini huwezi kubaka lakini unakaribisha mazingira hatarishi ambayo siku isiyo na jina itakutia hatiani!
Mtoto wa kike hata awe mdogo kiasi gani ni muhimu ujiepushe na ukaribu wa kupitiliza anaostahili mama yake tu. Uwe mjomba, kaka and whoever kaa mbali kabla siku hujashangaa kimekutokea nini ujute milele.
Kama una hamu usizoweza kuzuia kanunue mizigo kuliko siku isiyo na jina ghafla ujikute kwenye kuta nne milele.
Tycoon wa fasihiTycon ,mjanja mjanja
Tununguo sijui ataenda lini (ngerengere)
Mi huwa sitaki mazoea na mtoto yeyote yule kuanzia miaka 0-12 labda tu awe mwanangu wakumzaa.
Binafsi sitaki kabisa mazoea na vibinti vya watu, ninapokaa kuna vibinti vinasoma njia moja na mimi, lakini sijawahi kuwapa lift hata siku moja. Vitoto vyenyewe vinaliwa na bodaboda kila siku, one day kanapata mimba; unakuwa wa kwanza kwenye line ya suspects.
Tycon ,mjanja mjanja
Tununguo sijui ataenda lini (ngerengere)
Hao wanaume wanakua watoto?Ni wazima na akili zao acha wapelekewe moto.na wana nyege mbaya sanaMtu yeyote anayeweza kumfira mwanaume mwenzake hawezi kushindwa kufanya hivyo kwa mtoto.